Hisa za Vodacom; ni almasi mchangani au ni puto hewani?

Most IPOs watu wanakua wamesha overprice hisa fuatilia utagundua hilo
hisa za voda zimeshaanza kuonyesha shaka demand ni ndogo sana hazijauzika Zaidi ya nusu hiyo ni ishara zitadrop sana miezi michache ijayo zitafika mpaka sh 500 per hisa au chini ya hapo walionunua kwa tsh 850 wamekula hasara
 
Hapo tunaangalia book value na hy formula ndo maana nimesema nimetmia Firm foundation Theory. Soma vzr.
 
Unapozungumzia TOTAL ASSETS maanake na INTANGIBLE ASSETS ipo humo tayari.so NET ASSETS is simply TOTAL ASSETS - LIABILITIES. mtoa mada yupo sahihi.point ni kwamba Vodacom share price (IPO) is over valued. Nimekuelewa sana Mkuu.
 
unajua thamani ya minara nchi nzima?
Vodacom Hawana Minara siku hizi...
walishaiuza kwa Helios Towers.....
yeye Vodacom amekuwa Leasee wa Minara...
so analipia Operating Lease kwa Helios Towers....
na kampuni nyingi km sio zote Zime lease minara kwa Helios Towers..
na Sio Minara tu
Mpaka Magari Wanafanya operating lease...
kampuni nyingi zinafanya hivyo.....

OVA
 
kumbuka hata Goodwill, Brands, Trademark, ni Intangible Asset...
kwenye kutafuta Thamani halisi ya kampuni zinaondolewa....!
ndo maana zimekuwa excluded...
kasome IFRS 1 na IAS's..utaelewa zaid..
 
fedha zilizoko kwenye m pesa ni liabilities sio assets mkuu hizo ni pesa za wateja sio pesa za vodacom
How! Ina maana vocha za Vodacom ni liability?
The fact is that, kama E-money wa wateja ni 1 billion, then lazima Vodacom wamiliki kiasi hicho pia! Hiyo ni kwa mujibu wa sheria ya Banking and financial institutions!
 
kumbuka hata Goodwill, Brands, Trademark, ni Intangible Asset...
kwenye kutafuta Thamani halisi ya kampuni zinaondolewa....!
ndo maana zimekuwa excluded...
kasome IFRS 1 na IAS's..utaelewa zaid..
Tofautisha E-money as intangible assets na hizo unazotaja mkuu! Mbona rahisi tu!
 
Umechanganua vizuri sana. Hii ndio maana halisi ya msemo wa 'do your homework first before making any financial decision'
ambayo huwa tunaambiwa mara kwa mara!
Naomba nijifunze kutoka kwako maelezo ya kina ya "do your homework first before making any financial decision".
 
kumbuka hata Goodwill, Brands, Trademark, ni Intangible Asset...
kwenye kutafuta Thamani halisi ya kampuni zinaondolewa....!
ndo maana zimekuwa excluded...
kasome IFRS 1 na IAS's..utaelewa zaid..
Sasa dogo sijui utakuwa chuo mwaka wa3 wewe, unatuambia mambo ya ias na ifrs, hayo maifrs na maias hayakufundishi jinsi ya kutafuta value ya kampuni yanakufundisha jinsi ya kuripoti taarifa za fedha tu
 
Kiukweli voda wamewapiga watu changa la macho kibaya zaidi hawajafikisha mauzo hata ya 50% ya capital waliotaka kuraise. in real sence kuraise around 500bil is huge in Tanzania
 
Mimi nikiwa na idle money huwa naendaga kununua shamba napanda miti Iringa na Mbeya kama mwehu vile kwa sasa nina jumla ya heka 15 za pine trees, mambo ya kumpa hela mwenzio ili akutengenezee faida nakosaga amani nayo sana.
 
Mimi nikiwa na idle money huwa naendaga kununua shamba napanda miti Iringa na Mbeya kama mwehu vile kwa sasa nina jumla ya heka 15 za pine trees, mambo ya kumpa hela mwenzio ili akutengenezee faida nakosaga amani nayo sana.
Hahaha nimeipenda hii. Ukweli mtupu
 
How! Ina maana vocha za Vodacom ni liability?
The fact is that, kama E-money wa wateja ni 1 billion, then lazima Vodacom wamiliki kiasi hicho pia! Hiyo ni kwa mujibu wa sheria ya Banking and financial institutions!
So kweli hiyo ni nadharia, at least kwenye kutoa mikopo mama financial institution ndiyo kuna kiasi wanatakiwa wawe nacho kama cash kabla hawajaanza kukopesha, na kiasi hicho wala hakilingani na kile wanacho kopesha, hiyo inaitwa loan to deposit ratio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…