Upo chini sana mkuu TV bado mpya.Mia saba iko hapa
Tv ni yangu nilinunua mpya na ina risiti, ina week 3 tangu ninunue.TV ni yako ama?kama yako,ulinunua mpya?Ina muda gani toka ununue?pia weka picha za screen tuone.
1.1 uko mbali mkuu.Tv ni yangu nilinunua mpya na ina risiti, ina week 3 tangu ninunue.
Picha hii hapa chini[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1731443