Freetown
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 882
- 78
Huyu jamaa, Angalieni Mpendu alikuwa maarufu sana kwenye hisia na muziki kipindi kilichojichotea washabiki wengi kwa ule umahiri wake wa kupangilia stori na muziki, nilikuwa napenda sana kusikiliza kipindi hiki, kuna anayekumbuka au aliyekuwa na mapenzi na kipindi hiki??? tujikumbushe, yaani kama naweza kupanda CD au hata kanda zilizo rekodiwa nitafurahi kwa anayeweza zipata tuwasiliane