NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Eti hawajala ugali rivers ni timu kubwa wewe siyo majimaji ya songea.Apo amna Cha Simba Wala kuibiwa, walichofanya wamewadhulumu wenzao Ili wawalishe ugali na sukari na kuwaletea Drama.
Baadae utaambiwa wachezaji awajala kwakua fedha zimeibiwa.
Rudisheni hela za watu nyie wezi fcWenzetu mwendo wameumaliza kimataifa Sasa Kuna uwezekano mkubwa uliojaa chuki (uzandiki) na wivu wa hali ya juu Kama uonavyo mama wa kambo anapoona mtoto wake anafeli halafu wa mwenzie anafaulu, wasiwasi wangu (machale) nahisi makomandoo toka upande wa pili wamepenyezwa ili kuikomoa yanga.
Viongozi wa yanga kuweni makini sana Tena sana msije kusema NALIA NGWENA sikuwaambia, hii hatua ilipofikia yanga ni pigo kubwa sana kwa watani.
Kabla ya kujiuliza maswali mengine jiulize kwanza hii akili ya kuandika huu upuuzi umeitoa wapi kwa sababu umeandika vitu hata haviendani halafu kwa kuhemkwa unajiona umetoa point ya maanasimba aliefeli form six tena PCB amuonee wivu yanga aliefeli darasa la nne akapelekwa MEMKWA kujifunza kusoma?
Hizi akili za namna hii mnatoaga wapi
We kweli mwehu hujui maana ya hisia[emoji41]Moderator taarifa ya uzushi mkubwa....ishughulikieni haraka sana
Hapo umejikunja mwenyewe ukaandika point [emoji16]simba aliefeli form six tena PCB amuonee wivu yanga aliefeli darasa la nne akapelekwa MEMKWA kujifunza kusoma?
Hizi akili za namna hii mnatoaga wapi
Moderator mfungieni huyu anashambulia watumiaji wa jamii forums kwa matusi
Kaa kimya huna hoja.Moderator mfungieni huyu anashambulia watumiaji wa jamii forums kwa matusi