HISIA ZANGU: Nani anajali alipo Hassan Dilunga?

Fei toto anakenua meno tu wakati yupo kwenye peak lakini husikii hata tetesi za kuhama anafikiri utopolo ni baba yake, hawajifunzi kwa Ngasa.
Kwa hiyo Steven Gerald ni mjinga au Paulo Maldin Hana akili?
 
Nani pia nani anajali alipo Ditram Nchimbi mchezaji aliekuwa muhimu kwenye timu ya Taifa? Wachezaji wetu wanapotea kizembe zembe sana.Dilunga what a player!
Huyu walimuonesha amekuwa dereva boda
 
Huu ushauri wako utumike hata kwenye ndoa pia, huu sio ulimwengu wa kuoneana huruma....mtu unahitaji kuwa katili kusimamia maslahi yako.
Aiseee ndoa si biashara, ni muunganiko wa watu waliokubaliana
 
Kabisa una mke ndani analala muda wote achana nae tafuta mpya, una mke hajiwezi tupa mbali huo ndio ushauri mzuri

Au unajishaua kumsomesha mke au mume, Kama hajasomeshwa kwao atajijua, hapa kafata ndoa sio scholarship, majukumu ya ndoa yakimshinda unapiga chini.

Ndoa pia ni mkataba Kama mikataba mingine.....tukifuata ushauri huu wa kila mmoja kusimamia maslahi yake hata mauji yatapungua.
 
Fei toto anakenua meno tu wakati yupo kwenye peak lakini husikii hata tetesi za kuhama anafikiri utopolo ni baba yake, hawajifunzi kwa Ngasa.
Sijui maisha yake uko zenji ila hapa bara namuonaga na ki IST cheupe kimepigwa chata kila kona FEI TOTO mwanzo nilifikiri ni cha biashara ila kumbe ni chake cha mizunguko sasa Kwa hadhi ya Mchezaji kama yeye hapa bongo inabidi awe anamaisha ya Uhakika Ndinga ya maana kwakwel Naunga mkono hoja wachezaji wetu wajitathmini sana

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Yanga ilifanya hivi kwa yacouba sogne na balama mapinduzi nafikiri simba ili kulinda image ya klabu wangefanya uungwana tu kumpa mkataba alafu kutemana nae pale atakapopona kabisa
 
Fei toto anakenua meno tu wakati yupo kwenye peak lakini husikii hata tetesi za kuhama anafikiri utopolo ni baba yake, hawajifunzi kwa Ngasa.
Kipindi anasaini mkataba wa sasa alikua bado hana jina kubwa kama alilonalo sasa hivi nafikiri huo mkataba utakua umebaki mwaka mmoja tu kwaiyo huo mkataba ujao inabidi awakamue pesa ndefu pale yanga aziz ki na morrison wanamzidi mshahara karibu mara 3 wakati yeye mchango wake ni mkubwa zaidi
 
Hili andiko apelekewe kila mchezaji alisome. Mpira ni ajira/biashara tofauti yake tu ina kikomo cha lazima. Wachezaji waache huruma kwa vilaby wanapokuwa kwenye peak. Mrisho Ngassa watu walifunga safari kutoka Sudani akaishia kujificha na kubaki Yanga. Jerry Tegete hivyo hivyo. Mpira wa miguu ni ukiwa kwenye kiwango cha juu tu tofauti na hapo si kitu.
 
Fei toto anakenua meno tu wakati yupo kwenye peak lakini husikii hata tetesi za kuhama anafikiri utopolo ni baba yake, hawajifunzi kwa Ngasa.
Nadhani Feitoto alifanyia kazi ushauri wako. Hassan Dilunga ameanza kupasha na Simba

...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…