Hisia. . .


Mi hizi za humu wala hata hua sihangaiki nazo tena Boss japo mwanzoni nilikua nauliza kulikoni. . .siku hizi nabaki kishangaa tu.

Huku uraiani sasa. Utasikia "mbona huongei na mimi, nimekukosea?" Hapo mhusika akijibu hapana ndio mwanzo wa "LAZIMA, mbona sasa huongei na mimi, au mbona sasa umepooza kama sio mimi?!" Ina maana mtu hawezi kuwa na matatizo mengine?
 

Hey there Mr Valentine. . .mambo mengine kujibu ni sawa na kupoteza muda wakati mambo ya maana yapo. POTEZEA!!
 
Lizzy hii kitu ipo sana ajabu zaidi ni pale hisia za wengi zinapoamua kuwa negative zaidi kuliko positive!

Kweli WL. . .
Hua inashangaza namna watu wanavyopenda/jua kung'ang'ania "NAJUA ,NAJUA" kuhusu hisia hasi za mhusika kuliko mhusika mwenyewe. . .alafu zile ambazo ni chanya hata mtu aimbe wiki nzima mtu anakataa kwamba sio kweli. . .kama ni kupendwa hapendwi. . ila kuchukiwa anachukiwa bila kuambiwa au hata kuonyeshwa.
 
Hey there Mr Valentine. . .mambo mengine kujibu ni sawa na kupoteza muda wakati mambo ya maana yapo. POTEZEA!!
Am just having my fresh mango juice & waiting for my lunch, am out of this.
 

Basi mbona watu wanaposema "NAKUPENDA" hua haichukuliwi kama alivyosema kwa wengi, na watu hao hao hung'ang'ania zile ambazo ni hasi (UNANICHUKIA, UMENIKASIRIKIA) hata mhusika akatae?
 
Mkuu mimi hapa napata hisia kwamba umekasirika kutokana reaction yako. au nalo hili hisia zimenidanganya?

mimi bado ninaamini kuuliza sio ujinga na aliulizalo mtu maana yake anahitaji kujua.

sasa kama mtu atakuja humu na kuuliza kisha kumshambulia kwa maneno, its not fair. watu wataogopa kuuliza

na pia hapa nawezasema unajaribu kuingilia hisia za mtu, kwa kufikiri anajok.

watu tumetofautiana uelewa bana. mimi naweza nisielewe hata jinsi ya kupost but nikiuliza sio kwamba natania.
 
Am just having my fresh mango juice & waiting for my lunch, am out of this.

Good to hear that. .
Haya changia basi mada kabla na mimi sijakung'ang'ania kua huna furaha na mimi siku ya Valentine kumbe jirani yako aliacha mmbwa wake ale vifaranga vyako jana yake.
 
Mkuu mimi hapa napata hisia kwamba umekasirika kutokana reaction yako. au nalo hili hisia zimenidanganya?
Nikikasilika huwa nina smilling face na huwa siwezi kupigiwa ramli, inshort siwezi kukikasilikia kivuli mtu ambaye simju na wala hanijui inawezekana vipi nimkasirikie!!??
Kuna tofauti kubwa kati ya kukerwa na kukasirika. mimi nimekerwa.
 

Tufanye hakuna aliyeshinda wala aliyeshindwa hoja, turudi kwenye topic:focus::focus::focus::focus::focus::focus:
 
Anakuwa anajua alichikufanyia
Anajaribu kutafuta kama unakijua

Mfano labda mie nimekuponda kwa mtu
Wakati mie huwa naongea na wewe
Afu ghafla wewe unapunguza mazoea na mimi
Lazima nijipendekeze kuuliza kulikoni
ili nijue kama umejua nlichofanya

Ukiwa too judgemental
Tatizo linakuwa liaanzia kwako

Basi mbona watu wanaposema "NAKUPENDA" hua haichukuliwi kama alivyosema kwa wengi, na watu hao hao hung'ang'ania zile ambazo ni hasi (UNANICHUKIA, UMENIKASIRIKIA) hata mhusika akatae?
 
Hivi wewe huwa una kazi?
Au hivi wewe unakula?
Au hivi wewe huwa unalala?

Mwaswali kama hayo hapo juu yana maana gani?
Definetly, kuna linalotafutwa zaidi ya kula kwalo na kulala kwako
Sababu kula na kulala ni oviaz kwa kila mtu

Hope utaona tofauti, nikikuboa potezea tu,
si unajua mie mashati ya shule hunipeleka high kinoma
 
watu wanaishi kwa hisiaa zaidi ya reality...
 
mm nieleweshe.unapata wap mda wa kufanya mamb mengne au kuna watu wanalpwa kupost sred nying ww ukia ktk hilo kund?

Golden Mpoleeee

Today 11:52
#3

JF Senior Expert Member Array


Join Date : 20th January 2012
Posts : 536

Rep Power : 410





Unajuwa inabidi nicheke tu sasa maana huyu member amejiunga tarehe 20 Janualy mpaka leo ana post 536!! sasa hapa na watu wakisema wakuulize spidi hii unaipataje sijui watakuwa sahihi!!??
 
Mimi nilikuwa mhusika/mhanga wa hiyo mada yako yote Lizzy.. Na hasa paragraph ya last but one...
Imefikia hatua nimekata tamaa na relationship kabisa!
 

Nilipo fika hapo nikahisi una nidongoa mimi,...huh.
Honestly,....ni rahisi sana kumjua mtu kama kakasirika au vipi
kama mnaongea face to face.

Body language haijui kuficha feelings za moyo wako,..unless umesomea
kuficha what you feel....(haya yako jeshini zaidi,...tena sio kila mwanajeshi).

Lakini otherwise,kama mko pamoja na mtu akakwambia ume kasirika,hata kama huja kasirika then
lazima una tatizo ambalo lime jionesha kwa lugha ya mwili wako.
 
umekosa hoja unaleta upupu hapa? Unanibabaishia nini? Huo wasf unataka kula? Nimewakuna eeh? Pambaf! Katishie nyau watot wadg!

Golden Mpoleeee

2nd February 2012 17:45
#1

JF Senior Expert Member Array


Join Date : 20th January 2012
Posts : 537
Rep Power : 410



[h=2]
sijiskii kupendwa[/h] nisaidien mawazo. Nifanye nn nipendwe?


GM
 

Wengine mfano Engineering... Ukimaliza kusoma ni kama workload imepungua...
Na ukafungua kampuni ndogo tu ukafanya kazi kwa kutafuta tenda ukapata,ukafuatilia material,ukahakikisha kuna supervision ya kutosha.. Kazi ya Mil. 80 unabaki na kama 35 Mil. Kama kampuni ni ya watu watano full time unawalipa mshahara hata miezi 6..
Na wewe ukiwa comfortable unatafuta tenda,na kwa kujuana zingine zinakuja tu.. Zingine unampa mtu anatumia kampuni yako anakupa comission,au malipo yanapita kwenye ACC ya kampuni yako ambako ina signatories A na B... Yaani hela zinaweza kuwa za kutosha tu na mtu akashangaa huyu mtu anaishije...

Anyways...ni mtazamo tu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…