Historia fupi Sana kuhusu kuanzishwa kwa Jamiiforums

Status
Not open for further replies.
Nadhani Ilikuwa inaitwa Bstimes kwa sababu huko ndipo nilipoanzia hii mijadala ya tanzania online. Kulikuwa na watu kama marehemu Simba, Mwapachu na wengine ambapo mijadala ya wakati ule ilikuwa ni ya kiutu uzima sana kabla ya uchaguzi wa 2005.
Asante kwa kutukumbusha kwa usahihi. Mimi pia nilikuwa miongoni mwa wachangiaji wa mwanzo kule bcstimes na akina Mzee Sam, Mzee ES, mkandara, etc. Nikiwa na id nyingine of course.
 
Ninavyokumbuka, JamboForums (mtangulizi wa JamiiForums) ilikuja kujaza nafasi ya ombwe lililoachwa na nyenzi_dot_com; mahali ambako wahenga wa mtandaoni tulikuwa tukikutanika kwa midahalo motomoto...
Na Darhotwire.com chini ya East Africa Radio
 
Iko too shallow fanya utafiti kidogo uiboreshe
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…