Historia fupi ya vita ya Kagera 1978-1979

Itabid niipitie wakat wa lunch
Hii
 
Hatuandiki historia yetu...Waziri Mwakyembe ni muda muafaka sasa
 
"...those who write history tend to avoid all the facts that doesn't concile with their sides of war.... "

Hubi Nakashi
 
Ndugu yangu naomba uangalie kwa uangalifu maneno niloyowekea RANGI. Hili ni Jukwaa la Historia, yabidiukweli na ufasaha vipewe kipaumbele.
1. Uganga: isomeke UGANDA.
2. Eneo hilo la Mto Kagera: isomeke Eneo la KASKAZINI MWA Mto Kagera.Hapa ni kuanzia Mirongo (sasa Wilaya ya Kyerwa)...kupitia KYAKA (isomeke CHAAKA)..hadi pale Mto Kagera unapoingia Ziwa Nyanza,yaani Wilaya NZIMA ya Misenye..ambayo wakati huo ilikuwa TARAFA...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…