Dearany bahati
Member
- Aug 1, 2022
- 41
- 86
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]sawa sawaHistoria ya Nyerere kulikomboa taifa ni ya kweli
Count...Historia ya Nyerere kulikomboa taifa ni ya kweli
China ( paper tiger) kumvimbia USA .....then mchina kula Kona kula [emoji125][emoji125] [emoji125]Maana asilimia kubwa ya historia ni za kubuni au kutengeneza [emoji44][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Angalia hiyo picha hapo chini ya ufunguzi wa ofisi ya African Association mwaka wa 1933:[emoji1787][emoji1787][emoji1787]sawa sawa
Tatizo la maandiko yako yanaegemea kwenye dini na kupelekea wengine kukwazika. Yaani kwako wewe usahihi/ukamilifu wa historia ni pale akitajwa muislam.Count...
Historia ya Nyerere kuikomboa Tanganyika bahati mbaya kwa miaka mingi ilikuwa ni ile ambayo alitajwa yeye peke yake (Angalia: IN Kimamabo and AJ ''Temu a Short History of Tanzania,''(1969), Abubakar Uloto, ''Historia ya TANU,'' (1971), ''Historia ya TANU 1954 - 1977,'' Chuo Cha CCM Kivuoni (1981).
Hali hii imekuwa hivi kwa miaka mingi sana.
Lakini Nyerere peke yake asingeweza kuikomboa Tanganyika.
Hili la kwanza.
Pili harakati za kuikomboa Tanganyika zina historia yake.
Historia hii pia hakuna aliyekuwa anaijua.
Ikawa hivi kwa miaka mingi pia.
Zabron,Tatizo la maandiko yako yanaegemea kwenye dini na kupelekea wengine kukwazika. Yaani kwako wewe usahihi/ukamilifu wa historia ni pale akitajwa muislam.
Wewe mzee muongo na mzushi..unaleta upotoshaji mkubwa kwa illusion zako za kidini..wajinga na wapuuzi ndio wataweza kujifunza historia zako za kupumbafu.Zabron,
Niandikayo ni uongo?
Ikiwa naandika kweli tatizo ni nini?
Au wewe umeridhia kwa kuandikiwa historia siyo kwa hofu ya kuwataja Waislam?
bro ntakutafuta nataka niwafahamu vzr hao watu hususan iyo familia ya sykes kwan ni watu wa kabila ganAngalia hiyo picha hapo chini ya ufunguzi wa ofisi ya African Association mwaka wa 1933:
View attachment 2313257
Mwaka wa 1929 hawa wafuatao ndiyo walioasisi AA: Cecil Matola (President), Kleist Sykes (Secretary), Mzee bin Sudi, Ali Said Mpima, Ibrahim Hamisi, Zibe Kidasi, Suleiman Majisu, Raikes Kusi na Rawson Watts.
Hakuna atakae kuona mjinga kwa kukaa kmyaWewe mzee muongo na mzushi..unaleta upotoshaji mkubwa kwa illusion zako za kidini..wajinga na wapuuzi ndio wataweza kujifunza historia zako za kupumbafu.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Askari...bro ntakutafuta nataka niwafahamu vzr hao watu hususan iyo familia ya sykes kwan ni watu wa kabila gan
Askari...
Kipo kitabu kinauzwa Ibn Hazm Bookshop Msikiti wa Mtoro na Msikiti wa Manyema bei elfu kumi.
Maana asilimia kubwa ya historia ni za kubuni au kutengeneza [emoji44][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Exactly....Maana asilimia kubwa ya historia ni za kubuni au kutengeneza [emoji44][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Count...
Historia ya Nyerere kuikomboa Tanganyika bahati mbaya kwa miaka mingi ilikuwa ni ile ambayo alitajwa yeye peke yake (Angalia: IN Kimamabo and AJ ''Temu a Short History of Tanzania,''(1969), Abubakar Uloto, ''Historia ya TANU,'' (1971), ''Historia ya TANU 1954 - 1977,'' Chuo Cha CCM Kivuoni (1981).
Hali hii imekuwa hivi kwa miaka mingi sana.
Lakini Nyerere peke yake asingeweza kuikomboa Tanganyika.
Hili la kwanza.
Pili harakati za kuikomboa Tanganyika zina historia yake.
Historia hii pia hakuna aliyekuwa anaijua.
Ikawa hivi kwa miaka mingi pia.
Huyu mzee ana udini sana anajulikana, watu km hawa ni HATARI SANATatizo la maandiko yako yanaegemea kwenye dini na kupelekea wengine kukwazika. Yaani kwako wewe usahihi/ukamilifu wa historia ni pale akitajwa muislam.