Historia hii mnaijua au ilijificha?

Historia hii mnaijua au ilijificha?

Eraldius

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2011
Posts
1,122
Reaction score
912
Katika kipindi asubuhi njema chanel ten,mada ikiwa ya Muungano.Kuna mzee aliwahi kutumikia taifa akiwa mwanajeshi kadokeza akisema kabla ya vyama vingi kuna mkoa uliwahi kujitenga na kusimamisha bendela yake aina ya ngozi ya chui ila hakutaja ni mkoa gani.Ila nikijua Jf nijungu kuu nimeona niweke hapa tujuzane hii historia nikizingatia historia ya nchi yetu iko katika vipandevipande.
 
Zipo tetesi kuwa mkoa huo ni Mara.
Nadhani aliyefanya hivyo alikuwa mmojawapo wa ukoo wa akina Bhoke Mnanka.
 
uyu mzee kama unalitakia mema taifa hili unatakiwa kumsikiliza kwa umakini.
ana hoja na tanzania na zanzibar anazijua vizuri.
kifupi nimempenda
 
Da wakuu mbarikiwe sana, mzee huyu nimekumbuka jina moja la Majaliwa.mzee yuko wazi sana katika historia ya nchi hii

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Wakuuu.....hii ilikuwa mkoa wa mara....miaka 1982 ndo ilitokea .....kuna jamaa aliitwa nyamahanga mwita magoti chacha....alipandisha bendera...ya ..jamuhuri ya watu wa chui...na alikuwa jeshi lake lilikuwa
likiitwa watu wa chui...basi kipindi hicho serikali ilipeleka jeshi kupambana..na jeshi hilii na ilidumu
karibia wiki tatu..watu walikufa sana...katika vita hii...mkoa wa mara ulishamiri kwa mabomu....haitasaulika yani...ilikuwa bonge la civil war...wee acha tuu
 
Mkuu programming unamaanisha huyo jamaa aliyepandisha hiyo bendera alikuwa mwanajeshi! Je alitokana na jeshi letu la Jamuhuri? Na je jeshi lake aliloanzisha lilitokana na la Jamhuri?

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom