Historia iliyowekwa na Martin Pistorious iliyofanya aitwe ghost boy, wapo walioamini alikufa na kufufuka

Historia iliyowekwa na Martin Pistorious iliyofanya aitwe ghost boy, wapo walioamini alikufa na kufufuka

Echazzy

Member
Joined
Jan 20, 2018
Posts
65
Reaction score
67
[emoji117]Pichani anaitwa Martin Pistorious jina lake maarufu ni Ghost boy raia wa Africa kusini anaishi katika mji wa johanesburg.

[emoji116]Mnamo mwaka 1988 Martin ali ugua kwa ugonjwa wa T.B na Crypococcal meningitis
baada ya kupelekwa hospitali hali yake ili badilika ghafla na kupoteza fahamu kwa muda wa miaka 12 hakuweza kufanya chochote kwa muda huo na alikuwa ana saidiwa kupumua kwa mashine.

[emoji117]baada ya miaka 12 kupita Martin ali zinduka ghafla na cha ajabu aliwasimulia yote waliokuwa wana yaongea kumuhusu yeye kwa mda wote aliopoteza fahamu.

Ikiwemo maneno ya mama ake ambapo ali mwambia daktari [emoji117]Anatamani martin afe tu kwa sababu hakuna matumaini ya kupona na kama ina wezekana ali muomba daktari akatishe uhai wa martini lakini daktari alikataa kwasababu hakuna sheria hiyo nchini apo isipo kuwa kwa mapendekezo ya mgonjwa mwenyewe.

Na mengine mengi ali wasimulia walio yaongea kipindi yeye alipo kuwa amepoteza fahamu.

FB_IMG_1634563530287.jpg
 
Mwaka 2008 wakati bitcoin inaanzishwa, ilijitokeza fursa ya kujipatia sarafu kwa kuchimba (mining) kupitia computer bure. Wachache waliamini wakachimba ila wengi walipuuzia kwa kuwa hazikuwa na thamani ya pesa (monetary value) kwa wakati huo. Wale waliochimba wamenufaika kwa kuuza sarafu walizochimba.

Miaka 14 baadaye imejitokeza tena fursa ya kujipatia coin za RENEC kwa kufanya mining.

1. Kujisajili na kuchimba ni bure.
2. Hakuna ulazima wa kumuunga mwenzako.
3. Coin ikizinduliwa waweza kutoa pesa kwa njia ya simu au benki.

Kama upo willing, nicheki DM kwa maelezo zaidi na jinsi ya kujiunga njoo DM ni buure bila hata 50

Pia waweza kutembelea ukurasa wa instagram Heisslyman Msaba
 
Back
Top Bottom