President Elect
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 693
- 212
Historia itasomeka hivi: hapo zamani za kale serikali ya Tanzania...ilitaka wananchi wake waipigie kura ya maoni Katiba inayopendekezwa tarehe 30/04/2015, maaskofu na ukawa wakatia ngumu, na zoezi likasitishwa kwa shingo upande na mwenyekiti wa tume ya uchaguzi (NEC).