Historia itasomeka hivi: hapo zamani za kale serikali ya Tanzania...

President Elect

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
693
Reaction score
212
Historia itasomeka hivi: hapo zamani za kale serikali ya Tanzania...ilitaka wananchi wake waipigie kura ya maoni Katiba inayopendekezwa tarehe 30/04/2015, maaskofu na ukawa wakatia ngumu, na zoezi likasitishwa kwa shingo upande na mwenyekiti wa tume ya uchaguzi (NEC).
 

Huna akili timamu, kwa taarifa yako katiba hii ni NDIYOOOO na itaweka historia kubwa ya kupita, ushindwe na ulegee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…