Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
Mwaka 2016 kwenye CAF Confideration Cup Yanga walikutana na Medeama kwenye kundi moja.
Kundi hilo lilikuwa na timu nne ,Tp Mazembe, Yanga, Mo Bejaia na Medeama.
Kwenye msimamo
Tp Mazembe aliongoza kwa points 13
Medeama points 8
Mo Bejaia points 8
Yanga points 4
............................
Head to head Yanga Dar es salaam alipata draw ya 1-1
Na kwenye mechi ya marudiano Ghana Medeama alishinda kwa 3-1.
Waliofuzu hiyo kundi iliksuwa Tp Mazembe na Medeama.
Kundi hilo lilikuwa na timu nne ,Tp Mazembe, Yanga, Mo Bejaia na Medeama.
Kwenye msimamo
Tp Mazembe aliongoza kwa points 13
Medeama points 8
Mo Bejaia points 8
Yanga points 4
............................
Head to head Yanga Dar es salaam alipata draw ya 1-1
Na kwenye mechi ya marudiano Ghana Medeama alishinda kwa 3-1.
Waliofuzu hiyo kundi iliksuwa Tp Mazembe na Medeama.