Sasa kuna mtu anaeandika thread za timu ya Simba kama huyu Utopolo Labani og ? Mbona kawaida tuu waache tuu ndo utani unanoga...Yani we jamaa unsipenda Sana yanga inavyoelekea ukilala unaiota kabisa, yani kiiiila siKu kuiandika yanga utadhani wamekuolea dada yako. Huwezi kuandika jambo lolote bila kuihusisha yanga we kolo. Hamia huku unavyoonekana bila yanga huwezi andika chochote yani. Tokea mpigwe 5 akili zimewavurugia sn na unaifuatilia Sana yanga. Hamia huku kolo.
Mkuu hiyo ni takwimu na historia sasa kosa langu ni lipi hapa,tunajuzana tu we una uhuru wa kuleta hata uchambuzi wa ushindi wako wa goli 5 hakatazwiYani we jamaa unsipenda Sana yanga inavyoelekea ukilala unaiota kabisa, yani kiiiila siKu kuiandika yanga utadhani wamekuolea dada yako. Huwezi kuandika jambo lolote bila kuihusisha yanga we kolo. Hamia huku unavyoonekana bila yanga huwezi andika chochote yani. Tokea mpigwe 5 akili zimewavurugia sn na unaifuatilia Sana yanga. Hamia huku kolo.
Hata yeye hajakatazwa mbona kuna uzi wake upo unaendelea kwenye jukwaaSasa kuna mtu anaeandika thread za timu ya Simba kama huyu Utopolo Labani og ? Mbona kawaida tuu waache tuu ndo utani unanoga...