Historia: Miaka ya Before Christ (BC) ilianza lini?

bagain

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2011
Posts
363
Reaction score
229
Hi wana JF,

Ningependa kujua tunapoongelea au kusoma historia mara nyingi utakutana na neno mwaka ...... BC.

Ningependa kujua ni mwaka upi hiyo BC ilianza?

Kwa sababu miaka hii tuliyonayo najua ilianza na mwaka wa 1.
 
Miaka yote ilianza kuesabiwa wakati wa jesus i mean yesu alipozaliwa ndio uliokuwa mwaka wa kwanza ndo mana chrismas na mwaka mpya viko pamoja xo mwaka huu ni 2013AD(anno domino) means after christ.so huu ni mwaka wa 2013 baada ya yesu kuzaliwa.na BC(before christ)nayo pia ilianza kuesabiwa yesu alipozaliwa ila xa yenyewe ni kurudi nyuma ndo maana ya kabla ya yesu.na iyo ndo sababu pia waislam hawakubalian na hii miaka.weenyewe wanaesabu yao kutokana na mtume
 
ufafanuzi zaidi....wewe una miaka 11,mdogo wako(tumuite tony) ana miaka 5.je wewe umezaliwa miaka mingapi KABLA YA TONY?umesema 6 enhe?umejuaje kama ni 6?umeanza kuhesabu kuanzia mwaka aliozaliwa tony kwenda kinyumenyume enhe?hivyo ndivyo inavyohesabiwa miaka kabla ya kristo(bc)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…