Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,501
- 28,711
- Thread starter
-
- #21
Bas sawaSasa maelezo hayo yako yanapinga au yanakubali kwamba ukristo ni dini kongwe (kibabu) na Uislamu ni dini ya kisasa (modern religion)??!![emoji1787]
NAKUPA UTHIBITISHO WA PILIThibitisha Mungu yupo, na kwamba hizo habari za kuwapo kwake si hadithi za watu tu.
NAKUPA UTHIBITISHO WA PILI
ushahidi mpya uliopo sasa huonesha kuwa haiwezekani kwa uhai kuanza wenyewe., Lazima kuna Mwanzilishi ambaye ni Mungu.
Wakati mwingine huliita jambo hili abayojenesisi yaani, kuibuka kwa uhai kikemikali kutokana na vitu visivyo uhai. Seli hai moja ya kwanza ingehitaji mamia ya aina mbalimbali za molekyuli kubwa, zikiwemo kampaundi za mfumo wa jeni (RNA na/au DNA) ili kujitengeneza.
Molekyuli hizi ni ngumu kama sio kwamba haiwezekani kutengenezwa kwenye maabara achilia mbali kujitengeneza yenyewe kwa njia ya asili na nyingi sana haziko imara, zinavunjika kwa urahisi na kuwa kampaundi ndogondogo zaidi zisizotenda kazi. Aidha, nakala mamilioni za baadhi ya molekyuli hizi zingelihitajika mkusanyiko wa kutosha ili kusababisha mamia ya mabadiliko ya kikemikali kwenda kwenye mwelekeo sahihi kwa mwendo sahihi ili kuwa na uhai.
Mfumo wa kimahesabu unaonesha kuwa jambo hili haliwezekani kabisa kutokea kwa bahati tu. Kwa kweli, kama tukichukua bakteria hai aina ya E-coli mwenye seli moja na kutoboa tundu dogo katika utando wake wa nje, mchakato wake wa kikemikali utavurugika sana kiasi kwamba seli hiyo itakufa. Zaidi ya hayo, hakuna mwanadamu anayeweza kurejeshea uhai wa bakteria huyo. Vijenzi vyote vya kikemikali bado vipo, lakini hatuwezi kuanzisha tena mamia ya michakato ya kikemikali kwa pamoja katika hali hiyo isiyo na ulinganifu sharti linalohitajika ili kufanyika kwa uhai.
Tunapofikiria maarifa ya kisayansi tuliyonayo kuhusu uhai duniani, tunaweza kusema kwa hakika kuwa uibukaji peke yake kama chanzo cha aina mbalimbali za viumbe hai duniani ni jambo lisilowezekana kabisa. Badala yake, sayansi hudhihirisha uthibitisho wa mbunifu mwenye maarifa ya kushangaza sana akifanya kazi angalau kwenye kiwango fulani.
Kwa nini tusifikirie kile ambacho Biblia Takatifu inadai?
Mungu Muumba mwenye upendo aliiumba dunia yetu.
HAKUNA KILICHOTOKEA FROM NO WHERE
View attachment 1280896View attachment 1280897
Kwamba jamaa bado atapinga tu kama kawaida yake?Sikio la kufa halisikii dawa, wamesema Wahenga.[emoji1787]
Unafahamu "logical non sequitur" ni nini?NAKUPA UTHIBITISHO WA PILI
ushahidi mpya uliopo sasa huonesha kuwa haiwezekani kwa uhai kuanza wenyewe., Lazima kuna Mwanzilishi ambaye ni Mungu.
Wakati mwingine huliita jambo hili abayojenesisi yaani, kuibuka kwa uhai kikemikali kutokana na vitu visivyo uhai. Seli hai moja ya kwanza ingehitaji mamia ya aina mbalimbali za molekyuli kubwa, zikiwemo kampaundi za mfumo wa jeni (RNA na/au DNA) ili kujitengeneza.
Molekyuli hizi ni ngumu kama sio kwamba haiwezekani kutengenezwa kwenye maabara achilia mbali kujitengeneza yenyewe kwa njia ya asili na nyingi sana haziko imara, zinavunjika kwa urahisi na kuwa kampaundi ndogondogo zaidi zisizotenda kazi. Aidha, nakala mamilioni za baadhi ya molekyuli hizi zingelihitajika mkusanyiko wa kutosha ili kusababisha mamia ya mabadiliko ya kikemikali kwenda kwenye mwelekeo sahihi kwa mwendo sahihi ili kuwa na uhai.
Mfumo wa kimahesabu unaonesha kuwa jambo hili haliwezekani kabisa kutokea kwa bahati tu. Kwa kweli, kama tukichukua bakteria hai aina ya E-coli mwenye seli moja na kutoboa tundu dogo katika utando wake wa nje, mchakato wake wa kikemikali utavurugika sana kiasi kwamba seli hiyo itakufa. Zaidi ya hayo, hakuna mwanadamu anayeweza kurejeshea uhai wa bakteria huyo. Vijenzi vyote vya kikemikali bado vipo, lakini hatuwezi kuanzisha tena mamia ya michakato ya kikemikali kwa pamoja katika hali hiyo isiyo na ulinganifu sharti linalohitajika ili kufanyika kwa uhai.
Tunapofikiria maarifa ya kisayansi tuliyonayo kuhusu uhai duniani, tunaweza kusema kwa hakika kuwa uibukaji peke yake kama chanzo cha aina mbalimbali za viumbe hai duniani ni jambo lisilowezekana kabisa. Badala yake, sayansi hudhihirisha uthibitisho wa mbunifu mwenye maarifa ya kushangaza sana akifanya kazi angalau kwenye kiwango fulani.
Kwa nini tusifikirie kile ambacho Biblia Takatifu inadai?
Mungu Muumba mwenye upendo aliiumba dunia yetu.
HAKUNA KILICHOTOKEA FROM NO WHERE
View attachment 1280896View attachment 1280897
Kama umeshindwa kuelewa nilichokuambiaUnafahamu "logical non sequitur" ni nini?
Kwa nini unafikiri wewe ndiye wa kunisaidia mimi?Kama umeshindwa kuelewa nilichokuambia
Bas sina cha kukusaidia
Unakimbilia swali wakati nimekupa thibitisho 2,Kwa nini unafikiri wewe ndiye wa kunisaidia mimi?
Hujajibu swali.
Unafahamu "logical non sequitur" ni nini?
Unafahamu "logical non sequitur" ni nini?Unakimbilia swali wakati nimekupa thibitisho 2,
Unaenda kuuliza maswali ambayo haya kichwa wala mguu
Kama nilichokwambia hujaelewa bas tutakesha hapa
Ila itafika muda utaanzisha Uzi humu ukikiri hakika Mungu yupo
Unafahamu "logical non sequitur" ni nini?
Hajasema hafahamu, usimsemee.Hafahamu, mimi pia sifahamu unaweza kutuambia ni hicho?
Alaa, kumbe Ukristo ni dini "kikongwe" (kibabu)!!🤣🤣.
Uislamu ni dini ya kisasa (modern)
Taarabu ya issa matona old taarabuUkristo ni old taarabu,🤣
Taarabu ya issa matona old taarabu
Taarabu ya omari kopa modern taarabu how do you find that?
Bomboclot hahahahaNON SEQUITUR, 🤣🤣🤣🤣
Hahahah halaf uyu kiranga atwambie nini hiki ili nijue huu ugomvi nitumie siraha gan nisije kujikuta napigana na barakaNON SEQUITUR, 🤣🤣🤣🤣