Halafu amini usiamini; babangu alikuwa anasema amesoma na Azizi Ally wakati hata hiyo 1950 yenyewe alikuwa hajaliona hata jua!!Mkuu Maalim asante kwa simulizi hizi murua, nilikuwa napasikia tuu Mtoni kwa Aziz Ali, sikupata kumjua wala kumsikia mzee huyu!.
Tutafutie na habari za Musa Hassan wa jila la Msasani, na wazee wengine waliolipa jiji letu majina.
P
Mkuu Maalim asante kwa simulizi hizi murua, nilikuwa napasikia tuu Mtoni kwa Aziz Ali, sikupata kumjua wala kumsikia mzee huyu!.
Tutafutie na habari za Musa Hassan wa jila la Msasani, na wazee wengine waliolipa jiji letu majina.
P
Sio woteManeno yako ni mazuri sana! Na inafaa sana yakafanyiwa kazi. Sijui hawa waandishi habari wa Tanzania wanafanya kazi gani! Yaani wamejawa na upuuzi upuuzi na umbea tu.
Tatizo lako unaskiliza wasafi fm lini utasikia. TBC mbona wanaandaa sana hivi vipindiMtoni mtogani kwa Azizi Ally kumbe kuna Historia mzuri lakn TV na RADIO zetu huwezi kukuta wameandaa documentary ili vizazi na vizazi vifaidike.Make watoto wanaokua sa hv wanamuona DIAMOND NA ZARI Kama wapigania UHURU
Mungu aendelee kumlinda au amuhifadhi?. Amuhifadhi utaendelea kufaidikaje?, labda kwa rejea za maandiko yake, au wenzetu Mungu akiisha kukihifadhi utaendelea kufaidisha watu ukiwa kule?.Mungu azidi kukuhifadhi mzee Wetu Mohamed Said tuweze kufaidika na historia murua.
Yuuu wabeja sana paasi,nimejifunza historia nzuri!Utangulizi
Aziz Ali alifariki mwaka wa 1950 miezi michache baada ya kutoka kuhiji Makka. Hata kwa mbali katika maisha yake haikumpitikia kuwa mali aliyoacha nyuma itakuja kutumika katika kupigania uhuru wa Tanganyika kwanza fedha zake zikitumika wakati wa TAA kisha TANU kupitia mwanae wa kwanza Dossa Aziz. Itoshe kusema tu gari alilomnunulia mwanae Nairobi mwaka wa 1947 kama kiliwazo baada ya kukataliwa katika masomo ya urubani kwa kuwa ni mtu mweusi, ndilo Dossa alilitoa kwa TANU mwaka wa 1954 kwa ajili ya kumsaidia Mwalimu Nyerere kufanya kazi zake kwa wepesi.
Aziz Ali
Aziz Ali amekuja Dar es Salaam mwanzo wa Vita Kuu ya Kwanza (1914-1918) akiwa askari katika jeshi la Wajerumani na baada ya vita aliajiriwa na Goa mmoja.
Mwajiri wake alipoondoka nchini alimwachia Aziz Ali gari mbili na hizi ndizo alizokuwa akifanyia biashara hapo mwanzo na kufungua kampuni ya ujenzi akaajiri mafundi.
Aziz Ali akiwa kijana
Kwa hakika jina lake hasa ni Ali Kidonyo.
Hili ndilo jina lake alilojulikana akiwa mtoto na kisha kijana kwao Tanga.
Hili Aziz alipewa na watu wa Dar es Salaam kwa hisani na wema wake.
Yeye alikuwa akitoa fursa kwa watu kumpa pesa kidogo kidogo kama malipo ya nyumba alizokuwa anawajengea na alikuwa mtu akishindwa kulipa akimpa muda hadi atakapoweza.
Nyumbani kwake mwezi Mtukufu wa Ramadhani alikuwa akitandika nje majamvi na kufuturisha hadi watu 100 asiowajua wakija wanafuturu na kuondoka.
Ndipo wakamwita "Aziz" yaani "Mpenzi." Ikawa wakimtaja jina wanatanguliza "Aziz," yaani "Kipenzi chetu Ali."
Kidonyo jina hili la kwao Tanga likafa kabisa.
Aziz Ali alikuwa mcha Mungu sana.
Alikataa kumwanzisha shule mwanae mkubwa Waziri maarufu kwa jina la Dossa hadi kwanza ahitimu Qur'an.
Hii ikapelekea Dossa kuanza shule darasa la kwanza akiwa na miaka 14 akawa darasa moja na Abbas Sykes mdogo wa tatu kwa rafiki yake Abdulwahid Sykes.
Paskali, Mussa Hassan "Mgosi" yule wa Simba na Coastal Union?Tutafutie na habari za Musa Hassan wa jila la Msasani, na wazee wengine waliolipa jiji letu majina. P
No ni Mzee Mussa Hassan aliyekuwa akiishi Mikoroshini, Wamakonde wakashindwa kutamka Musa Hassan, wakatamka Mucha Achani ndipo ikageuka Msasani. Beach yake ilikuwa na nyumba 6 tuu, ya Nyerere, Kambona, Bert Shackland, Simbeye, Naburi not uwanja tupu wa Tewa Said Tewa. Mbele ya Mikoroshini kulikuwa na miti ya mikoche ndio asili ya Mikocheni.Paskali, Mussa Hassan "Mgosi" yule wa Simba na Coastal Union?
Tatizo lako unaskiliza wasafi fm lini utasikia. TBC mbona wanaandaa sana hivi vipindi
hahahha[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]Mtoni mtogani kwa Azizi Ally kumbe kuna Historia mzuri lakn TV na RADIO zetu huwezi kukuta wameandaa documentary ili vizazi na vizazi vifaidike.Make watoto wanaokua sa hv wanamuona DIAMOND NA ZARI Kama wapigania UHURU
Umesahau nyumba ya Sir George Kahama.No ni Mzee Mussa Hassan aliyekuwa akiishi Mikoroshini, Wamakonde wakashindwa kutamka Musa Hassan, wakatamka Mucha Achani ndipo ikageuka Msasani. Beach yake ilikuwa na nyumba 6 tuu, ya Nyerere, Kambona, Bert Shackland, Simbeye, Naburi not uwanja tupu wa Tewa Said Tewa. Mbele ya Mikoroshini kulikuwa na miti ya mikoche ndio asili ya Mikocheni.
P
Sir George ni Masaki, enzi hizo ikiitwa Kichangachui.Umesahau nyumba ya Sir George Kahama.
Ok basi ana nyingine ukanda huo huo wa baharini ulipofanyika msiba wake.Sir George ni Masaki, enzi hizo ikiitwa Kichangachui.
P
Inawezakana kweli Azi Ali ana mtoto wa kiume nae anaitwa Aziz AliHalafu amini usiamini; babangu alikuwa anasema amesoma na Azizi Ally wakati hata hiyo 1950 yenyewe alikuwa hajaliona hata jua!!
Najua wazee wetu ni wahongo kishenzi lakini babangu mimi kazidi aisee, dah!
Ardhini kumemeza mashujaa wengi mnoo .
Wagalatia walikuwa vibaraka wa wakoloni kasoro Rupia na wengine wachache ndio maana historia yao haivumiHa ha haa! Nilitaka this time atoe historia ya Mkristu walau mmoja, maana kila historia anayotoa ni ya mwenzetu tu kama vile Tanganyika haikuwa na wagalatia
Mikoche ndio miti gani? Au ndiyo hiihii mikoko!No ni Mzee Mussa Hassan aliyekuwa akiishi Mikoroshini, Wamakonde wakashindwa kutamka Musa Hassan, wakatamka Mucha Achani ndipo ikageuka Msasani. Beach yake ilikuwa na nyumba 6 tuu, ya Nyerere, Kambona, Bert Shackland, Simbeye, Naburi not uwanja tupu wa Tewa Said Tewa. Mbele ya Mikoroshini kulikuwa na miti ya mikoche ndio asili ya Mikocheni.
P
Yes mikoche ni mikokoMikoche ndio miti gani? Au ndiyo hiihii mikoko!
we mzee Mungu akusaidie tu, hii yote unaandika ukiwa na ukereketwa wa kidini, unataka kutuambia, kama ulivyozoea, kwamba waislam ndio waliokomboa nchi hii na kwamba wanaonewa, na huna ushahidi wala sababu ya msingi kusema hivyo.Utangulizi
Aziz Ali alifariki mwaka wa 1950 miezi michache baada ya kutoka kuhiji Makka. Hata kwa mbali katika maisha yake haikumpitikia kuwa mali aliyoacha nyuma itakuja kutumika katika kupigania uhuru wa Tanganyika kwanza fedha zake zikitumika wakati wa TAA kisha TANU kupitia mwanae wa kwanza Dossa Aziz. Itoshe kusema tu gari alilomnunulia mwanae Nairobi mwaka wa 1947 kama kiliwazo baada ya kukataliwa katika masomo ya urubani kwa kuwa ni mtu mweusi, ndilo Dossa alilitoa kwa TANU mwaka wa 1954 kwa ajili ya kumsaidia Mwalimu Nyerere kufanya kazi zake kwa wepesi.
Aziz Ali
Aziz Ali amekuja Dar es Salaam mwanzo wa Vita Kuu ya Kwanza (1914-1918) akiwa askari katika jeshi la Wajerumani na baada ya vita aliajiriwa na Goa mmoja.
Mwajiri wake alipoondoka nchini alimwachia Aziz Ali gari mbili na hizi ndizo alizokuwa akifanyia biashara hapo mwanzo na kufungua kampuni ya ujenzi akaajiri mafundi.
Aziz Ali akiwa kijana
Kwa hakika jina lake hasa ni Ali Kidonyo.
Hili ndilo jina lake alilojulikana akiwa mtoto na kisha kijana kwao Tanga.
Hili Aziz alipewa na watu wa Dar es Salaam kwa hisani na wema wake.
Yeye alikuwa akitoa fursa kwa watu kumpa pesa kidogo kidogo kama malipo ya nyumba alizokuwa anawajengea na alikuwa mtu akishindwa kulipa akimpa muda hadi atakapoweza.
Nyumbani kwake mwezi Mtukufu wa Ramadhani alikuwa akitandika nje majamvi na kufuturisha hadi watu 100 asiowajua wakija wanafuturu na kuondoka.
Ndipo wakamwita "Aziz" yaani "Mpenzi." Ikawa wakimtaja jina wanatanguliza "Aziz," yaani "Kipenzi chetu Ali."
Kidonyo jina hili la kwao Tanga likafa kabisa.
Aziz Ali alikuwa mcha Mungu sana.
Alikataa kumwanzisha shule mwanae mkubwa Waziri maarufu kwa jina la Dossa hadi kwanza ahitimu Qur'an.
Hii ikapelekea Dossa kuanza shule darasa la kwanza akiwa na miaka 14 akawa darasa moja na Abbas Sykes mdogo wa tatu kwa rafiki yake Abdulwahid Sykes.
Nashukuru nimejifunza kitu, sikuwahi kujua kuwa mikocheni ni jina lililotokana na hiyo miti ya mikoche.Yes mikoche ni mikoko
P