Julius Kaisari
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 1,176
- 677
Ndugu wakuu, Maveterani wa kitambo,na wote wenye ufahamu,Salaam.
Ninapenda kufahamu juu ya Wakuu wa "Jeshi" la Police, IGPs tangu Tanganyika huru na baadae Tanzania,na rekodi zao , walau zinazokumbukwa.
Nimefikia hatua hii ya kuleta hapa jambo hili hasa wakati huu ambapo Ma-polisi wanaonekana miungu watu,watoa Roho za raia,pasipo kuulizwa,na wanatokeza kifua mbele kutuaminisha hadithi zao za uongo,kama vile wote sisi ni mazuzu.
Pia Leo katika kipindi cha Jenerali on monday, nimemsikia Jaji Mihayo akichukulia mfano mmojawapo wa Kufutwa kazi kwa Inspector Aziz, nadhani wakati wa Jemedari Mwl J.K Nyerere..kwa kosa la Kugonga mtu barabarani (TRAFFIC CASE) na akachelewa ku-report kituo cha Polisi despite ya ukuu wake...Mwalim Nyerere alimtimua.!!
Sasa naomba labda tupate historia zaidi na mikasa zaidi hasa kwa ajili ya "Ilmu".
Natumaini wadau kina JokaKuu, Kichuguu , Mzee Mwanakijiji na wengineo mtakuwa na habari zaidi.
Samahani kama ilishaongelewa hapa.
Ninapenda kufahamu juu ya Wakuu wa "Jeshi" la Police, IGPs tangu Tanganyika huru na baadae Tanzania,na rekodi zao , walau zinazokumbukwa.
Nimefikia hatua hii ya kuleta hapa jambo hili hasa wakati huu ambapo Ma-polisi wanaonekana miungu watu,watoa Roho za raia,pasipo kuulizwa,na wanatokeza kifua mbele kutuaminisha hadithi zao za uongo,kama vile wote sisi ni mazuzu.
Pia Leo katika kipindi cha Jenerali on monday, nimemsikia Jaji Mihayo akichukulia mfano mmojawapo wa Kufutwa kazi kwa Inspector Aziz, nadhani wakati wa Jemedari Mwl J.K Nyerere..kwa kosa la Kugonga mtu barabarani (TRAFFIC CASE) na akachelewa ku-report kituo cha Polisi despite ya ukuu wake...Mwalim Nyerere alimtimua.!!
Sasa naomba labda tupate historia zaidi na mikasa zaidi hasa kwa ajili ya "Ilmu".
Natumaini wadau kina JokaKuu, Kichuguu , Mzee Mwanakijiji na wengineo mtakuwa na habari zaidi.
Samahani kama ilishaongelewa hapa.