Historia ya Inspekta mkuu wa polisi (IGP) tokea tupate Uhuru

Kaka JokaKuu, ...............................Umenikumbusha mbali sana kuhusu Hamisi Nyau, miaka ya nyuma palikuwa na story nyingi sana zikimuhusu huyo jamaa, ujambazi na ushirikina...................tunaweza pata kumbukumbu nzuri sana humu
 

Waziri wa Mambo ya Ndani wakati huo alikuwa Abdallah Natepe.
 
gobore,

..asante kwa marekebisho yako.

..ndiyo uzuri wa JF kwamba tunarekebishana.

..sasa naomba isomeke kwamba mkuu wa magereza aliyejiuzulu ni Geneya Gabriel, na siyo Mwanguku.
 
Last edited by a moderator:
gobore,

..asante kwa marekebisho yako.

..ndiyo uzuri wa JF kwamba tunarekebishana.

..sasa naomba isomeke kwamba mkuu wa magereza aliyejiuzulu ni Geneya Gabriel, na siyo Mwanguku.

Ngoja nijaribu kuweka timeline kama kumbukumbu yangu ilivyo kwa hawa Makamishna wa Magereza,wanaojua zaidi watanisahihihisha makamishna wa magereza waliopata kuongoza ni

Obadia Rugimbana(62-66) huyu ni baba yakemzazi Jordan Rugimbana Dc Kinondoni,Ramadhani Nyamka(67-77),Gabriel Ganja Geneya (77- 83 or 82),Simon Mwanguku,Jumanne Mangara,Ornel Mallisa( Benno Mallisa dad...tetesi am not sure),Nicas Banzi 2001-2007( Huyu ndo alitoka kwa aibupamoja na waziri wake Omari Mapuri baada yakupiga waandishi wa habari) halafu Agustino Nanyaro 2007 mpaka 2012 kamuachia Fidelis Mboya anayekaimu kuanzia May


Note:
..........kuanzia Uhuru jeshi liliongozwa na Commisioner of Prisons ila muundo ulikuja kubadilishwa mwaka 1974 na mkuu kuwa Commisioner General of Prisons na hivyo basi kumfanya RamadhaniNyamka kuwa mtanzaniawa kwanza kushika cheo hicho

.........graduate wa kwanza(Degree holder) kwenye majeshi yote ya Tanzania alitokea Magereza, Commisioner Ganja Geneya


Pamoja
 
Baada ya Natepe, Waziri aliemfuata alikuwa na General Kimario, na nadhani huyu ndiye aliyekumbwa na skendo ya majambazi kutoroka, kama kumbukumbu yangu ni sahihi. Brigedia Natepe alipoondoka alipongezwa sana na wabunge wote lakini General Kimaryo alipoondoka ilikuwa ni kimya kimya tu; nadhani alitupwa kuwa mkuu wa mkoa fulani badala yake.
 
Kwani wewe ulikuwa Tabora mwaka gani . Mimi nilisoma tabora katiya mwaka 1978 na 1980 namkumbuka mtoto wa mzee Mgaya yeyealikuwa Milambo Sekondari O level
 
Mkuu naomba kujua huyu Marehemu Mzee Michael Mgema ambaye baadae alikuja kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza hakuwahi kuwa IGP?
 
Wakuu naomba kujua huyu Marehemu Mzee Michael Mgema ambaye baadae alikuja kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza hakuwahi kuwa IGP?
 
Kwani wewe ulikuwa Tabora mwaka gani . Mimi nilisoma tabora katiya mwaka 1978 na 1980 namkumbuka mtoto wa mzee Mgaya yeyealikuwa Milambo Sekondari O level
Huenda ndiye huyo huyo; alikuwa anatumikia sana kwenye ibada za kanisa katoliki.

Vipi wewe ulisoma kwa miaka mitatu tu?
 
Wakuu naomba kujua huyu Marehemu Mzee Michael Mgema ambaye baadae alikuja kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza hakuwahi kuwa IGP?
Mkuu , Mtemi Michael Mjema hakuwahi kuwa IGP, alivyotoka kuwa RPC Dodoma yeye na wake zake zake alihamia DSM na kuwa mkuu wa kitengo kile cha Afande Tossi, kisha baada ya hapo na wake zake alistahafu na hatimae kuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza
 
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]1964 – 1970[/TD]
[TD="align: center"]1970 – 1973[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Elangwa N. Shaidi[/TD]
[TD="align: center"]Hamza Azizi.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]7/8/1973 – Aug 1975[/TD]
[TD="align: center"]8/8/1975 – Nov 1980[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Samweli H. Pundugu.[/TD]
[TD="align: center"]Philemon N. Mgaya.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]2/11/1980 – 30/11/1984[/TD]
[TD="align: center"]1/12/1984 – 3/5/1996[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Solomoni Liani.[/TD]
[TD="align: center"]Harun G. Mahundi.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]4/5/1996 – 2/3/2006[/TD]
[TD="align: center"]3/3/2006 Hadi sasa
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Omar I. Mahita.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
[TABLE="class: mceItemTable"]
[TR]
[TD="class: t_big_bold, colspan: 3, align: center"] WAKURUGENZI WA IDARA YA UPELELEZI (CID) TANGU 1960 HADI LEO.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: t_big_bold, colspan: 3"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: t_big_bold, width: 13%"]
[/TD]
[TD="class: t_big_bold, width: 72%, bgcolor: #cccccc"] [TABLE="class: mceItemTable"]
[TR="class: t_small_b, bgcolor: #ffffff"]
[TD="width: 32%, bgcolor: #ffffff, align: center"] 17/9/1960-1/9/1961[/TD]
[TD="width: 34%"] M. J. McKinlay[/TD]
[TD="width: 34%"] ACP.[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b, bgcolor: #ffffff"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] 1/9/1961-19/7/1962[/TD]
[TD] K.F.J. Flood[/TD]
[TD] SSP.[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b, bgcolor: #ffffff"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] 19/7/1962-6/12/1962[/TD]
[TD] R. T. L. Egan[/TD]
[TD] ACP.[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b, bgcolor: #ffffff"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] 6/12/1962-2/8/1967[/TD]
[TD] E. E. Akena[/TD]
[TD] ACP.[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b, bgcolor: #ffffff"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] 2/81967-13/11/1967[/TD]
[TD] R.S. Kaswende[/TD]
[TD] ACP.[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b, bgcolor: #ffffff"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] 13/11/1967-4/6/1968[/TD]
[TD] N.G.M. Sawaya[/TD]
[TD] SACP.[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b, bgcolor: #ffffff"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] 4/6/1968-2/9/1968[/TD]
[TD] A.R.Shungu[/TD]
[TD] SACP.[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b, bgcolor: #ffffff"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] 2/9/1968-23/9/1970[/TD]
[TD] N.G.M. Sawaya[/TD]
[TD] SACP[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b, bgcolor: #ffffff"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] 23/9/1970-21/5/1973[/TD]
[TD] S.H.Pundugu[/TD]
[TD] CP.[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b, bgcolor: #ffffff"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] 21/5/1973-28/5/1975[/TD]
[TD] B.M. Omari[/TD]
[TD] CP.[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b, bgcolor: #ffffff"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] 28/5/1975-14/8/1975[/TD]
[TD] F.M. Mtono[/TD]
[TD] SACP.[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b, bgcolor: #ffffff"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] 14/8/1975-15/2/1977[/TD]
[TD] H.M.Lyimo[/TD]
[TD] CP.[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b, bgcolor: #ffffff"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] 12/2/1977-21/5/1981[/TD]
[TD] M.Mwingira[/TD]
[TD] CP.[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b, bgcolor: #ffffff"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] 21/5/1981-6/3/1985[/TD]
[TD] J.M.Lemomo[/TD]
[TD] CP.[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b, bgcolor: #ffffff"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] 7/3/1985-30/6/1992[/TD]
[TD] A.A.B.Mwaitenda[/TD]
[TD] CP.[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b, bgcolor: #ffffff"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] 22/10/1992-3/5/1996[/TD]
[TD] E.A.Man[/TD]
[TD] CP.[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b, bgcolor: #ffffff"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] 4/5/1996-2/3/2006[/TD]
[TD] Adadi Rajab[/TD]
[TD] CP.[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b, bgcolor: #ffffff"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] 3/3/2006 Hadi sasa[/TD]
[TD] R.S. Manumba[/TD]
[TD] CP.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

 
[TABLE="class: mceItemTable"]
[TR]
[TD="class: t_big_bold, colspan: 3, align: center"]VIONGOZI WA JESHI LA POLISI WAKATI WA UKOLONI HADI UHURU.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: t_big_bold, colspan: 3"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: t_big_bold, width: 16%"]
[/TD]
[TD="class: t_big_bold, width: 68%, bgcolor: #cccccc"] [TABLE="class: mceItemTable"]
[TR="class: t_small_b, bgcolor: #ffffff"]
[TD="width: 22%, bgcolor: #ffffff, align: center"] 1916 – 1920[/TD]
[TD="width: 78%"] Major S.T. Davis.[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b, bgcolor: #ffffff"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] 1920 – 1929[/TD]
[TD] E.F. Brown.[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b, bgcolor: #ffffff"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] 1929 – 1933[/TD]
[TD] G.H. Kiram.[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b, bgcolor: #ffffff"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] 1933 – 1942[/TD]
[TD] F.A.B. Nicholl.[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b, bgcolor: #ffffff"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] 1942 – 1949[/TD]
[TD] E.B. Birthray.[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b, bgcolor: #ffffff"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] 1949 – 1951[/TD]
[TD] W.A. Muller.[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b, bgcolor: #ffffff"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] 1951 – 1958[/TD]
[TD] R.E. Fouler.[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b, bgcolor: #ffffff"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] 1958 – 1962[/TD]
[TD] G.S. Wilson.[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b, bgcolor: #ffffff"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] 1962 – 1964[/TD]
[TD] E.N. Shaidi.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[TD="class: t_big_bold, width: 16%"]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: mceItemTable"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
INSPEKTA JENERALI WA POLISI TANGU MUUNGANO HADI LEO.
[TABLE="class: mceItemTable, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TD]
[TD="align: center"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"] 1964 – 1970
[/TD]
[TD="align: center"] 1970 – 1973[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"] Elangwa N. Shaidi[/TD]
[TD="align: center"] Hamza Azizi.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"] [/TD]
[TD="align: center"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TD]
[TD="align: center"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"] 7/8/1973 – Aug 1975[/TD]
[TD="align: center"] 8/8/1975 – Nov 1980[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"] Samweli H. Pundugu.[/TD]
[TD="align: center"] Philemon N. Mgaya.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"] [/TD]
[TD="align: center"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TD]
[TD="align: center"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"] 2/11/1980 – 30/11/1984[/TD]
[TD="align: center"] 1/12/1984 – 3/5/1996[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"] Solomoni Liani.[/TD]
[TD="align: center"] Harun G. Mahundi.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"] [/TD]
[TD="align: center"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TD]
[TD="align: center"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"] 4/5/1996 – 2/3/2006[/TD]
[TD="align: center"] 3/3/2006 Hadi sasa[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"] Omar I. Mahita.[/TD]
[TD="align: center"] Saidi A. Mwema.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
HISTORIA YA JESHI LA POLISI – TANZANIA
[TABLE="class: mceItemTable"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: mceItemTable"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
[/TD]
[TD="width: 86%, bgcolor: #cccccc"] [TABLE="class: mceItemTable"]
[TR="class: t_small_b"]
[TD="align: center"] 1885[/TD]
[TD="width: 81%, bgcolor: #ffffff"] Wajerumani walifika Tanganyika ili kutawala, waliunda kikundi cha watu kilichofanya kazi ya Polisi.[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"]
[/TD]
[TD="bgcolor: #ffffff"]
[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] 1916[/TD]
[TD="bgcolor: #ffffff"] Vita kuu ya kwanza ikiendelea Ulaya na Afrika, kundi la Maafisa 31 (NCO) kutoka Afrika Kusini wakiwa na silaha (Rifle) walifika Tanganyika kufanya kazi za Polisi.[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"]
[/TD]
[TD="bgcolor: #ffffff"]
[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] 1919[/TD]
[TD="bgcolor: #ffffff"] Tarehe 25 August 1919 Serikali ya Kiingereza ilitangaza katika Gazeti la Serikali No.Vol.1 No.21-2583 kuwa Jeshi la Polisi Tanganyika limeanzishwa rasmi. Makao Makuu ya Jeshi hilo yalikuwa Wilayani Lushoto chini ya uongozi wa Major S.T DAVIS.[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"]
[/TD]
[TD="bgcolor: #ffffff"]
[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] 1921[/TD]
[TD="bgcolor: #ffffff"] Kundi lingine la Wakaguzi kutoka Ulaya lilifika nchini Tanganyika kuanzisha shule ya Mafunzo ya Polisi huko Morogoro.[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"]
[/TD]
[TD="bgcolor: #ffffff"]
[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] 1925[/TD]
[TD="bgcolor: #ffffff"] Kituo cha kwanza rasmi cha Polisi nchini kilifunguliwa huko Lupa Tingatinga kwenye machimbo ya dhahabu Chunya.[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"]
[/TD]
[TD="bgcolor: #ffffff"]
[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] 1930[/TD]
[TD="bgcolor: #ffffff"] Makao Makuu ya Polisi yalihamishwa kutoka Lushoto kuja Dar es Salaam.[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"]
[/TD]
[TD="bgcolor: #ffffff"]
[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] 1949[/TD]
[TD="bgcolor: #ffffff"] Motorized Company sasa Field Force Unit (F.F.U) kilianzishwa nchini kurejesha amani penye vurugu.[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"]
[/TD]
[TD="bgcolor: #ffffff"]
[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] 1949[/TD]
[TD="bgcolor: #ffffff"] Vijana mbalimbali wa Kiafrika toka shule mbalimbali za Sekondari Nchini walichaguliwa kujiunga na Jeshi la Polisi na kuwa Wakaguzi chini ya uangalizi (Probation Inspectors).[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"]
[/TD]
[TD="bgcolor: #ffffff"]
[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] 1952[/TD]
[TD="bgcolor: #ffffff"] Kikosi cha Mawasiliano (Signals Branch) kilianzishwa katika Polisi bila kutumia nyaya za simu.[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"]
[/TD]
[TD="bgcolor: #ffffff"]
[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] 1958[/TD]
[TD="bgcolor: #ffffff"] Askari wa Polisi wa Kikie (Women Police) walijiunga na Jeshi la Polisi chini ya uongozi wa Miss. Payee.[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"]
[/TD]
[TD="bgcolor: #ffffff"]
[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] 1961[/TD]
[TD="bgcolor: #ffffff"] Tarehe 9 Desemba, 1961 Tanganyika ilipata uhuru wake. Baada ya uhuru, Jeshi la Polisi lilianza kubadili mwelekeo toka katika kutumikia Wakoloni na Walengwa wakawa ni Wananchi kwa mujibu wa sera za Serikali ya Wananchi.[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"]
[/TD]
[TD="bgcolor: #ffffff"]
[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] 1962[/TD]
[TD="bgcolor: #ffffff"] Kwa mara ya kwanza nafasi ya Kamishna wa Polisi aliyekuwa Mzungu Mr. M.S Wilson – C.P, ilichukuliwa na Mwafrika
Mr. Elangwa Shaidi – C.P.
[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"]
[/TD]
[TD="bgcolor: #ffffff"]
[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] 1962[/TD]
[TD="bgcolor: #ffffff"] Maafisa 10 Waafrika waliteuliwa kuchukua nafasi za wakuu wa Polisi wa Mikoa (Regional Police Commanders).[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"]
[/TD]
[TD="bgcolor: #ffffff"]
[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] 1964[/TD]
[TD="bgcolor: #ffffff"] Tarehe 26/04/1964 Tanganyika na Zanzibar ziliungana na hivyo kuunda Tanzania. Kwa hiyo Mr. Elangwa Shaidi alipandishwa cheo nakuwa Inspekta Jenerali wa Polisi (IJP).[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] [/TD]
[TD="bgcolor: #ffffff"] Alisaidiwa na Makamishna watatu wa Polisi ambao ni:-[/TD]
[/TR]
[TR="class: t_small_b"]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: center"] [/TD]
[TD="bgcolor: #cccccc"] [TABLE="class: mceItemTable"]
[TR="bgcolor: #ffffff"]
[TD="class: t_small_b, align: center"] 1.[/TD]
[TD="class: t_small_b, width: 30%"] Mr Edington Kisasi[/TD]
[TD="class: t_small_b, width: 63%"] Kamishna wa Polisi Zanzibar.[/TD]
[/TR]
[TR="bgcolor: #ffffff"]
[TD="class: t_small_b, align: center"] 2.[/TD]
[TD="class: t_small_b"] Mr. Hamza Azizi[/TD]
[TD="class: t_small_b"] Kamishna wa Polisi Bara.[/TD]
[/TR]
[TR="bgcolor: #ffffff"]
[TD="class: t_small_b, align: center"] 3.[/TD]
[TD="class: t_small_b"] Mr. Akena[/TD]
[TD="class: t_small_b"] Kamishna wa Polisi CID.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[TD="width: 7%"]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
naona Mahundi ndio IGP aliyetumikia jeshi la polisi kwa muda mrefu kuliko wote na pengine historia yake isivunjwe (12yrs).

Wazee wa historia mnadhani kwanini alikaa kipindi kirefu hivi?

Copy Kichuguu gobore joka kuu Mzee Mwanakijiji Phillemon Mikael
 
Last edited by a moderator:

Kama sikosei Solomon Liani naye aliwahi kuwa IGP.
 

Mbona naona kama wengi ni watu wa kaskazi samahani lakini sioni wa Nyanda za Juuu kusini kama kule kwetu Namanyere
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…