Historia ya Jakaya Kikwete

Ila mbona hakukata jina lake? Kwani wakati huo ndio alikuwa Rais na angeweza kufanya hivyo, hebu jibu hili swali basi!
Mkapa alikuwa karibu na Magufuli hivyo Kikwete aliamua kukubali maana Mkapa hakuwa wa mchezo chochote kingetokea.
Hivyo ndio maana kwenye kampeni kama alisusa.
 
Degree ya uchumi miaka 6, alikuwa kilaza huyu. Angesoma udaktari si hadi leo angekuwa anahangaika na li cadaver lake[emoji23][emoji1][emoji23][emoji1]
Chuo kikuu alianza 1975 na sio 1972 sijajua kwa nini mleta mada ameamua kupotosha kwa makusudi
 
Una chuki tu nae hamna kingine lkn alikuwa rais bora kuliko wote
 
Pia rais mpya alilalamika kwa kukuta hazina haina fedha, mbali na madeni ya kimataifa kufikia kiasi cha karibu Shilingi za Tanzania milioni 1 kwa kila mwananchi.
Mnafiki mwendazake yule alilalamika nini wkt na yeye alikuwa Miongoni mwa wana timu!!!....Mitanzania mlivyo mijinga ukiwemo wewe mkalipigia makofi li mahutu lile!! ...naongea stukani!!

kwanza Gujiwe watanzania hawakulipenda!! lililazimisha tu kwa kuiba sana!!! Kikwete alipendwa mno mpaka kesho! !! ! na lile baraza lake jiwe! looote lilikuwa ni la wanafiki tupu!! leo hii ilifaa lipigwe chini lote!
 
 

Attachments

  • IMG_1419.MP4
    532.2 KB
Asante kwa kutujuza tumekuelewa vyema sana.
 
Uliandika histori ya Mwinyi kwa mbwembwe nyingi umezikosaje kwa jakaya?
 
Ipo vizuri sana
 
Uliandika histori ya Mwinyi kwa mbwembwe nyingi umezikosaje kwa jakaya?
Hii kwa jakaya imejikita katika historia ya kawaida nasi maisha yote.
Labda niandae nondo nyingine kuhusu Mheshimiwa Jakaya.
 
Raisi pekee mwanajeshi kamili tena graduate wa kijitonyama pale enzo zile!!!hatari Sana!!alikua anajiamini Sana hakuwatumia polisi kuzuia mikutano ya siasa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…