Moja beki tatu wetu ni ww ulikimbia nyumbani ulishika mimba yanguTimu inapendwa mno na mabeki tatu...itakua ndio walishindwa kuiita Young wakaita Yanga...
Ni mambo yale yale ya signal kuitwa ziginal, checkline kuitwa chekereni.. Kifupi wazaramo walishindwa kutamka young wakasema YANGA
Una utani na Wazaramo sio?Ni mambo yale yale ya signal kuitwa ziginal, checkline kuitwa chekereni.. Kifupi wazaramo walishindwa kutamka young wakasema YANGA.
We we una elimu gani?Kwakuwa utopolo wengi ni uneducated toka zama hizo walishindwa kutamka young /yang/ ndio wakatamka yanga hakuna jipya zaidi ya kukosa elimu.
Nini asili ya jinaTemeke Wailesi au Kariakoo? Au Msasani? Usipende kujifanya mjuaji huku ukianika umbumbumbu wako hadharani.Kwakuwa utopolo wengi ni uneducated toka zama hizo walishindwa kutamka young /yang/ ndio wakatamka yanga hakuna jipya zaidi ya kukosa elimu.
kwa sasa nimehamia simba na katoto kako ni kasimba kadogo...Moja beki tatu wetu ni ww ulikimbia nyumbani ulishika mimba yangu
Sure ni utani tuu ndugu...Ya kweli haya? ushabiki hauna daraja
Jiunge na app ya Yanga, lipia elfu kumi pale utasoma kila kitu.Habari,
Kwa muda mrefu sasa nimejaribu kufahamu na kujua chimbuko na historia ya jina YANGA lakini sijapata jibu.
Pia napata tabu kujua tofauti kati ya Yanga na Young Africans kutumiwa na timu moja katika matukio ya mechi za kitaifa na kimataifa.
Basi kwa faida yangu nitafurahi kujua zaidi kutoka Kwa wadau wenye uelewa mpana juu ya jambo hili.