Kanyigoboy
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 529
- 1,316
WaambieJamaa mbona mgumu kuelewa umeambiwa stand inajengwa, Daladala zipo mbna mgumu kuelewa wewe,,,,,,, inabidi tukuchunguze unapotaja maeneo kama ya karagwe eti kubovu Hivi Umefika omurushaka wewe???, kayanga je???, kiyanga???, jamaa angu ngoja nikwambie ni Hivi toka dar mpaka mutukula Kagera hakuna vumbi ni lami tupu, toka Bk mjini nenda karagwe ni lami tupu,,, unataka nini tena ama nikufungue Kingine????, wilaya ya kwanza Tanzania kuwaka umeme ilikuwa Kagera ikiitwa wilaya ya kanyigo (a.k.a ulaya ndogo) Hivi Sasa iko misenyi,,,, tuacheni Na Kagera yetu Jamani
mkoa wa kagera n wa tatu kwa umaskinAcha upumbavu we kwenu mna nini?
mkoa wa kagera n wa tatu kwa umaskinAcha upumbavu we kwenu mna nini?
anambie nn? kagera naifaham yote maisha ya huko n aibu achen mbwembwe mkoa wenu ni wa tatu kwa umaskinWaambie
OkDar Es Salaam.
Vipi kesho wa kwako ukiwemo alafu Kagera haimo? utachukua hatua gani kwa aliyetangaza?mkoa wa kagera n wa tatu kwa umaskin
Kilimanjaro haitakaa iwe mkoa maskini hadi yesu arudi,Kilimanjaro imejitambua tangu hata kabla ya Uhuru ndio maana n mkoa wa pili kwa watu wake kuushi maisha bora na makaz bora,Kilimanjaro hadi mbuz zinalala kwenye nyumba ya block yenye umeme,Kilimanjaro itazd kupaa kiuchumi maana watu wake wana akili mingi sio wapenda sifa kama wahaya mambo yao n kimyakimya kwenye elimu na biasharaVipi kesho wa kwako ukiwemo alafu Kagera haimo? utachukua hatua gani kwa aliyetangaza?
Mariasili na msaada mliopewa na serikali ingekuwa viko Kagera naamini leo ingekuwa ni habari ya kimataifa. Mna barabara 80% za lami, mna mlima kilimanjaro Afrika nzima, mna vyuo tele na bado mnashindwa kuwa hata ndani ya mikoa 5 katika GDP. Kimsingi vitu mlivyopewa havilingani na hapo mlipo wala kujilinganisha na mikoa mingine hapa Tz.Kilimanjaro haitakaa iwe mkoa maskini hadi yesu arudi,Kilimanjaro imejitambua tangu hata kabla ya Uhuru ndio maana n mkoa wa pili kwa watu wake kuushi maisha bora na makaz bora,Kilimanjaro hadi mbuz zinalala kwenye nyumba ya block yenye umeme,Kilimanjaro itazd kupaa kiuchumi maana watu wake wana akili mingi sio wapenda sifa kama wahaya mambo yao n kimyakimya kwenye elimu na biashara
Siwezi kubishana na wewe wakati nina kazi za kufanya. Kama ndivyo basi yulieni na mkae. kimya rais wetu afanye kazi yake. Kelele zenu na mipango yenu ya kuhujumu hatuitaki kwa uroho wenu na mkae macho kabla hamjapitwa na mikoa mingine isiyo na mariasili kama kwenu.ndugu unachekesha
1_miradi mikubwa ya kimaendeleo Kilimanjaro yote ishakamilka barabara kila kona,maji umeme zamaan mno sasa sindano zipi zituingie?
2_kule wanajituma kwa bidii kama sio elimu n biashara ndio maana mkoa umechangamka hakujasinyaa ka kwenu
3_umesema arusha imeipita KLM umesahau arusha uchumi 90% umeshikwa na watu wa klmnjaro? vitega uchumi vyote mahoteli,biashara,makampun ya utalii yanamilikiwa na watu wa KLM kwahiyo n dabl dable
4_kagera MNA ziwa,MNA border mbili tatizo lenu uvivu na kudharau kaz ndio maana mnazd kuwa maskini,hata uwekezaji mdg tu wa mabasi mmeshindwa hadi wachaga wamewaletea mabasi ya kuja kagera mfano kidia,Osaka,princes muro
5 hata cku moja kanda ya kaskazn haitakaa irudi nyuma mnajidanganya bure kule tangu kabla ya Uhuru watu wamepiga kitabu mfano mangi mareale alipata masters mwaka 1940 London,akina Dr kleruu nk,hata kiuchumi walikuwa vzr ndio maana walitaka kujitenga sasa mtaweza kuwadidimiza?
kila mkoa mwana Kilimanjaro yupo kama sio mtumishi wa umma basi anamilik mabiashara
itawachukua miaka 100 kudidimiza Kilimanjaro
Siwezi kubishana na wewe wakati nina kazi za kufanya. Kama ndivyo basi yulieni na mkae. kimya rais wetu afanye kazi yake. Kelele zenu na mipango yenu ya kuhujumu hatuitaki kwa uroho wenu na mkae macho kabla hamjapitwa na mikoa mingine isiyo na mariasili kama kwenu.
Umekalili hivyo vi historia uchwara wakati watu tunaongelea reality. Kwani ni wapi kusiko na historia? Kwani msomi wa kwanza ulimwenguni alitokea nchi gani ama ni Kilimanjaro? mnavyopenda sifa si hajabu ukasema ndo huko.. na hiyo nchi leo kukoje? Kwani ni nchi gani ya kwanza kuendelea limwenguni, na leo iko wapi? Unajua kwamba mpira ulianza China, na leo ukitizama unauona mpira uko wapi? Kama wewe ni mwanafunzi wa historia edelea na historia zako na hadithi zako za masimulizi ya abunuwasi na kukaririshwa.
Tulia sindano ziwaingie, ujinga wenu hatuutaki. Mumheshimu rais na muacheni afanye kazi, nyie kaeni na babu yenu.
naona umewehuka rasmiSiwezi kubishana na wewe wakati nina kazi za kufanya. Kama ndivyo basi yulieni na mkae. kimya rais wetu afanye kazi yake. Kelele zenu na mipango yenu ya kuhujumu hatuitaki kwa uroho wenu na mkae macho kabla hamjapitwa na mikoa mingine isiyo na mariasili kama kwenu.
Umekalili hivyo vi historia uchwara wakati watu tunaongelea reality. Kwani ni wapi kusiko na historia? Kwani msomi wa kwanza ulimwenguni alitokea nchi gani ama ni Kilimanjaro? mnavyopenda sifa si hajabu ukasema ndo huko.. na hiyo nchi leo kukoje? Kwani ni nchi gani ya kwanza kuendelea limwenguni, na leo iko wapi? Unajua kwamba mpira ulianza China, na leo ukitizama unauona mpira uko wapi? Kama wewe ni mwanafunzi wa historia edelea na historia zako na hadithi zako za masimulizi ya abunuwasi na kukaririshwa.
Tulia sindano ziwaingie, ujinga wenu hatuutaki. Mumheshimu rais na muacheni afanye kazi, nyie kaeni na babu yenu.
Vipi hizo sehemu nilizosema umefika. Kumbuka tunaongelea wahaya na si wakazi wengine.mkuu bukoba naifahamu yote
imechakaa lami imechubuka,stand n kichekesho hakuna hotel ya maana hata moja zaidi ya vi lodge vyenye makaratas kwenye magodoro,bukoba vijin nyumba za nyasi nyingi mno,misenyi,karagwe ndo kabisaaa,bukoba miundombnu IPO duni mfano muleba,kwakweli n sahihi KBS mkoa wenu kuww wa tatu kwa umaskini
Walikufanya nn wahaya mbona unawachukia hivyo mpaka koo linatoka kila post unaquotor ww tu utafikir muanzisha treadkumbe mnadharau kaz ndio maana mkoa wenu n maskin ukienda Kilimanjaro kaz kaz biashara na elimu ndio maana n mkoa wa pili kwa makaz bora na maisha bora
mhaya anategemea mshahara wa lak 5 anajiona bonge LA mjanja,wakati mchaga akiajiriwa lazma afanye shuguli nyngne ili awe tajir
ndio maana wahaya n maskin kumbe
ninajibu hojaWalikufanya nn wahaya mbona unawachukia hivyo mpaka koo linatoka kila post unaquotor ww tu utafikir muanzisha tread
miseny sio uhayan? muleba je,bukoba vijijin je?Vipi hizo sehemu nilizosema umefika. Kumbuka tunaongelea wahaya na si wakazi wengine.
mkuu kilimanjaro imeendelew zaman sana itawwchukua miaka 50 mikoa mingine kuifikiaBila Unafiki Wachaga Wapo Juu Sana.
Nilifika Marangu Ambapo Ni Kijijini Kuna Hivi Vitu.
.
.
Lami Ya Kiwango Cha Mikoani Mpaka Vilabu Vya Pombe.
Bank Ya CRDB
Supermarket Pale =Mamba Kotela
Night Pub = The Babylon
Lodge Na Hotel Za Kisasa Za Kitalii = Nakara, Capricorn, Kilimanjaro Resort, Marangu Hotel, Royal Lodge, Five Star, Kibo Hotel , Babylon Lodge etc
Shule Za Maana = Ashira Girls, Uphill Land ( International School)
Makanisa Ya Kisasa = Roman, Anglican, Pentecostal, etc
Waterfall Za Maana = Kinukamori, Kindolo etc...
Mahekalu Na Mansion =
Mawalla, Mariale, Chrisburguer, Babylon, Nyange, Sawaya, Mongi, Maleko Wengine Nimesahau.
Masoko Makubwa = Mtoni, Kisambo.
PS : Haya Ni Baadhi Niliyoyaona Hapo Kijijini.
Unajibu hoja lakini unaonekana unachuki za makusud kabisa na wahayaninajibu hoja
hata wewe ukiweka hoja nitaijibu,niambie n wapi nimesema uongo
sii kweli mkuuUnajibu hoja lakini unaonekana unachuki za makusud kabisa na wahaya
Bora uwaeleze wao wanachojua ubishi wa kichama chama hata takwimu hawajui, wanafikiri kuona nyumba ndio kuwa tajiri wakati mwingine wanaishi kwa mashindano ndio Maana mwisho wa siku ni nguvu za ushirikina sana. Wachaga wamekimbia Kilimanjaro kwa sababu hakuna mzunguko mzuri wa Pesa na kingine ushirikina Mkubwa wa wachaga, na ndio Maana mlima Kilimanjaro ulikuwa pale kwa ajiri ya kwenda kutambika na ndio Maana ule mlima haumtajirishi mchaga na wanashindwa hata kujitangaza kwamba wana mlima Kilimanjaro,Jamaa mbona mgumu kuelewa umeambiwa stand inajengwa, Daladala zipo mbna mgumu kuelewa wewe,,,,,,, inabidi tukuchunguze unapotaja maeneo kama ya karagwe eti kubovu Hivi Umefika omurushaka wewe???, kayanga je???, kiyanga???, jamaa angu ngoja nikwambie ni Hivi toka dar mpaka mutukula Kagera hakuna vumbi ni lami tupu, toka Bk mjini nenda karagwe ni lami tupu,,, unataka nini tena ama nikufungue Kingine????, wilaya ya kwanza Tanzania kuwaka umeme ilikuwa Kagera ikiitwa wilaya ya kanyigo (a.k.a ulaya ndogo) Hivi Sasa iko misenyi,,,, tuacheni Na Kagera yetu Jamani