Historia ya Kabila la Wahaya

nahis Idd amin atakuwa ndugu yao labda maana miaka ile ya vita alikuwa anataka kuwakomboa ila mkuu wa kaya hayati JK Nyerere(Mungu amlaze mahali pema pepon) akagomesha...
 

Je wakina Kiobya wa Kati Ibwera naona vipi Mukshin?
 
Hii imetulia sana kyoma,hayo maeneo ya Basiko sahivi kunaitwa Kasiko na ni mlima kwa chini yake ndo panaitwa luhanga alafu pale Bulembo mpaka leo pameendelea kuitwa hivyo na wengi wao wanaitwa umuruganda" Abasimba" ..Sidhani pia kama ni sahihi sana ila kuna kijisehemu kinaitwa Bungezi kuna familia moja ya Bibi aliitwa ma Rooza sasa sijuhi kama ndo mabaki ya yule Rooza mwenyewe ama la

Na pale kanazi kuna himaya na magofu hadi leo sehemu kubwa panaitwa "Akikale kanazi"
Wakola waitu,historia nzuri kabisa hi
 

Kyoma uliweka mada nzuri alafu ukakimbia, oliyo?
 
I think they are bantu and the origin of bantu is the same to all bantu tribes and its not who, what, and which its about the tribal uniformity that has been in existence for centuries and that therefore they dissected themselves immediately after arriving in lake region formally known as intracustrine region so their origin is the same to any bantu tribe in country, maybe if you wish for different views not the originality of the haya. Thanks
 
Jamani kuna kitabu nilikutana nacho simkumbuki mwandishi ila kilikuwa kinaelezea "Buyango koo za Babito toka Mweyanjale, Kafunjo, Ex-gombolola, mpaka Ndwanilo nadhani mpaka leo kuna Magofu. mjuzi tupe mambo!

Ndi mubito na'akagele nintemwa Luganjo
 
Mada nzuri sana hii lakin naona umekimbia mkuu
 
Rejea kanda za "enanga" (kwa mujibu wa jamaa yangu tuliyefanya naye kazi pale Rutabo) ...! Utapata mambo mengi juu ya ndugu zetu hawa.
 
Kiukwel kwa watu waliowai kujaliwa kufika Bukoba .

Hapa nazungumzia maeneo ya vijijin kama bukoba vijijin yaani watu wa kule wanaishi maisha mazuri sana ukilinganisha na mikoa mingine ...yaani uwez kukuta muhaya anakula ugali na maharage au ananyumba ya nyasi...au analima huku mvua inanyesha.

Lakin ukienda mikoa mingine kwa maeneo ya vijijin kama Singida, Tabora ,Dodoma ,Morogoro , Nk
Isee ni hatar sana watu wanamaisha magumu sana.
 
Wahaya gani unawazungumzia mimi uzuli nimekaa sana wahaya

Nipo nao hapa manzese darajani yaani wengi wao wananiambia wanajuta kuzaliwa bukoba kwa sababu kuna hali ngumu ya maisha ndio maana wengiiii wanaona bora waje mjini kupiga biashara ya ngono.

Biashara ambayo wanapanga nyumba nzima wanaigawa katika vyumba huku wakiuzaaa papuchii elfu 2 baoo mojaa pamoja na chumba na pia hata baadhi wanaume wanatoa kwa bei cheeee.

Kama kuna mtu anabisha ajee manzese darajani au aende mwananyamala hospitali au buguruni sokoni au temeke hospitaliii .
 
Nadhani wewe kichwani una tatizo la wahaya. Unadhani kula nyama kila siku ni maendeleo???? Hivi unadhani kula ugali na maharage ni dalili za umasikini???
 
Halafu kitu kingine wahaya ninachowashangaa wanapenda sana kusema wanatokea bukoba badala ya kusema wanatokea kagera sijui kwanini hawapendi kulitaja hili neno kagera wao wanang'ang'ania sisi kwetu bukoba.

Kitu kibaya zaidi ukiwambia wakupeleke kwao bukoba unashangaa wengi wanashukia muleba wanaingia vijijini uko mpka unafika bukoba mjini mnajikuta waliobakia wengi ni wamanyema watu tokea congo ndio wenye bukoba yao ila cha kushangaza wahaya walivyo wa ajabu hawezi kukuambia anatokea muleba yeye atakwambia kwao ni bukoba na wanasema hivyo kwa sababu muleba hakuna maendeleooooooo
 
Mimi nipo huku kwao hawana lolote maisha magumu tuu wanajenga nyumba za tope kama watu wa pwani au wanaita mbavu za mbwa.
Nenda Muleba utaona nenda maeneo kama ngenge, kanywangonge au kule milimani wanaita ngote na Kanyerenyere ndo utajua kuwa wanamaisha mazuri au magumu.
Mhaya hali ugali kwa sababu kazoea ndizi (ekitoke). Ugali na wali wameanza kula hivi juzi baada ya mnyauko kukausha ndizi. Ni moja kati ya kabila vivu kupindukia.
Wanaume hawaendi shamba zaidi ya ulevi na wanawake wanaenda shambani saa moja au mbili lakini saa tatu yupo anasugua gaga nje ya nyumba
Kama hujui kaa kimya
 
Sasa mkuu wanauziaje papuchi kwenye hospitali? au sijaelewa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…