sajumo JF-Expert Member Joined Nov 20, 2013 Posts 1,834 Reaction score 1,055 Jul 13, 2014 #1 vp kiswahili kilisanifishwa je ilichukuliwa lahaja moja ya kiswahli na kusanifishwa auwalichukua lahaja mbalimbali ikasanifishwa. kama wakuu kuna mtu atanijuza hili ntafurah sana maana katika maswali ambayo ckuwah kuyapatia majibu hli ni moja wapo
vp kiswahili kilisanifishwa je ilichukuliwa lahaja moja ya kiswahli na kusanifishwa auwalichukua lahaja mbalimbali ikasanifishwa. kama wakuu kuna mtu atanijuza hili ntafurah sana maana katika maswali ambayo ckuwah kuyapatia majibu hli ni moja wapo
Travis samwel JF-Expert Member Joined Apr 25, 2013 Posts 215 Reaction score 42 Jul 13, 2014 #2 lahaja ziikuwa nying sana bt kiswahili kilisanifishwa kwa kutumia lahaja ya kiunguja na hii ilitokana na kuwa na watumiaj weng zaid
lahaja ziikuwa nying sana bt kiswahili kilisanifishwa kwa kutumia lahaja ya kiunguja na hii ilitokana na kuwa na watumiaj weng zaid
sajumo JF-Expert Member Joined Nov 20, 2013 Posts 1,834 Reaction score 1,055 Jul 14, 2014 Thread starter #3 na daru ssalama walikuwa wanazungumza lahaja hiyo mkuu?