Historia ya kweli: Tuliowahi 'kula' walimu wetu tujuane hapa

Ningeweka comment yangu ila sio vizur ....acha niendelee kusoma za wenzangu
 
Kwa hiyo misukosuko sidhani kama hiyo semister hukupata vi sup. [emoji23][emoji23].
 
hapo ni nishushe mwamba, yaan inaonekana kabjsa hii ni fake story

we mtu bado hata haujaweka mazingira fresh ya kuwa ni mpenzi wako

ukapanga njama za kumpiga denda na kwel ukampiga denda tena kinguvu halafu barabarani huo uongo wa wapi?

wadanganye watoto wenzio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…