Historia ya kweli: Tuliowahi 'kula' walimu wetu tujuane hapa

[emoji23][emoji23]hii chai ingeenda kule kimasikhara tu
 
Anza utunzi wa vitabu vya love stories, utapata hela mkuu!
 
Mkuu, Kwa mambo nliyowahi kuyafanya shahidi mimi mwenyewe

hizo sababu ulizotoa wala sio sababu ya kusema ni fake

Kuna kina sisi hata kutongoza tulikua hatutongozi unaunga denda na mission inatick [emoji23][emoji23]
 
Huu uzi unaweza ukawa na uhalisia kabisa kwa sababu hisia za kimapenzi huwa hazina aibu mradi uwe tu ujasiri.
Wamama wangapi wanasex na vijana, je ni nani hadi asiweze kufanywa, kwa sababu ya kufundisha chuo? Mwanamke hata afundishe mbinguni hakumuondolei uanamke wake hata kwa mwanaume hivyo hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…