Historia ya kweli: Tuliowahi 'kula' walimu wetu tujuane hapa

Hii movie ukishaa itoa nitaomba unirushie kwenye flash yangu.!
 
Eti na madam akaanza kuuchezea ukuni barabarani!hakuna madam wa hivyo
 
Hakuna mwanafunzi mwenye ujasiri huo.
[emoji28][emoji28][emoji28] ayo mambo ya kawaida sana mkuu tatizo wabongo mnataka kuamini kitu ambacho kina make sense fasta ila kiuhalisia ilo tukio la kawaida tu kuna jamaa angu alichakata mama mtu mzima hakimu na alikua advance, mbona ilo langu dogo
 
Weka muendelezo usiwasikilize hao...
 
Chai hii[emoji3][emoji3]hakuna lecturer wa hovyo ivyo Tz
Hii kitu utaiona chai kutokana na misingi na maadili uliyokulia ila sisi tuliyo kulia mitaa changanyikeni system za ovyo, aya mambo tunaendelea kuyashuhudia hadi sasa na yamekithiri yani watoto wadogo wanachakata mashangazi wazi wazi [emoji38] na wanawake nao wanapenda vijana wabichi wabichi kama tunavopenda sisi ila ujasiri tu hawana ila wakipata nafasi wanaitumia vizuri sana lakini nikimaliza huu uzi kuna vitu mtajifunza kwenye swala zima la malezi kwa vijana...

Mkuu unashangaa lecturer wakati kuna viongozi wanachakatwa na watoto apa town[emoji38] tembea ujionee dunia imebeba mengi
 
Mbingu utaisikia kwa jirani walah😅😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…