Historia ya kweli: Tuliowahi 'kula' walimu wetu tujuane hapa

[emoji28][emoji28]mkuu inaonekana huwa unatumia nguvu kubwa sana hadi kuipiga mbususu ukitaka kuzichakata kiurahisi huna haja yaku complicate sana unatake risk tu nyie mnategemea kutengeneza mazingira huwa mnatumia pesa nyingi, mnapoteza muda mwingi kapitie ule uzi wa kimasikhara ujifunze jambo
 
Sasa mkuu tuendelee.
 
Tupe link ya muendelezo [emoji23][emoji23]
 
Ndefu lakini haiboi, hata kama ni chai, aisee wewe ni mwandishi mzuri. Hongera sana [emoji4][emoji4][emoji4]
 
Ulipoharibu ni hapo itaendelea mkuu
 
Endelea mwanangu. Wengine wanasema ni chai lakini hawaelewi nguvu ya mapenzi. Tena yapo mengi yanayotendeka huko gizani,yakiletwa kwenye uwazi hapa unaweza ukazimia. Nimekuamini mazima ksbb najua dunia ilivyo. Kuna mengi zaidi ya hayo.

Wamesahau kwenye masihara jamaa alimla chizi vizuri tu
 
Hivi vitu vipo sana kitaa. Labda tu kwa wale waliokulia kanisani
 
Chai ya kwenye kikombe cha plastiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…