Mwanaginingi
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 464
- 399
Katika kuelekea siku ya kumbukumbu ya kifo cha Baba wa Taifa Mwl J.K.NYERERE nimeandaa historia fupi ya maisha ya Mwalimu!Tafadhali sikiliza sehemu hii ya kwanza,usisite kutoa maoni na ushauri pia ruksa kupakua na kusambaza kwa wengine!
Tunaendelea na historia ya maisha ya mwl Nyerere!Hii ni sehemu ya pili!Tafadhali sikiliza kisha wasambazie na wengine kusikiliza.Maoni na ushauri ruksa
Tunaendelea na historia ya maisha ya mwl Nyerere!Hii ni sehemu ya pili!Tafadhali sikiliza kisha wasambazie na wengine kusikiliza.Maoni na ushauri ruksa