Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

THE SLAUGHTER OF HUTU REFUGEES IN DRC - RWANDA DEMOCRACY WATCH

The Rwandan Patriotic Front (HRW Report - Leave None to Tell the Story: Genocide in Rwanda, March 1999)

Kibeho 1995: a massacre forgotten in Rwanda’s 20-year history - Jambonews EN

Kabila Army's Mass Murder of Rwandan Hutu Refugees

Kama hamna uhutu na ututsi ntajie waziri mmoja tu ambaye ni muhutu?? Uhutu na ututsi upo sana ndio maana yule padri wa kihutu alivyoachiwa watutsi mliandamana sasa hapo unataka kusema uhutu ututsi umeisha?? Acheni kudharau wahutu bhana nao ni binadamu kma nyie
 
Mkuu hebu nakuomba punguza matusi mjibu kwa fact tu ili tuweze kuelewa hata sisi ni non kilitokea huko maana mko vizuri sana kwenye hii story km mtaacha matusi
 
Kwanini interahamwe mnatumia nguvu nyingi kudanganya dunia kuwa mlikufa wengi inamaana dunia nzima hawaoni ile nyie tu?
 
Watusi wapo Tanzania baadhi ya mikoa kama kagera, kigoma na tabora hatujawahi kusikia hayo mambo ya kujiona bora kuliko wabantu wengine, watusi wapo Uganda zaidi ya watu 4m na hakuna huo ubaguzi watusi pia wapo Kongo hakuna hayo machuki sasa inakuwaje wahutu ndo wawe na mtazamo huo tu kama sio kusumbuliwa na inferiority complex?? Na kama connection za makazini wanazo watusi inakuwaje na kwenye uwanja huru wa business watusi pia wawashinde? As the big population ni wahutu wangeweza kuwa na strong connection, kukopeshana kuaminiana kuinuana kwani wao ndo wenye big number ya market pia. Hii inaonesha wahutu ni hodari sana kwenye mambo yahusuyo chuki na kubomoa (negative side) ila upande wa kuinuana wao kwa wao na kujengana (positive side) ni total failure. Kama nguvu iliyotumika kuandaa genocide ingetumika kuwainua wahutu ki elimu, ki uchumi na kisiasa huenda watusi ndo wangekuwa watumwa wenu sasa ila all in all mnasumbuliwa na inferiority complex na hamko tayar ku deal nayo na kuishinda so mko defeated coz hamjui mnapambana na nini
 
Nieleweshe, kupata mass support to do what? 'ethnic group with an intent' haimaanishi serikali! hiki ni kipande kutoka kwenye maana/tafsiri ya genocide na wala it isnt pointing to one particular ethnic group ( in this case Rwanda) (my take) this is why tuko hapa tunaelimishwa, rejea ombi langu, 'tuelimishe' tujue, si ndio lengo au?
 
Ahsante kwa kunielimisha(on point 2) on point 1, naomba kuelimishwa maana maelezo niyajuayo propaganda iliyokuwa ikitekelezwa navyo ni part of the conspiracy, nimefafanua, nielimishe.
 

Umemaliza ubishi mkuu,,, awali sikua nayajua haya lakini tangu nisome uzi huu wa Bold nimegundua kumbe kweli wahutu ni binadamu wa ajabu sanaa na ni wajinga namba moja africa, imagine mko wengi na mna kila kitu na hamuwezi kuondolewa madarakani wala kuathiriwa chochote na kakundi ka dogo ka jamii ya kitutsi, then why muwaue? Si mngewaacha tu? Je mumuue mwenzako kisa ana akili na kupenda shule? Yaani hakukua na njia nyingine mbadala ya kumdhibiti? Una muua vp sasa mtu unaemzidi nguvu?

Toka wapate uhuru wao ndio watawala, sasa ya nini mshindwe kuijenga nchini yenu na mkawezeshana wenyewe kwa wenyewe? Lakin utaona wahutu jinsi walivyo wajinga toka miaka ya 50 hadi 90 walikua wanapanga mauaji tu hahahahahahaha yaani walikaa miaka 40 kupanga kuwaua ndugu zao? Asee Rwanda ni moja ya nchi ya kipumbavu kuwai kutokea duniani... Case Closed... Bold shusha vitu kaka.
 
Very interesting story ambapo hatunabudi kujifunza ili tusije sababisha haya kujirudia.
Ila sijui ni mimi tu au niaje ila kwa mtazamo wangu ni kuwa hawa UN na nikiwa na maana wenye nguvu nyuma ya UN , yaani mataifa kama US ,Israel,Uk na France huwa wana interest ambayo huwezi iona kirahisi juu ya machafuko ambayo yanazikuta hizi nchi inferior hasa za Africa na Uarabuni na kwa mbaali America ya kusini.

Unakuta kuna opportunity ya wazi kabisa ya kuzuia machafuko yasitokee ila kwakuwa kuna opportunity ya wao kupata advantage flani huwa wanayaacha yatokee kwanza alafu baadae waje na kublame watu flani flani na kukucover up uzembe uliotokea kwao na awamu za uongozi zilizobadilika kwa upande wao.
Hii nimeliona kwakurejea issue ya fax ya Romeo Dellaire kuhusu machafuko haya ya kimbari , na case nyingine nyingi ukiachana na hii ya mauaji ya kimbari ,kama ile ya narcotics kule Colombia.

In fact ni kwamba tunapopigana sisi kwa sisi wa AFRICA (na mataifa mengine madhaifu) wanafurahi cuz kuna room ya wao kufanya biashara na kumake profit through funding hivyo vita vyetu.
Na PROFIT kubwa zaidi wanayopata ni kwamba tutapigana na kuuana , na kupunguza population yetu na kuondoa chances za kuja kurise kuwa Taifa kubwa litakalo wachallange kwenye ulimwenu wa Uchumi na hata teknolojia (hii ikiwa nia OVU kabisa ila yenye tija kwao).

All in all haitosaidia kujua nani aliyeanzisha mauaji yale ya kimbari pale Rwanda ila tunatakiwa tutambue kwamba iwe muhutu au mtutsi ni Damu ya Mwafrika ilimwagika pale na we should be very sorry for that.
Ifike mahali tujitambue kama Africans we have alot of opportunities to rise na hawapendezwi saana na hilo, hivyo sio wa kuwaamini saana hawa Great nations, La sivyo tutabaki kuwa wateja wa silaha, madawa na Chuki wanazopandikiza.

Amani iwe pamoja nanyi Ndugu zangu.


" UBINAFSI NA TAMAA MARA ZOTE HUWA NDILO ANGUKO LA MWANADAMU "
 
Hao watu wamejawa na chuki kweli kweli, baada ya mauaji ya kimbali waliendelea kuuana wao kwa wao kwenye makambi ya wakimbizi, yaani akikukopesha jero ukachelewa kulipa unapigwa panga bila uoga so tatizo lao ni kubwa wanahitaji kuwa trained kuachana na hizo spirit za kuuana na kagame kazi anayo na anajitahidi kwa kweli mpaka kuwepo utulivu huo unaonekana now
 
Mkuu inaonekana hufuatilii kabisa masuala ya nchi za maziwa makuu wahutu mbona wanatawala burundi umeskia genocide?? Hizo chuki unazosema wanazo ni zipi?? Alafu kwanini lila anayekosoa Hima empire mnamuita mhutu?? Mimi baba ni mkurya wa kiabakari sasa uhutu natoa wapi??

Watutsi wa uganda nimesema wanaitwa wanyankole na wahema ndio wanacontrol 90% ya nchi nzima kuanzia uchumi mpaka serikali nikiwa na maana mtu wa kabila jingine ukionekana kuwa na nguvu lazima umalizwe ndio maana hta vyama vya siasa ni museveni na besigye tu wanapewa promotion maana wote ni watutsi wa kiganda ili waendelee kutawala kabila moja tu ila akitokea mganda huwa ananyamazishwa rejea pale bagganda walipotaka usawa nini kiliwapata 2012!!

Watutsi wa congo wanaitwa wahema na wanyamulenge hao nao huko kivu hawataki kabisa kuongozwa na wamushi ambao ndio asili yao hapo bukavu na mifano iko mingi tu like 2003 Mutebuzi askari wa kinyamulenge alianzisha vita ili watutsi watawale kivu nzima ya kusini....pia wahema mwaka 2000 walianzisha vita dhidi ya walendu ili wawatawale huko bunia hiyo ni baadhi ya mfano tu maana unaongelea congo kana kwamba unaifaham sana

Tukirudi Tanzania hawa watutsi hawana significant population mkuu hivyo huwezi tumia kufanya evaluation ila congo wako millions na uganda wapo 12 million yaani ukiweka makabila yote ya kihema kuanzia hima ankole chwez kiga fumbira n.k hivyo u can make a judgement kirahisi kuliko tz ambapo wamejazana tu huko kanda ya ziwa

However kwa Tanzania mie natokea kigoma na naomba ukiwa huku twende mguu kwa mguu kijijibcha nyarubanda na kalinzi kwa macho yangu nliona mtaa unaitwa utusini kule manyovu wamejazana watutsi kijiji kimoja na huwa wanakutana kila jumapili kwenye kanisa flani hapo kujadili mambo yao.... Hata wana kanisa hapo kalinzi wamejaa wao tu maana huwezi ukawa muhutu au muha wakasali kanisa lako lazima wanataka kudominate..... Sasa sample kama hii unaanzaje kusema ubaguzi hauuoni

Mkuu tembea acha kulishwa propaganda....
 
Genocide ilianza baada ya watutsi kuchinja wahutu ruhengeri ndio wahutu wakaanza kulipa kisasi sasa cjui chuki ipi unasema..... Wahutu kambi za wakimbizi hawakuuwana wenyewe ila na majeshi ya RPF uwe unasoma kwanza kabla hujaingia kwenye midahalo kama hii

THE SLAUGHTER OF HUTU REFUGEES IN DRC - RWANDA DEMOCRACY WATCH

The Rwandan Patriotic Front (HRW Report - Leave None to Tell the Story: Genocide in Rwanda, March 1999)

Kibeho 1995: a massacre forgotten in Rwanda’s 20-year history - Jambonews EN

Kabila Army's Mass Murder of Rwandan Hutu Refugees
 
Hahahhahaa huu uchochezi sasa mkuu

Wahutu mbona wanatawala burundi na toka wahutu washike hakuna vita burundi ila kipindi wameshika watutsi 1960-1992 ilikuwa ni genocide kila mwaka huoni shida ikwapi?? Congo ilikuwa na amani ila toka wanyarwanda waingie congo mwaka 1997 kwenye 1st Congo war mpaka leo congo haikaliki..... Je kama hao wahutu ndio wachokozi waliwezaje kukaa miaka yote rwanda tokea 1959 mpaka 1994 bila vita za wenyewe kwa wenyewe??

Kilichotokea ni kwamba wahutu walikuwa na amani tu ila vita ilitokea pale watutsi walipotaka kurudi rwanda kwa vita basiiiii hivyo wakaogopa kwamba jamaa wakiwapindua yale mateso ya kabla ua 1959 yatarudi ndio maana vita ikatokea ni sawa na leo sultan arudi zenji unafkiri kutakuwepo na amani
 
Mbuzi ni mbuzi!! Ila ngoja nikuache maana ni wengi tuu mawaziri!! Mambo ya uhutu na ututsi hatuna ila wapo tuu
 
Zitto anayoongea ni mbolea aliyookota pale mipakani!! Watutsi tokea mwaka 1959 mpaka 1994 wahutu ndo walikuwa wanasoma na kumiliki vizuri!!! Watutsi wote wamesoma Tanzania na Uganda!! Ndo wamekuja rwanda kufanya mapinduzi ya kimaendeleo!! Ila hata viongozi waliokuwa uongozini waliachwa mpaka sasa Kuna mawaziri waliofanya kazi na serikali iliyopita!! Mzee kagame Hana hizo mind!!

Yeye ni kiongozi wa wanyonge na mbaya wa vigogo wanaojiita papa
 
Kweli wahutu wanaweza kuwa hawakufanya maendeleo sana kulinganisha na kagame huo ni ukweli kagame kapiga sana kazi lakini haiondoi ukweli kwamba before Rwanda revolution of 1959 watutsi walikuwa wanawatesa sana wahutu yaani hakuna fursa za kusoma,ajira,biashara kwa muhutu ila watutsi ndio walikuwa wanapata kila walichotaka ndio hicho kiliwapa hasira wahutu ndio yakatokea mapinduzi ya 1959

Sasa 1994 hakukuwa na sababu nzito ila walikumbuka life before 1959 kwamba watutsi mliwatesa sana hivyo walipoona mnarudi kupindua nchi yao wakaogopa kwamba mambo yale yatajirudia hence genocide ssa kipi cha uongo hapo
 
Kama wanazuiwa ulifikaje?? Hizo ni fikra zako mkuu!! Wewe burundi mwaka 72 ili tokea nini?? Wao walijifanya wajanja! Wakat wanataka kufanya mauaji walianza mapema kabla ya Muda!! Ikawa vice versa watutsi walijiorganize Waka fight!! Ndo maana kila kitu kikawa open!! Wenyewe ututsi na uhutu unakubaliwa
 
Mwaka 1959 walikuwa watutsi waliokimbilia Congo!! Kuhusu ruhengeri waliouliwa walikuwa wakengezi wanaingia nchini kwa siri na kuua!! So government ya rwanda na Congo walikubaliana kuongea waasi wa FDRL ndo maana jeshi likaingia Congo!! Usipotoshe umma
 
Sijazungumzia Mtutsi hapa. Nasema tu Wanywarwanda walipita wakati mgumu sana. Mr. Anga ametupitisha hatua kwa hatua namna watutsi walivyowatesa Wahutu na baadae kibao kugeuka wakati wa utawala wa Habyarimana. Tumefahamishwa kwamba wakati na baada ya mauaji ya Habyarimana kilichofuatia ni mauaji wa Wahutu wenye msimamo wastani na watutsi so Wanyarwanda wote waliumizwa na kupitishwa kwenye kipindi kigumu. Uzuri wa hizi threads ni pale unaposoma ukiwa huna upande wowote utaelewa vizuri
 
Nimepotosha nini??
Nimesema congo imevurugwa baada ya Rwanda kuingia huko 1997-2003

Nikasema hata Rwanda ilikuwa imetulia ila watutsi waliporudi kwa mitutu mwaka 1990-94 ndio genocide ikatokea meaning kama mngerudi in peace hakuna cha vita ingetokea sasa kigumu kipi kuelewa.....

Usichanganye congo na rwanda.... Kuhusu ruhengeri nmesema watutsi mwaka 1991 walichinjwa wahutu 40,000 ndio genocide ikaanza maeneo mengine kma butare n.k sasa cjui FDLR inaingiaje hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…