Finally umeonyesha TRUE COLOUR yako mkuu.Waliyataka wenyewe acha wachinjwe.... Ungeona wahutu walivyoteswa usingediriki kuonea huruma watutsi.... Jamaa walikuwa mpaka wanawabeba na wanakula makombo yao ya chakula yaani walikuwa watumwa wao hata kusoma shule tu mpaka uwe na connection na mtutsi alafu ndio mnawaonea huruma hao MENDE!!!
Mkuu ipo siku rwanda watachinjana tena ni swala la muda tu na hii itakuwa mbaya sana anachofanya kagame ni kuuwa kila anaye mpinga awe muhutu au mtusiKweli wahutu wanaweza kuwa hawakufanya maendeleo sana kulinganisha na kagame huo ni ukweli kagame kapiga sana kazi lakini haiondoi ukweli kwamba before Rwanda revolution of 1959 watutsi walikuwa wanawatesa sana wahutu yaani hakuna fursa za kusoma,ajira,biashara kwa muhutu ila watutsi ndio walikuwa wanapata kila walichotaka ndio hicho kiliwapa hasira wahutu ndio yakatokea mapinduzi ya 1959
Sasa 1994 hakukuwa na sababu nzito ila walikumbuka life before 1959 kwamba watutsi mliwatesa sana hivyo walipoona mnarudi kupindua nchi yao wakaogopa kwamba mambo yale yatajirudia hence genocide ssa kipi cha uongo hapo
Kuna mda unajitahidi kuongea ujinga (Samahani)Nimepotosha nini??
Nimesema congo imevurugwa baada ya Rwanda kuingia huko 1997-2003
Nikasema hata Rwanda ilikuwa imetulia ila watutsi waliporudi kwa mitutu mwaka 1990-94 ndio genocide ikatokea meaning kama mngerudi in peace hakuna cha vita ingetokea sasa kigumu kipi kuelewa.....
Usichanganye congo na rwanda.... Kuhusu ruhengeri nmesema watutsi mwaka 1991 walichinjwa wahutu 40,000 ndio genocide ikaanza maeneo mengine kma butare n.k sasa cjui FDLR inaingiaje hapo
Hapana mkuu ila huyo jamaa anaangalia upande mmoja tu as if wahutu waliamka tu na kuanza kuua watu.... Watutsi waliwatesa sana wahutu hata the bold kaongelea hapo juu so tusiangalie upande mmoja... Ni sawa na leo wajaluo waanze kuua wakikuyu kenya given the history sitashangaa wala kuhurumia wakikuyu maana nao wameonewa sana na wakikuyuFinally umeonyesha TRUE COLOUR yako mkuu.
Mkuu mwaka niliweka link kwenye post yangu ya nyuma kuwa mwaka 1990 mlipewa haki ya kurudi Rwanda kama raia wa kawaida ila mlikataa.... Mbona sahivi wanyarwanda wengi wamerudi kwa amani unafkiri FDLR ikirudi Rwanda patakalikaKuna mda unajitahidi kuongea ujinga (Samahani)
Kuna sehemu huko nimeona umeandika [Wahutu walipoona Watutsi wamevamia nchi yao vita ikaanza] kwamba Watutsi kwao sio Rwanda
Hapa tena unasema [Watutsi wangekuja kwa amani] wao walipofukuza wazee wetu waliwafukuza kwa amani? mtu amekutimua kuna amani hapo?
Yan wewe uanzishe vita dhidi yangu mm, iwe sahihi, lakn mm ninaporudi kuchukua haki yangu ionekane sio sahihiMkuu mwaka niliweka link kwenye post yangu ya nyuma kuwa mwaka 1990 mlipewa haki ya kurudi Rwanda kama raia wa kawaida ila mlikataa.... Mbona sahivi wanyarwanda wengi wamerudi kwa amani unafkiri FDLR ikirudi Rwanda patakalika
Watutsi kwao ni Rwanda pia ila walishindwa nini kurudi kwa amani 1990?? Hivi hata leo Wakoloni wa ujerumani wakirudi na mabunduki magufuli atawaangalia tu?? Lazima watapigana ila wakija kama watu wa kawaida let's say wawekezaji au kuomba uraia hakuna vita hapo i hope umepata point yangu
Yaani hakukuwa na haja RPF warudi na bunduki ingeepusha genocide
Nadhani unajua maana ya Akazu. Akazu ni conspiracy (uzushi) tu uliotungwa na kina Kagame ndio maana watu waliotuhumiwa kuwa members wa hiyo Akazu waliopofikishwa mahakamani hakuna hata mmoja aliyepatikana na hatia kwa kosa la conspiracy to genocide.Ahsante kwa kunielimisha(on point 2) on point 1, naomba kuelimishwa maana maelezo niyajuayo propaganda iliyokuwa ikitekelezwa navyo ni part of the conspiracy, nimefafanua, nielimishe.
Haiji kutokea tena trust meMkuu ipo siku rwanda watachinjana tena ni swala la muda tu na hii itakuwa mbaya sana anachofanya kagame ni kuuwa kila anaye mpinga awe muhutu au mtusi
Ni kweli kabisa mauaji ya watusi, kuchoma moto nyumba zao kubaka wake zao na kuwapora ng'ombe zao yameanza mwaka 1959 na kuendelea mpaka kufikia kilele 1994Nadhani unajua maana ya Akazu. Akazu ni conspiracy (uzushi) tu uliotungwa na kina Kagame ndio maana watu waliotuhumiwa kuwa members wa hiyo Akazu waliopofikishwa mahakamani hakuna hata mmoja aliyepatikana na hatia kwa kosa la conspiracy to genocide.
kuhusu vyombo vya habari pamoja na kuwa vilikuwa extremists in nature, hakuna chombo kilichopanga mauaji, ila tu wakati vita inaendelea vyombo vilitumika kusaidia interahamwe kutekeleza mauaji, but none walikaa chini na kupanga mauaji ya watutsi. There is a huge difference hapo, mpango wa mauaji vs kutumika kwenye mauaji. RTML ilianzishwa ili kujibu propaganda za radio muhabura ya kina Kagame iliyokuwa ikirusha matangazo kinyume cha sheria ndani ya rwanda kutokea Uganda. Radio Muhabura ilikuwa ikichochea mapinduzi dhidi ya serikali halali ya Habyarimana, na toka ianzishwe 1991 ilikuwa inadai bila ushahidi wowote ule kuwa kuna genocide against tutsis! hii ni 1991! Kwa hiyo genocide against tutsis ni madai yaliyoanza kabla hata ya 1994!
Kutokea na kutotokea iko mikononi mwa Kagame. Kama hata toa fursa sawa. Na kuwafanya Hutu second citizen. Itatotokea tu nani alijua Burundi Hutu watapata power. It was daydream. Leo hakuna uchaguzi Hutu wataanguka Burundi.Haiji kutokea tena trust me
Duh watutsi bhana naona umeamua kufunguka..... Siku mambo yakigeuka tusiskie mnalialia tenaYan wewe uanzishe vita dhidi yangu mm, iwe sahihi, lakn mm ninaporudi kuchukua haki yangu ionekane sio sahihi
Sisi hatukuubwa kukaa chini ya mtu yeyote, hilo ulitambue, kama kina mura na jeshi, tutaongoza mpk dunia inaisha
Haha. Ndo maana Hutu Burundi nao wanasema Nkurunzinza hadi 2050 afu bado young. Ndo early 40s.Duh watutsi bhana naona umeamua kufunguka..... Siku mambo yakigeuka tusiskie mnalialia tena
Hapana hilo suala la uhutu wa mke wa kikwete liliwekwa hadharani na cable ya USA iliyosema hio.Kuna wakati gazeti la Kipropaganda la Kagame waliandika kuwa wana ushahidi Mama Salma Kikwete ni Mhutu, hiyo ni baada ya Rais Kikwete kusema Rwanda na FDR wakae meza ya mazungumzo.
Sasa unajiuliza, kuwa Mhutu ni dhambi?
Sawa mkuu,all the bestHapana mkuu ila huyo jamaa anaangalia upande mmoja tu as if wahutu waliamka tu na kuanza kuua watu.... Watutsi waliwatesa sana wahutu hata the bold kaongelea hapo juu so tusiangalie upande mmoja... Ni sawa na leo wajaluo waanze kuua wakikuyu kenya given the history sitashangaa wala kuhurumia wakikuyu maana nao wameonewa sana na wakikuyu
Hyo ni fact mkuu watu wasilaumu upande mmoja kila upande ulifanya makosa muhim wasemeheane tu ila kuanza kulaumu wahutu bila kuangalia chanzo hamuwatendei haki wanyarwanda
Ni hayo tu
wewe joker umetokea wapiSehemu inayofuata unatuletea lini mjomba
Habari pia ikiandikwa na gazeti la New times. Sasa jiulize kulikuwa na mantiki gani kuileta hiyo habari wakati ule wa tension kati ya Jk na Pk?Hapana hilo suala la uhutu wa mke wa kikwete liliwekwa hadharani na cable ya USA iliyosema hio.
habari ya Mke wa Kikwete kua ni "COUSIN" wa Raisi wa zamani wa Rwanda Aliyetunguliwa kwenya ndege ni Senior fiplomat kwenye ubalozi wa Marekani hapo Dar es salaaam anaitwa Shabyna Stillman.
"The shocking details are contained in a cable sent to Washington on Thursday May 5th, 2005, by Shabyna Stillman, a senior diplomat at the US embassy in Dar es Salaam."
“Kikwete’s marriage to a cousin of former Rwandan President Juvenal Habyarimana may have fueled these rumors, which are now fading as the Burundi conflict winds down,” adds the cable, signed by Stillman.
According to the US embassy, Mr Kikwete’s love affair with “Hutus” could be seen in his spirited support for Burundian rebels at the time they were fighting former President Pierre Buyoya.
Since 1995, up until 2005 when Mr. Kikwete was foreign affairs minister of Tanzania, rumours have swelled around him suggesting he sided massively with the ethnic extremist establishment. It is this system that planned and executed the genocide against Tutsis and moderate Hutus in 1994, leading to an exodus to Zaire and other parts of the world.
It is alleged, around 1996, Mr Kikwete suggested publicly that “Hutus” need to be armed to fight off the government in Kigali at the time. A book published by virulent critic of President Paul Kagame and historian Gérard PRUNIER writes that Tanzania did offer to train troops for Seth Sendashonga.
A former leader of the Rwanda Patriotic Front (RPF), for whom he was a minister in the government set up after the rebel movement’s victory over the army and the militias responsible for the genocide in 1994, Mr. Sendashonga was murdered in Nairobi, Kenya, on 16 May 1998 by, according to PRUNIER, “unknown assailants.
Source:Why Kikwete Bounced Rwandan Immigrants – Red Pepper Uganda
Mbona Simple tu CABLE ya USA ilisema hivyo na gazeti likachukulia hapo kama source.Habari pia ikiandikwa na gazeti la New times. Sasa jiulize kulikuwa na mantiki gani kuileta hiyo habari wakati ule wa tension kati ya Jk na Pk?
Kwamba ushauri wa Jk kwa Kagame ulikuwa influenced na Salma kwa sababu Mhutu!!