Huu ubishi wenu na uendelee maana nazidi kujifunzacushites wana vinasaba vya watu wa asia ya kusini katika build up yao , nilotic hawana hivyo vinasaba kabisa, jamii za nilotic kwa east africa ni maasai,luo , wasudani kusini, makabila ya kaskazini mwa uganda (si yote ila mengi yao), baadhi ya koo za makabila ya kikurya mfano mkwabe na baadhi ya koo za wameru wa tanzania
Unamuonaje kama na wewe hukosi.We comment hapa unavoweza ila Rwanda haibadiliki kwa lolote Proudly Rwandese utatokwa povuuuu weeee mana nakuona nakuona kila thread ya Rwanda upo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Neno mfereji linakuumaje wewe.Eti mfereji wa damu uendao ethiopia...wakati kwanza sio mrefereji ni mto,na unapitia nchi kibao mpaka kufika baharini mediteranean..why ethiopia is mentioned kwenye heading?
Mbwembwe tupuuu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Still kuna mauaji mengine mbele yamefichama na yatatokea.Ukweli hukumu ikitolewa itamkamata mtusi na kuamsha vugu vugu la vita zaidi.Nimekaa na watusi hata na wahutu.Hawasalimiani hata ikiwa wote ni imani moja,hawashirikiani kwa lolote,kila mmoja ana ukatili wake.Kila mmoja alipo anawinda namna ya kumuua mwingine.Kambi za wahutu kule katumba katavi mtusi akiingia hawezi kutoka vivyo hivyo na watusi pia.Ni hatari tupu.Ajuaye vita hii ni Mungu tu.Asante kwa Sehemu ya 13 , huyu Marekani amehusika katika mengi sana bila shaka hata Somalia ndie aliyeiangusha.
Kwa uzi huu nmejua mengi yanayofikirisha kwa hakika. Hata sasa nawezajua kwanini Mseveni na Kagame hawang'oki
Wasiwasi wangu ni pale Rwanda naona utawala bado wa kitusi unaendelea kama miaka ya awali ina maana kuna moto umefukiwa kwa Muda tu wahutu watadai tena haki. Nimewaza akifa ghafla leo Kagame paaap. What next?
Kwa mpk ulipofikia hapa ukweli ni issue Ya Rwanda haijawa solved mpk leo.
Namuona kagame kama Rais yule Mhutu aliedunguliwa kwenye ndege katika utawala wake miaka ya awali...
Tuombe uzima...
Siku nyingne usirudie ujinga kama huu, yaan una quote lote hilo kuandika maneno haya tu?Nimeipenda.
Na hao nilotic wana vinasaba vya wapi? Wanatofautiana vipi na wabantu?cushites wana vinasaba vya watu wa asia ya kusini katika build up yao , nilotic hawana hivyo vinasaba kabisa, jamii za nilotic kwa east africa ni maasai,luo , wasudani kusini, makabila ya kaskazini mwa uganda (si yote ila mengi yao), baadhi ya koo za makabila ya kikurya mfano mkwabe na baadhi ya koo za wameru wa tanzania
Hiyo ilikuwa mwaka gani mkuu?Still kuna mauaji mengine mbele yamefichama na yatatokea.Ukweli hukumu ikitolewa itamkamata mtusi na kuamsha vugu vugu la vita zaidi.Nimekaa na watusi hata na wahutu.Hawasalimiani hata ikiwa wote ni imani moja,hawashirikiani kwa lolote,kila mmoja ana ukatili wake.Kila mmoja alipo anawinda namna ya kumuua mwingine.Kambi za wahutu kule katumba katavi mtusi akiingia hawezi kutoka vivyo hivyo na watusi pia.Ni hatari tupu.Ajuaye vita hii ni Mungu tu.
Neno mfereji linakuumaje wewe.
Neno mfereji linakuumaje wewe.
Na hao nilotic wana vinasaba vya wapi? Wanatofautiana vipi na wabantu?
Inakuwaje wanazungumza lugha moja kama ni jamii mbili tofauti?Ni tofauti. katika Afrika kuna mbari kama tano hivi. Kuna WABANTU, NILOTICS, CUSHITICS, KOISAN, NA HAMITICS. WABANTU ASILI YAO AU CHIMBUKO NI AFRIKA YA KATI NA MAGHARIBI, KOISAN KUSINI MWA AFRIKA, CUSHITICS HAWA ASILI YAO NI ETHIOPIA, WAKATI NILOTICS NA HAMITICS HAWA WOTE ASILI YAO NI KASKAZINI MWQA AFRIKA NA WENGI WAO NI JAMII YA WAFUGAJI WAKIWEMO WAMASAI, WABARBAIG N.K
JAMII YA CUSHITICS KWA TANZANIA NI PAMOJA WAIRAQ (WAMBULU), WANYATURU, WAALAGWA (WAASI) NA BURUNGI WOTE WA KONDOA, WAFYOMI (WAGOROWA) NA WAMBUGU WA LUSHOTO. HUKO RWANDA NA BURUNDI SINA UHAKIKA LAKINI PIA HISTORIA INAONESHA KUWA TUSTI NI JAMII YA CUSHITICS WAKATI NDUGU ZAO HUTU NI WABANTU. SIJUI KWANINI HASA WANASHINDWA KUELEWANA KILA SIKU WAKATI JAMII YA CUSHITICS YA TANZANIA INAKAA VIZURI TU NA WABANTU ASILI WA TANZANIA.
Mbona hata Watanzania tunaongea lugha moja ya Kiswahili?Inakuwaje wanazungumza lugha moja kama ni jamii mbili tofauti?
Mkuu
Soma vizuri.Kilichoniuma sio neno "mfereji",ila ni kupachika neno "Ethiopia",while Ethiopia has no any connection with Rwanda whatsoever!
Kujikomba komba tu kwa Waethiopia!
Wakati in a sense huo "mfereji" which I presume ni mto Nile unapita nchi chungu nzima..Kwanini msiseme Sudan basi,why Ethiopia?
I know the reason,sababu wana vinasaba na wazungu wa Israel na ni tofauti na Wabantu...you people are Bantus,stop shitting on yourselves.
Utapasuka mwaka huu Kwani ethiopia kitu gani we are Rwandese we are Africans and Ethiopians Are Africans Proudly Rwandese Proudly africans.
Ethiopians are Ethiopians and are not Rwandese!
They have no connection kabisa...Swali kwanini neno Ethiopia mmeliweka kwenye kichwa cha habari cha thread yenu hujalijibu bado.
Africa is a piece of vast land containing groups of people who are totally different from each other.
Hiyo lebo ya Uafrica yenyewe hata huielewi dhima nyuma yake.
Nitapasuka sababu ya nini?Rwandese?Pleaseeeeee!
Niache kuwaonea donge Germans au Japanese nije kuwaonea donge niggas wenzangu?You are a nigga just like me,we are all niggas,black niggas from Africa.It is hilarious tunabishania who is a bigger nigga while we are all niggas regardless!This is madness!
Proudly Rwandese,Kama huoni donge unafanya nini kwenye uzi huu Utaweweseka sana na Rwandese,Ethiopians Ni ndugu zetu kama wengine tulia dawa iingie
Nimeona stupidity ya hali ya juu kwenye hii thread ndio maana nikaona wacha nielimishe...
Ethiopia hamna undugu nao,genetically na kimahusiano,hakuna connection....
Usigeneralize kua mna undugu na wengine wote,nani kakwambia?
Rwanda sio ya kuonea donge mkuu.Unaji-overrate sana,just chill!