Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Mipira ya kondomu yatolewa bure mitaani Rwanda

24 Mei 2016

Sambaza habari hii Facebook Sambaza habari hii Twitter Mshirikishe mwenzako

Image captionVibanda vimewekwa sana katika mitaa yenye viwango vya juu vya maambukizi

Nchini Rwanda, mipira ya kondomu imeanza kutolewa bure katika baadhi ya mitaa jijini Kigali ambayo inaaminika kuwa imekithiri kwa ukahaba na kuwa na idadi kubwa ya walioambukizwa virusi vya Ukimwi.

Vibanda vidogo vimewekwa katika mitaa hiyo kwa ajili ya huduma hiyo inayopatikana kwa saa 24.

Wizara ya afya ya Rwanda inasema asilimia 3 wa wananchi wanaishi na virusi vya Ukimwi na kwamba zoezi hilo litasaidia kupunguza kasi ya uambukizaji.

MATANGAZO

“Tulishuhudia watu wanaoacha kutumia mipira ya kondomu kwa sababu wameikosa, tukaamua kuleta hivi vibanda katika mitaa hii minne ya jiji la Kigali yenye kiwango cha juu cha maambukizi ya virusi vya Ukimwi,” anasema Dkt Sabin Nsanzimana, mmoja wa wanaohusika katika mpango huo.

“Kwa hiyo naamini tutafanikiwa kupunguza kasi ya maambukizi.”

Mfumo wa kisasa wa uchukuzi wazinduliwa Rwanda

Wizara ya afya ya Rwanda inasema imekuja na mbinu hii mpya ya kusambaza kondomu kwa bure baada ya kuona kwamba baadhi ya watu hushindwa kumudu bei ya kawaidia ya kondomu na wengine kuona haya kununua kondomu hadharani.

Bei ya kondomu kwenye maduka imekuwa kati ya Franka 300 na 500 za Rwanda ambazo ni karibu nusu dola ya Kimarekani.

Image captionRwanda inapanga kusambaza kondomu milioni moja mwaka huu

Kupitia mpango huu Rwanda inalenga kusambaza mipira ya kondomu milioni moja ifikapo mwishoni mwa mwaka huu.

Mwandishi wa BBC aliyepo Rwanda Yves Bucyana anasema miaka 5 iliyopita Rwanda ilijaribu mpango ambao haukufanikiwa wa kusambaza kondomu kwa kutumia mashine zilizowekwa katika sehemu za burudani.

Ili kupata kondomu ilibidi kutumbukiza vichele ndani ya mashine hizo ambazo katika sehemu nyingi sasa zimekwishaharibika.
 
am waiting.....!!!
 
Hizo hata sauzi zipo, this is Africa
Im glad you know that , so what the he'll was this mentally retarded whore who goes by the name Jestkilla was bragging about. ? .............The vast portion of África is still a filthy & stinking shithole , and what we need is putting aside our ethnic differences , having a sense of one identity as Africans and struggling together to make Our countries great ................Tribal hatred won't get us anywhere .......
 
Maisha ya Libya before Gadafi, Libya with Gadafi, Libya after Gaddafi... changanua hapo... acha habari za kumezeshwa... shirikisha ubongo wako ambao ninaamn uko vzur tu
 
Maisha ya Libya before Gadafi, Libya with Gadafi, Libya after Gaddafi... changanua hapo... acha habari za kumezeshwa... shirikisha ubongo wako ambao ninaamn uko vzur tu
Kwahiyo ina maana unashabikia kagame kutawala hadi 2034??

Nachosema ni kwamba maendeleo hayana faida kama hakuna AMANI..... Nchi ambayo ina tension ya kikabila kama Rwanda amani inatakiwa iwe priority kuliko mabarabara na majumba hivyo basi badala ya kagame kufocus kwenye maendeleo pekee afocus pia kwenye kuunda umoja wa kitaifa

Ndio natolea mfano gadaffi aliinvest kwenye maendeleo ya kiuchumi ila alisahau maendeleo ya kijamii hivyo kusababisha nchi kuingia vitani..... Leo kagame anaonekana shujaa ila udikteta na ukabila utasababisha Rwanda iishie kama libya

Muda utaongea
 
Tatizo lako mtoa nyuzi umekuwa na bias ,na unataka kutujengea mazingira kuwa Kagame alikuwa kiongozi bora...umeshaonyesha kuegemea upande mmoja kuanzia story yenyewe,picha etc kumbe ujui kuwa watu wengi wanainformation ya Rwanda kabla ya vita na baada ya mauaji etc.
Umeamua kuonyesha maaba yako wazi wazi kwa PK sasa hii inatilia shaka usahihi ya unayotaka kutuhaminisha.
 
Well said, hata hao watusi waliojipa u first class citizen ukweli ni kwamba wanawahitaji wahutu ili kujenga nchi yao so hakuna binadamu anaeweza kuishi peke yake, everybody needs someone especially neighbors so superiority ni kitu cha kupuuzwa! Naamini kufikia 2040 tribalism itakuwa inakaribia kuisha kabisa huko chigali
 
Duuuuuuh,
Naishi kando kando ya jiji la Dar, nawezaje pata kitabu kama umekiandika?
 
Hata miaka 100 kama akiwa hai akae tu, viongoz aina ya Kagame wanatokeaga mara moja moja

Kwamba Gadafi alisahau maendelea ya kijamii? Libya ya wapi unazungumzia? Rwanda hakuna amani?

Mfano mzuri ni China, sababu ya kumfanya Xi Jinping atawale maisha yake yote unaijua? watu wa vile wanatokea mara moja moja, angalia yule mwanamama pale ujeruman
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…