Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

Melchior Ndadaye aliuwawa kwa bayonet na sio risasi
 
Ndugu yangu, napata picha ya wewe kuanza kufahamu kipaji chako.

Kwa uelewa wangu wewe si mtunzi wa hadithi wewe ni mtafsiri wa hadithi.

Anza kulizoea hilo. Usipo lizoea hili unatupa dahabu kwa kupokea fedha.

Faida:

1. Kwenye ulimwengu tulionao wewe umebahatika kupata kipaji tunacho kihitaji. Hatupendi fiction, tunapenda uhalisia. Uhalisia umejaa taarifa nyingi, tunapata uvivu kufikiri kwamba kuna uhaba wa taarifa kiasi cha kusoma fiction!.

2. Unajitendea haki:

Wewe ni "mchambuzi Mtafiti". Hicho ni kipaji cha maana sana kwenye dunia yetu ya leo.

Kipaji hiki kinaficha udhaifu (mambo binafsi). Yaani ukieleza mambo kwa kipekee, unashawishi jicho la kadamnasi kuwa na chongo kuhusu maisha yako binafsi.

Changamoto: Kipaji cha namna hii kinakubalika kwa audience ila maranyingi kinakataliwa na author!.

VITU AMBAVYO SI VIPYA NI VIPYA KAMA VITAELEZEWA KWA UPYA WA CONTENTS NA STRUCTURE.

Usifanye kosa la waandishi wengi. Kufikiri wanatakiwa kukubalika kwa uwezo wa kuleta kitu kipya. Nashauri wekeza kwenye "unforgettable stories but real". Labda ufukuaji wa hazina zilizo sahaulika.

Kitu kilicho muinua mtu, ndicho kitakacho mpaisha.
 
Emu acha kudanganya umma ongea unachokijua!! Usikurupuke!! Bwana junior Wewe mihemko yako Ni uhutu na ututsi!! Hivyo vilibaki historia!! Kama wapo Ni wachache Kama Wewe!!
Nyamwasa vilivyomuondoa Ni uselfish wake!! Bwana bold angeendelea ungejua Ila ngoja tuishie hapa
 
Jamaa Asante kwa kumjulisha
 
Nitajie Hao watutsi unaoongea kajaza kwenye vyeo!! Wewe hujielewi!!
In short we hate democracy!! Acha tuongozwe hivyo hivyo!! Ila jua Wewe huna cha upanafrica wala Nini!

Nawe NJ mmojawapo ya wasiopenda maendeleo Hata kwa nchi yako!! Nafatiliaga saana comment zako!! We unahamasisha kugombana gombana! Sijui umezaliwa kwenye vita??
 
Mkuu hapa bishana na facts sio maneno tu mnachoita usaliti wa nyamwasa ni kipi si ukieleze hapa mbona kagame mwenyewe alipoulizwa kama anawaua alikubali kwa kusema ''EVERY TRAITOR WILL BE DEALT WITH ONE BY ONE......YOU CANT BE A TRAITOR AND EXPECT TO GET AWAY WITH IT'' alafu wewe ndio unakuja kumtetea humu kana kwamba kagame ni malaika

Ni hivi kila anayemkosoa kagame anaitwa msaliti..... Mfano unaona kinachomtokea Dianne Rwigara... Victoire ingabire alihoji tu vipi inaitwa tutsi genocide ilihali walikufa wahutu laki 7 akaitwa mchochezi na msaliti ilihali aliongea kwa facts???

Alafu kingine usimtaje the bold kma ndio final factbook as if anaishi Rwanda yeye kafanya research tu nampongeza kwa hilo ila sio kwamba ni malaika kwamba anajua kila kitu if at all the bold ni credible mbona kapotosha mambo mengi tu
1. Hakueleza hutu massacre ya ruhengeri ya watu 40,000 yeye kasema kagame hakuuwa mtu ruhengeri!!

2. Hajaongelea ukweli wa kagame kutungua ndege.... Nyamwasa na top generals wote walisema ndege inatunguliwa tu kagame akiwa anaangalia mechi alisema TUSOGEENI MBELE wala hakushtuka ndege kuanguka!!!

3. Kapotosha kwamba RPF haikuua wahutu kabisa ilihali ushahidi upo wa kivideo wanajeshi wa RPF wakiua wahutu maelfu kwenye kambi ya kibeho na nyingine nyingi!!!

Kuna mengi tu either kapotosha au ameacha kuyasema hivyo usiseme ANGEENDELEA as if yeye ni malaika wwe binafsi ni mtutsi nyenda huko rubavu au vuka hadi upande wa nyiragongo kapitie rekodi za makambi ya wahutu uone wangapi walivuka border ila wakapotea !!! Sio unasubiri mtu aliyekaa dar kwenye keyboard ndio aongee mambo ya Rwanda

Uhutu na ututsi sio historia nimepita nimeshuhudia bado zipo sana tu watutsi ndio kila kitu Rwanda na bado wanadharau wahutu sana sijui kwanini unajifanya huoni
 
Nikutajie?? Yaani nahitaji kukutajia watutsi wote wanaotawala uchumi na uongozi wa Rwanda?? Ni hivi nafasi zote nyeti serikalini ni za watutsi

Rais ni mtutsi for 20 years now ilihali majority ni hutu!!! Ina maana katika wahutu hakuna hta mmoja anaweza kuwa Rais kiasi kwamba mtutsi aongoze kutokea 1999 mpaka 2034??? Seriously?? Unaona sawa kabisa?? Alafu kwanini hataki wapinzani wenye nguvu wa kihutu wagombee ???

Acha kutumika kijana kagame ni dikteta na anakandamiza wahutu hata TISS ya Rwanda imejaa watutsi na top cream ya jeshi ni watutsi alafu unakuja kusifia uongo hapa!!

Nilikuuliza swali kidogo kwanini kagame anaitaga TUTSI GENOCIDE ilihali waliokufa wengi ni wahutu?? Mpaka leo umeshindwa kujibu!! Funny
 
Jamaa Asante kwa kumjulisha
Hakuna alichonijulisha yeye amesema wote ingabire na nyamwasa ni TRAITORS same propaganda ila nikiuliza usaliti wao ni upi hana majibu!! Sasa kanijulisha nini?? Embu acheni tutsi tendency ya kumuona kagame malaika btw anakesi ya kujibu tuhuma za kutungua ndege ya habyarimana na mahakama moja ya spain ingine france kma hana kosa kwanini haitikii wito wa mahakama amebaki kulialia kwenye TV??? Funny
 
Bila shaka wewe utakuwa ni mhutu asiyejua kusamehe na ime ku affect mpaka sasa unashindwa zuia your emotions. The genocide is history pambaneni kujikwamua sio kukumbushia machungu na kunyoosheana vidole haisadii chochote zaid ya kubomoa.
 
Bila shaka wewe utakuwa ni mhutu asiyejua kusamehe na ime ku affect mpaka sasa unashindwa zuia your emotions. The genocide is history pambaneni kujikwamua sio kukumbushia machungu na kunyoosheana vidole haisadii chochote zaid ya kubomoa.
Hakuna chembe kagame ni mtusi na mbaguzi mkuu.Wahutu hawampendi na wanamjua.Kwa sasa hata watusi wenzie ameanza kuwafanyia mbaya.Anavyonyanyasa yule dada Diane rwigara dunia yote inajua.Na akifa tutajua kamuua yeye.Kagame ni muuaji bila chenga.
 
Bila shaka wewe utakuwa ni mhutu asiyejua kusamehe na ime ku affect mpaka sasa unashindwa zuia your emotions. The genocide is history pambaneni kujikwamua sio kukumbushia machungu na kunyoosheana vidole haisadii chochote zaid ya kubomoa.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Tutsi tendency again!! Yaani kila anayehoji genocide na utawala wa dikteta kagame anaitwa muhutu???

Mkuu jua kwamba hakuna mtu anaweza ku move on kama sababu zilizopelekea mgogoro hazijamalizwa!! Ni sawa leo umwambie Maalim seif amove on uchaguzi wa 2015!!! Atakuelewa kweli ilihali 2020 yatajirudia yaleyale ya uchaguzi hewa???

Nasema tena uhutu na ututsi hauwezi ukaisha kma kagame ataendelea kuwakandamiza wahutu..... Solution ajenge usawa ndio watu wata move on sio kusema lets move on huku kila april mnaadhimisha TUTSI GENOCIDE unafkiri wahutu waliopoteza watu laki 7 wanajisikiaje?? Je wahutu million 1 waliouawa DRC kutokea 1997-2003 nani anawakumbuka kila mwaka???

Anyway nmezoea hata jukwaa la kenya nimemkosoa sana kenyatta nikaitwa mjaluo wa nyanza πŸ˜‰πŸ˜΅
 
Ndugu yangu, napata picha ya wewe kuanza kufahamu kipaji chako.

Kwa uelewa wangu wewe si mtunzi wa hadithi wewe ni mtafsiri wa hadithi.



Usifanye kosa la waandishi wengi.
Kitu kilicho muinua mtu, ndicho kitakacho mpaisha.

Mkuu nakuomba usome Vipepeo Weusi msimu wa kwanza na wa pili halafu uje utoe tena maoni yako
 
"Mauaji haya ni moja ya mauaji mabaya zaidi kuwahi kutokea katika historia ya dunia yetu hii.
Ni mauaji ambayo yanapaswa kutufunza mambo mengi sana. Kwamba ubaguzi, unyonyaji, ukandamizaji na kujikweza huzaa chuki kwa wale wanaoteswa. Chuki hii inaweza kufurukuta rohoni mwa watu hawa kwa miongo kadhaa lakini siku itakapopata ufa wa kujipenyeza, moto wake unaweza usizimike pasipo kuitafuna dunia."

"Dunia yetu itakuwa mahala salama na pazuri pa kuishi endapo wote kwa pamoja tutajifunza kwamba hakuna aliye mbora kuliko mwingine. Tukijifunza kuheshimu utu, kujiheshimu na kuheshimiana. Tukiwa mawakili wa haki na umoja. Na sote tukikumbuka kwamba sisi ni wana wa baba mmoja."

ujumbe mzito huu mkuu

" MWENYE MASIKIO NA ASIKIE"
 
Bado Ni wale wale!! It's 24yrs now! We say never again Sasa hivi Hata mje na nyie washabiki WA MA traitor hamtatuweza!! We all Rwandan
 
Kwa Nini Diane alifungwa???
 
Kama alitungua yeye mbona hajakamatwa??
 
For sure!! Matatizo ya rwanda Ni ya wanyarwanda!! Hata mzungu Kama hakuona umuhimu WA kuokoa watutsi waliouwawa ETO wakapakiza mbwa zao wakaacha binadamu wanakatwa mapanga Huku wanaona!! Iweje leo wawe waamuzi WA kesi za kinyarwanda!!!

Kuhusu jeshi umeongopa!! Tafuta mkuu WA magereza Alikuwa kinara WA mauaji ya kimbari!! Alijisalimisha in 2000 mbona Sasa Ni mkuu WA magereza yote!!

Rwanda haina siasa chafu!! Kama ukija njoo ufanye siasa za kistaarabu usije na mambo ya kuingiza tutsi na hutu!!
Wote wanafungwa na sheria ambayo Ndio nguzo bro!!
[HASHTAG]#zitto[/HASHTAG] najua one day utakubaliana na ukweli Japo uko upande fulani wa shilingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…