Historia ya mji wa Singida

Hii ndo SINGIDA
Maambukizi Yapo chini kabisa
 

Attachments

  • IMG-20170725-WA0033.jpg
    27.1 KB · Views: 179
unakula ndalu mkuu sio mlenda
Nikifika Singida hata hoteli kubwa cha kwanza naagiza mboga ya mlenda hawa jamaa ni wataalamu sana wa mboga hii nzuri ninayoipenda.Kwa ujumla watu wa Singida ni walaji wazuri sana wa mboga za majani I think the reason why there is speculation that they live longer
 
Dada zenu wasumbufu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko mweupe sana kichwani!ishu za vijiwe vya bangi vya unyankindi ndo unatuletea humu?
 
Hujazungumzia Mwenge Sekondari, hujazungumzia Chifu Senge mitaa ya huo mji. Kunahitajika maelezo zaidi. JF ni maktaba ya ukweli uzi wa 2017 uje usomwe na wa baadae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…