Historia ya Mrisho Mpoto na siri yake ya kuvaa magunia

Angembadilisha huyo designer wake sio kwamba siipendi asili mimi mwenyewe napenda sana ku-breath nature yani vibaya kabisa ..ila sio kwa mavaz yale
 
inachekesha sana ukikutana naye,... anatembea peku peku huyoo anaingia kwenye prado kama masihara.
 
Asili yake anatokea mkoa wa vipaji, kigoma
 
hahahah mkuu ulikuwa kama mimi. Leo kuna jamaa nimemkuta anaangalia shumileta, naona haitishi kama zamani kipindi bado dogo.
 
Ningependa kujua zaidi kuhusu hili.

Mara kadhaa nimemuona kwenye mahojiano akiwa peku.

Ila bado sijajua sababu hasa nini?

Funguka zaidi mkuu kuhusu NDAGU
Ndagu sio kitu cha kisport sport
 
Sijajua na chooni hasa kwenye public toi anaenda peku au anakuwa na viatu kwenye bag?
 
Heading: Naomba kujua historia na maisha ya Mrisho Mpoto mpaka sasa hivi Nukta. Hapo tungejua unataka nini. Tumekurupuka kumsoma kumbe unauliza na wewe? Ninachojua na kuona ni kwamba havai viatu, anaghani mashairi yasiyo na mpangilio ambayo tunaita mashairi ya kisasa siyo yale yenye vina na vituo. Ni mwana CCM damu, mzaliwa wa Mikoa ya Dar na Pwani au tuseme ni mtu wa hapa hapa siyo wa kuja. Zaidi sijui ila hawezi kuimba ila kuongea tu basi.
 
Nilikuwa sijui kama Mrisho mpoto ndio yule aliye act muvi ya NSYUKA(mzuka)...
aisee ile muvi nilikuwa naiogopa sana
Kwani hili linaukweli kwamba ndiye yule wa INSYUKA..?
Kunawadau walidai sio yeye.
 
Roho mbili bila kukosea nadhani mtunzi ni Sultan Tamba huyu Jamaa alitengeneza Filamu nyingi za kutosha bila kumsahau Mussa banzi-shumileta.
 
Roho mbili bila kukosea nadhani mtunzi ni Sultan Tamba huyu Jamaa alitengeneza Filamu nyingi za kutosha bila kumsahau Mussa banzi-shumileta.
Aisee Musa na Sultan sijui wamepotelea wapi
 
Aisee Musa na Sultan sijui wamepotelea wapi
Nyakati zinakwenda Mkuu,Dunia inabadirika shehke wangu aisee.

Filamu zilikuwa ni vitisho mwanzo mwisho pia zilikuwa zinaonesha uhalisia wa Afrika(watu weusi) ila z ilikuwa na mafunzo mazuri.
-Zogo (kisiwa cha mauti)
-Uwa chidama dama
-kihongwe.
-Mzee wa Busara.
-noti
-Jinamizi.
-Mzimu wa mlilo.

Aisee nilipata kuangalia Filamu nyingi za kutisha(ulozi).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…