Historia ya Qur'an

Hiyo ni biblia ipi unayoongelea , KJV, RSV , Douay , NIV , Mormon bible au ipi kati ya maelfu ya biblia tofauti ??
Hizo hoja zako zisizokua na kichwa wala miguu siwez poteza kukujibu
Biblia ni moja ila wachapishaji ni wengi na wanatofautiana na kama hili hulijui sina mda wa kukuelewesha
 
Hizo hoja zako zisizokua na kichwa wala miguu siwez poteza kukujibu
Biblia ni moja ila wachapishaji ni wengi na wanatofautiana na kama hili hulijui sina mda wa kukuelewesha

Nakuwekea list ya baadhi ya biblia tu kukuonyesha sio moja na huyu Mzee msikilize anakuambia biblia sio moja hata hizo manuscripts ambazo biblia zilitokana na hizo zote ziko tofauti.

Your browser is not able to display this video.


O = omitted in main text.

B = bracketed in the main text – The translation team and most biblical scholars today believe were not part of the original text. However, these texts have been retained in brackets in the NASB and the Holman CSB.[147]

F = omission noted in the footnote.


Bible translation
PassageNIVNASBNKJVNRSVESVHCSBNETNLTWEBREBAMPCEBCJBCEVERVGWEXBGNTKnoxLEBMSGMounceNIrVNLVOJBNWT
Matthew 9:34F
Matthew 12:47FFFFFOFFF
Matthew 17:21FBFOFBOFFFOOOFOOOOO
Matthew 18:11FBFOFBOOFFOOOOFOOOOO
Matthew 21:44FFBFFFOFFFFO
Matthew 23:14FBFOFBOOFFOOOOFOOOOO
Mark 7:16FBFOFBOOFFOOOFFOOOOO
Mark 9:44FBFOFBOOFOOOOOFOOOOO
Mark 9:46FBFOFBOOFOOOOOFOOOOO
Mark 11:26FBFOFBOOFOOOOFOOOOBO
Mark 15:28FBFOFBOOFFOOOOFOOOOBO
Mark 16:9–20BBFFBBBFBFFBFBBBO
Luke 17:36FBFOFBOOFFFOOOOFOOOOO
Luke 22:20FFFFO
Luke 22:43BFFBBFFFFB+F
Luke 22:44BFFBBFFFFFB+F
Luke 23:17FBFOFBOOFFOOFOOFOOOOBO
Luke 24:12FFOF
Luke 24:40FFF
John 5:4FBFOFBOOFOOOOFOOOOBBO
John 7:53–8:11BFFBBBFBB+FO
Acts 8:37FBFFFBOOFFFOOOOFOOOOBBO
Acts 15:34FBFOFOOOFFFOOOOFOOOOBO
Acts 24:7FBFOFBOOFFOOOOOOOBO
Acts 28:29FBFOFBOOFFOOOOFOOOOBO
Romans 16:24FBFOFBOOFFOOOOFOOOOO

Versification differences​

 
Mimi sitafuti ukweli sababu kweli tayari ipo ndani yangu
Wewe ndo unayetafuta ukweli ndo unayetakiwa uangaike na hizo video

Bwana Yesu alisema kuna wengine mioyo yao ni migumu . labda mmoja wao ni wewe

Mimi kazi yangu ni kukufahamisha tu na kukuwekea ushahidi , kama unaona hiyo ni video tu sawa. Kila mtu atabeba mzigo wake
 
Bwana Yesu alisema kuna wengine mioyo yao ni migumu . labda mmoja wao ni wewe

Mimi kazi yangu ni kukufahamisha tu na kukuwekea ushahidi , kama unaona hiyo ni video tu sawa. Kila mtu atabeba mzigo wake
Hiyo video hata sijapoteza mb kuiangalia
 
Uwezo wako ni mdogo sana wa kifikra sikulaumu
Usitumie nguvu kwa mambo ambayo kwako hayakuongezei chochote kile

Sawa mimi nimekuonyesha hizo biblia na tofauti zao , pamoja na hao wanaokuandikia hizo biblia wanavyokuambia kuwa hakuna hata moja iliyofanana na nyengine sasa kama kijana uko na blind faith , huo ni uamuzi wako
 
Sawa mimi nimekuonyesha hizo biblia na tofauti zao , pamoja na hao wanaokuandikia hizo biblia wanavyokuambia kuwa hakuna hata moja iliyofanana na nyengine sasa kama kijana uko na blind faith , huo ni uamuzi wako
Kwani ni lazima mimi naamini biblia haina tofauti
Usitumie nguvu kubwa kunlazimisha
Mfano nikiwa na blind faith wewe inakupunguzia nini
 
Kwani ni lazima mimi naamini biblia haina tofauti
Usitumie nguvu kubwa kunlazimisha
Mfano nikiwa na blind faith wewe inakupunguzia nini

Mimi hainipunguzii wala kunizidishia , nilishakuambia wajibu wangu nimeshaufanya, Wewe kuamini na kutoamini si kazi yangu
 
Nani alimuona huyo malaika jibril? Mna uhakika gani alikuwa ni mtume kweli? Tuelezeni ilikuwaje akaoa kitoto kidogo?
 
Mimi hainipunguzii wala kunizidishia , nilishakuambia wajibu wangu nimeshaufanya, Wewe kuamini na kutoamini si kazi yangu
Kama haipunguzii kwanini unalazimisha mara mavideo ambayo sitakaa niangilie kwani nimekuambia nahitaji huo uongo unaoita ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…