Historia ya Qur'an

Quran hi kitabu kilichoigiza Biblia! Ndiyo maana nao wakajitahidi kusema aliyetaka kuchinjiwa alikuwa Ishmael! Kumbe ni Isaka!
Quran iliigiza biblia ipi KJV, QJV, AV, RSV, NWT, Douay Au ipi Kati ya biblia maelfu tofauti?
 
Yaani unawafanya hawa wamasai na wasukuma kuwa hawana akili , wewe mchaga ndiye mwenye akili ??
Unaona elimu ya madrasa ilivyo ya kiutopolo, hivi ni wapi nimesema mimi ni Mchagga na wanaolala juu ya mapaa ya nyumba huko Michenzani ni Wamasai? Dogo kumbuka kusoma si dhambi, rudi shule tu upate kuelimika.
 
Kwaiyoo ukoo wetu sio mtukufuu ila wa mudi uongo
 
Hata wewe na akiri zako unaweza kuoa mbibi aliokupita mikaaa 30 cjui 40 kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…