Historia ya samaki mtu imekaaje wakuu?

Alder F 16

Member
Joined
Feb 28, 2022
Posts
65
Reaction score
55
Habari wakuu, nawasalim woote!
Jana usiku (March 08) katika kuangalia angalia updates za WhatsApp status nilistaajabu baada ya kukutana na video inayomuonesha (SAMAKI MTU) akiwa ufukweni na watu walikuwa walikuwa wamemzunguka ili kumshangaa! Nilipomuuliza aliyeweka hiyo status kwaajili ya ufafanuzi; alinambia Ni Kenya hiyo. Sababu ya kuleta uzi huu ni angalau kufahamishwa kama huyu SAMAKI MTU ni halisi, au is beyond uhalisia (Imani za giza) zimehusika? Au hata kama sio beyond uhalisia, historian ya SAMAKI MTU imekaaje wakuu?

Kama SAMAKI MTU ni halisi basi ungekuwa Ni busara sana watu wangefanya maamuzi ya kumrudisha kwenye maji muda mfupi tu baada ya kumshangaa (Nawaza tu)...



 
Hamna kitu hapo ukiangalia hiyo video utagundua ni mtoto kaingizwa kwenye mdomo wa samaki. Maana inaonekana kabisa mdomoni kwa samaki kuna gaps. Na unaona hiyo ngozi ya mtoto ni safi kabisa kwa maana huwa anaoga
 
So samaki mtu kashonea na weaving sio.. Haya bhana..
 
Ni clip ya muda kidogo lakini ningependa Kufahamu. Is it a real life mermaid??
Your browser is not able to display this video.
 
Imetokea Mombasa Kenya nimeicheki Twitter ila Dah kumbe
 
Imetokea Mombasa Kenya nimeicheki Twitter ila Dah kumbe
 
Tunapangwa tu,hamna kitu hapo n uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…