Alexander The Great
JF-Expert Member
- Aug 28, 2018
- 4,509
- 23,653
Habari wana JF,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nia na malengo ya kuanzisha thread hii ni kukumbushana/kuelimishana/kupeana mawazo/kupeana mtazamo na kuelezana juu ya historia ya siasa nchini (na wana siasa kwa ujumla).
Pia kuangalia chimbuko la siasa ya Tanzania na historia za wanasiasa wakongwe/chipukizi ambao wameunda/wanaunda mizizi na taswira ya nchi yetu ki siasa.
GEORGE ORWELL alinena, nanukuu;
"Katika zama zetu hizi, hakuna kitu kinachoitwa "kujiweka mbali na siasa", kwani kila kitu ni siasa, na siasa yenyewe ni mshikamano wa maswala kedekede...."
Historia ya siasa ni ufafanuzi na uchambuzi wa mambo muhimu yaliowahi kutokea kuhusu siasa, mawazo, mageuzi, mihimili ya serekali, wapiga kura, vyama vya siasa na viongozi. Pia jambo hili linaingiliana na pande nyingi za historia kama vile Historia ya kidiplomasia, Historia ya katiba na Historia ya umma.
Hayo machache,
Wito wangu,
1) Tukumbushane juu ya wanaharakati wowote waliowahi kutokea nchini wa siasa (kutoka chama chochote kile kilichowahi kuwepo au ambao hawakua na chama maalum).
2) Wanamageuzi wa siasa. (Walioi shape na kuibadilisha siasa nchini kwa mazuri na yasiyo mazuri)
3) Wana diplomasia mahiri nchini.
4) Chochote muhimu kinachohusiana na hayo juu.
5) Mtag mwanasiasa yoyote unaehisi anaufahamu wa siasa na kutupa baadhi ya mambo muhimu.
#Changia jambo/mtazamo unaofahamu kwaajili ya kuelimisha tu, na tafadhali usichangie mambo yasiyokua muhimu na yenye nia ovu.(pita kimya kimya bila kuchangia chochote kama huna jambo muhimu la kuelimisha)
Ahsante,
Zitto
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nia na malengo ya kuanzisha thread hii ni kukumbushana/kuelimishana/kupeana mawazo/kupeana mtazamo na kuelezana juu ya historia ya siasa nchini (na wana siasa kwa ujumla).
Pia kuangalia chimbuko la siasa ya Tanzania na historia za wanasiasa wakongwe/chipukizi ambao wameunda/wanaunda mizizi na taswira ya nchi yetu ki siasa.
GEORGE ORWELL alinena, nanukuu;
"Katika zama zetu hizi, hakuna kitu kinachoitwa "kujiweka mbali na siasa", kwani kila kitu ni siasa, na siasa yenyewe ni mshikamano wa maswala kedekede...."
Historia ya siasa ni ufafanuzi na uchambuzi wa mambo muhimu yaliowahi kutokea kuhusu siasa, mawazo, mageuzi, mihimili ya serekali, wapiga kura, vyama vya siasa na viongozi. Pia jambo hili linaingiliana na pande nyingi za historia kama vile Historia ya kidiplomasia, Historia ya katiba na Historia ya umma.
Hayo machache,
Wito wangu,
1) Tukumbushane juu ya wanaharakati wowote waliowahi kutokea nchini wa siasa (kutoka chama chochote kile kilichowahi kuwepo au ambao hawakua na chama maalum).
2) Wanamageuzi wa siasa. (Walioi shape na kuibadilisha siasa nchini kwa mazuri na yasiyo mazuri)
3) Wana diplomasia mahiri nchini.
4) Chochote muhimu kinachohusiana na hayo juu.
5) Mtag mwanasiasa yoyote unaehisi anaufahamu wa siasa na kutupa baadhi ya mambo muhimu.
#Changia jambo/mtazamo unaofahamu kwaajili ya kuelimisha tu, na tafadhali usichangie mambo yasiyokua muhimu na yenye nia ovu.(pita kimya kimya bila kuchangia chochote kama huna jambo muhimu la kuelimisha)
Ahsante,
Zitto