Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
HATARI YA KIONGOZI KUZUNGUMZA ASIYOYAJUA: ''MZEE'' ABDUL SYKES NA ''KIJANA'' JULIUS NYERERE
View: https://youtu.be/t4HhcYoQmeI
''MZEE'' ABDUL SYKES NA ''KIJANA'' JULIUS NYERERE
Kiongozi anapozungumza asichokijua.
Anamtaja Abdul kuwa alikuwa mzee.
Anasema Abdul Sykes hakusoma.
Abdul Sykes alikuwa na miaka 28 Julius Nyerere miaka 30.
Nyerere mkubwa kwa Abdul Sykes.
Abdul Sykes Mwenyekiti wa TAA akamwita Nyerere.
TAA haikuwa na nafasi ya Mwenyekiti bali President.
Nyerere hakuitwa na yeyote alipelekwa kwa Abdul Sykes na Kasella Bantu 1952.
Hajui kuwa Abdul alikuwa na admission ya Princeton University, New Jersey 1953.
Watu wote wanamsikiliza kwa makini.
View: https://youtu.be/t4HhcYoQmeI
''MZEE'' ABDUL SYKES NA ''KIJANA'' JULIUS NYERERE
Kiongozi anapozungumza asichokijua.
Anamtaja Abdul kuwa alikuwa mzee.
Anasema Abdul Sykes hakusoma.
Abdul Sykes alikuwa na miaka 28 Julius Nyerere miaka 30.
Nyerere mkubwa kwa Abdul Sykes.
Abdul Sykes Mwenyekiti wa TAA akamwita Nyerere.
TAA haikuwa na nafasi ya Mwenyekiti bali President.
Nyerere hakuitwa na yeyote alipelekwa kwa Abdul Sykes na Kasella Bantu 1952.
Hajui kuwa Abdul alikuwa na admission ya Princeton University, New Jersey 1953.
Watu wote wanamsikiliza kwa makini.