Historia ya Wachagga

Hahah huu upumbavu na upumbavu mwingine wa kujikataa uafrika umeshika kasi sasa kuliko zamani. Mara utasikia sijui fulani alikuwa ni mtu mweusi sijui nini ni nini upuuzi upuuzi tu
 
Hakuna kabila la Wachagga bali kuna makabila ya Kichagga, katika hayo makabila kuna makabila ya Wamachame, Warombo, wauru, Wakibosho, Wasiha,Wamarangu, nk.

Mkuu samahani ila huu upupu umeutoa wapi?, kuna kabila moja "wachaga" hayo machame, uru, rombo, marangu n.k ni maeneo siyo makabila. Watu wa jamii ya wachaga wanafahamiana kwa maeneo yao.

Hakuna kabila la wamachame, warombo wala wamarangu hicho kitu hakipo
 


Kipo ila wewe ulikuwa hujui ndiyo maana unaona ni jambo la ajabu, kabila ni lazima liwe na lugha moja na wote wasikilizane, kwa hao unaowaita " kabila la wachaga" ili wasikilizane ni hadi wajuane kwamba wametokea wapi, pia kuna tofauti katika tabia na mienendo kati ya hao " wachagga"., ndiyo maana nikasema Wachagga ni mkusanyiko wa makabila fulani ya mkoa wa kilimanjaro.

Mfano ni Wamanyema wa Kigoma, kwa asili Wamanyema wametoka zamani sana Kongo DRC, na kuingia Kigoma, Rukwa, Katavi na hadi Dar na Unguja, Wao wameundwa na makabila ya Wabwali, Wanyakaramba, Wabembe, Wagoma, Wamasanze, Waholoholo, Wabangubangu nk, Wote hao wanaitwa Wamanyema, katika lugha wanaosikilizana hapo ni Wagoma, Wabwali na wanyakaramba na utawatofautisha katika Tones zao.

Wachagga ni "race" na Umachame, urombo (maeneo waliotoka) waweza kusema ni majina ya makabila yao (tribal names), na sio lazima makabila yao yaitwe kutokana na mahali wanapotokea bali nilitaka kukuonyesha ninaposema Wachagga sio kabila nilikuwa na maana gani.

Hayo ni maoni na mtazamo wangu tu.
 
Wachaga ni wabantu og ukiskiza kimeru ni kichaga kabisa ,wanamaneno mengi ya kisambaaa na kimasai ,huu upuuzi ulienezwa kwa maksudi maovu ya assimilation policy,yaani mi mbena nikitaka kutawala wasukuma nachagua wachache nasema tunaasiri moja wanansaidia kutawala.kongo walikuwa wanatoa uraia kwa raia wasomi na wenye ushawishi kwa ujinga wao wakawauza wenzao leo watoto wao wacheza porn ufaransa .

PURE ETHIOPIANS : Hawa wanafanana na reginard mengi hahahahahahahaha viafrica bwana huo ujinga ndo ulifanya watusi waue ndugu zao wa damu wahutu mzungu aliwapiga uongo huuhuu
wachaga ,wameru,wapare ni hao hao ,pili hakunaga wachaga wamarangu ,wamachame hawa wanasikiana na wameru kuliko wachaga wenzao ,afu ni kweli kuwa kuna damu ya kikush uchagani so unaamini haipo usukumani ? au hujui historia mkwawa alikuwa anakodi wanubi kuja kumsaidia vita toka ethiopia unazani hawakuzaa na wahehe ,ushamuona muhehe wa ismani wao wana damu ya kigiriki mbona hawana kiherehe ,wachaga wamechanganyia damu nyingi na wabatu wenzao ila ni malimbukeni hawako proud na asiliyao halisi ya kutoka misitu ya kongo
 

Mkuu tusibishane sana ila jua kuwa lugha pekee si kitu kuna zaidi ya hapo kuna tamaduni, miiko na desturi, kuna utawala na mambo mengi alafu pia si kwamba wachaga waliopo machame na wachaga waliopo marangu hawaelewani kilugha hapana ni kuwa wanatofauti ndogo ndogo sana kwenye lugha (hawasemani)

Mchaga ni mchaga haijalishi anatoka wapi. Kwa msingi huo ninaikataa hoja yako kuwa wachaga ni muunganiko wa makabila madogo madogo ya wachaga eti wachaga wa marangu, machame n.k hayo si makabila

Ni sawa na kusema watanzania ni muunganiko wa wananchi wa mataifa madogo madogo mfano watanzania wakigoma, watanzania wa Dar es Salaam, watanzania wa mwanza haileti maana na haipo
 
Achana nae anabishania asichokijua.
 


Kitu kingine kila kabila la kichagga walikuwa na Chifu wao.
 
Baasi kuna watu watakuja na mapovu ya Geisha kama sio omo
 
Hahahahaaa wayahudi pekee duniani wanaofakamia KITIMOTO!🐷🐷🐷🐷🐖🐖 🐖😂😂😂😂 hao Falasha wenyewe vipimo vya DNA vimeonyesha hawana uhusiano wowote na wayahudi wengine duniani. Ni waethiopia wa asili waliokuwa converted kuwa wayahudi kwa dini yaani sawa na wamakonde wawe waislamu halafu wadai wao waarabu asili yao Saudi Arabia. Waafrika waliothibitika kuwa wayahudi kwa asili na damu/nasaba DNA ni kabila la WALEMBA linapatikana nchi ya Zimbabwe na mila zao nyingi zinashabihiana na za wayahudi ikiwemo kutokula kitimoto, kuheshimu sabato, kutahiri, kuwa na ukoo wa makuhani nk nk nk
 
Kitu kingine kila kabila la kichagga walikuwa na Chifu wao.
Hakuna kabila lililokosa chifu. Chifu wa kabila zima la wachagga aliwekwa (imposed) na wakoloni, Mangi Marealle wa Marangu hakupata uchifu kwa ridhaa ya wachagga wote wamachame, wakibosho, wauru, wakirua, warombo nk nk, im sorry to say alikuwa ni kibaraka/puppett wa wakoloni, siyo kitu cha kujivunia
 
Wahaya nanyi mje mjidadavue mmetoka ukoo Wa kiyahudi binamu zenu wachaga ..
 


Mangi Sina, Mangi Meli na Mangi Mandara na huyo Marealle (unayemwita kibaraka), hao wote walikuwa ni machifu wa Makabila ya kichagga.
 
NAHISI HUYU MWANDISHI ZAMANI ALIKUWA TAJIRI SANA SASA HIVI HANA HATA HELA YA DALADALA AMECHANGANYIKIWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…