Historia ya wanajeshi wa nyati maarufu kama "buffalo soldiers"

Historia ya wanajeshi wa nyati maarufu kama "buffalo soldiers"

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2016
Posts
20,743
Reaction score
25,564
73585516fc944f5ef2bb4ec8856dfd28.jpg



Kwa waliowengi wanalijua hili neno la “Buffalo Solders” kutokana na Wimbo wa Bob Marley. Ukweli ni kwamba neno hili lina historia kubwa sana katka kuelezea histori ya Waafrika- Waamerika. kwa ufupi ni kwamba kwenye miaka ya 1866 kuliundwa kikosi cha wanajeshi ambacho kilihusisha Waafrika- Waamerika. Na kila kikosi kilikuwa na wanajeshi wasiopungua 1000.

Lengo la kuundwa vikosi hivyo ni kuimarisha amani na ulizi mara baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe viilvyotokea kwenye miaka ya 1864-1865.

Waafrika- Waamerika wengi walijiunga japo mshahara ulikuwa mdogo kwani walikuwa wakilipwa dora13 kwa mwezi. Wengi walipenda kujiunga angalau wapate unafuu wa maisha nchini humo. Jina la “Buffalo Solders” lilitokana na wananchi ambao waliona namna ambavyo wanajeshi hao walivyokuwa wakipambana kama vile “nyati” anavyopambana.

Na huo ndio ukawa mwanzo wa wanajeshi hao kuitwa “Buffalo Solders” au Wanajeshi Nyati. Na zaidi ya hapo, wanajeshi hao walikuwa na mtindo wa nywele nyeusi ambao ulifananshwa kama nyati. Katika mapambano asilimia kubwa ya wanajeshi walitumia farasi.

Jeshi hilo kwa kipndi chote hiko kilisaidia katika mambo mengi kama, vita vya Marekani na Ispania kwenye miaka ya 1890, vita vya Marekani na Ufilipino kweney miaka ya 1899.

Lengo la Hayati Bob marley kuimba wimbo huu ni kukumbusha nafasi ya mtu mweusi katika harakati za kuendeleza nchi ya Amerika.

Ni mimi MJUKUU WA CHIFU a.k.a kiboko ya bwanaake Nifah The bold

Sent using Jamii Forums mobile app
 
73585516fc944f5ef2bb4ec8856dfd28.jpg



Kwa waliowengi wanalijua hili neno la “Buffalo Solders” kutokana na Wimbo wa Bob Marley. Ukweli ni kwamba neno hili lina historia kubwa sana katka kuelezea histori ya Waafrika- Waamerika. kwa ufupi ni kwamba kwenye miaka ya 1866 kuliundwa kikosi cha wanajeshi ambacho kilihusisha Waafrika- Waamerika. Na kila kikosi kilikuwa na wanajeshi wasiopungua 1000.
Lengo la kuundwa vikosi hivyo ni kuimarisha amani na ulizi mara baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe viilvyotokea kwenye miaka ya 1864-1865. Waafrika- Waamerika wengi walijiunga japo mshahara ulikuwa mdogo kwani walikuwa wakilipwa dora13 kwa mwezi. Wengi walipenda kujiunga angalau wapate unafuu wa maisha nchini humo. Jina la “Buffalo Solders” lilitokana na wananchi ambao waliona namna ambavyo wanajeshi hao walivyokuwa wakipambana kama vile “nyati” anavyopambana.
Na huo ndio ukawa mwanzo wa wanajeshi hao kuitwa “Buffalo Solders” au Wanajeshi Nyati. Na zaidi ya hapo, wanajeshi hao walikuwa na mtindo wa nywele nyeusi ambao ulifananshwa kama nyati. Katika mapambano asilimia kubwa ya wanajeshi walitumia farasi. Jeshi hilo kwa kipndi chote hiko kilisaidia katika mambo mengi kama, vita vya Marekani na Ispania kwenye miaka ya 1890, vita vya Marekani na Ufilipino kweney miaka ya 1899. Lengo la Hayati Bob marley kuimba wimbo huu ni kukumbusha nafasi ya mtu mweusi katika harakati za kuendeleza nchi ya Amerika.



Ni mimi MJUKUU WA CHIFU a.k.a kiboko ya bwanaake Nifah The bold

Sent using Jamii Forums mobile app
Kujifananisha na bold ni saw a na kufananisha Mbao fc(wewe ) na Barcelona fc(The Bold)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante kwa historia hii.. na kweli imebidi nitafute lyrics za Bob nizisome between lines anachozungumzia kinaambatana na ulichodadavua hapo... tujikumbushe Hayati Bob tena..

Buffalo Soldier"

Buffalo Soldier, Dreadlock Rasta:
There was a Buffalo Soldier in the heart of America,
Stolen from Africa, brought to America,
Fighting on arrival, fighting for survival.

I mean it, when I analyze the stench -
To me it makes a lot of sense:
How the Dreadlock Rasta was the Buffalo Soldier,
And he was taken from Africa, brought to America,
Fighting on arrival, fighting for survival.

Said he was a Buffalo Soldier, Dreadlock Rasta -
Buffalo Soldier in the heart of America.

If you know your history,
Then you would know where you coming from,
Then you wouldn't have to ask me,
Who the 'eck do I think I am.

I'm just a Buffalo Soldier in the heart of America,
Stolen from Africa, brought to America,
Said he was fighting on arrival, fighting for survival;
Said he was a Buffalo Soldier win the war for America.

Dreadie, woy yoy yoy, woy yoy-yoy yoy,
Woy yoy yoy yoy, yoy yoy-yoy yoy!
Woy yoy yoy, woy yoy-yoy yoy,
Woy yoy yoy yoy, yoy yoy-yoy yoy!
Buffalo Soldier troddin' through the land, wo-ho-ooh!
Said he wanna ran, then you wanna hand,
Troddin' through the land, yea-hea, yea-ea.

Said he was a Buffalo Soldier win the war for America;
Buffalo Soldier, Dreadlock Rasta,
Fighting on arrival, fighting for survival;
Driven from the mainland to the heart of the Caribbean.

Singing, woy yoy yoy, woy yoy-yoy yoy,
Woy yoy yoy yoy, yoy yoy-yoy yoy!
Woy yoy yoy, woy yoy-yoy yoy,
Woy yoy yoy yoy, yoy yoy-yoy yoy!

Troddin' through San Juan in the arms of America;
Troddin' through Jamaica, a Buffalo Soldier# -
Fighting on arrival, fighting for survival:
Buffalo Soldier, Dreadlock Rasta.

Woy yoy yoy, woy yoy-yoy yoy,
Woy yoy yoy yoy, yoy yoy-yoy yoy!
Woy yoy yoy, woy yoy-yoy yoy,
Woy yoy yoy yoy, yoy yoy-yoy yoy! [fadeou
 
Jina la “Buffalo Solders” lilitokana na wananchi ambao waliona namna ambavyo wanajeshi hao walivyokuwa wakipambana kama vile “nyati” anavyopambana.

Sidhani ni sababu ya kuitwa vile. Jina lilianzishwa na Maindio (Red Indians) yaani wazalendo wa Marekani walioshangaa nywele za Kiafrika zilizofanana machoni pao na nywele za nyati (Bison).

Uhodari wao ulijulikana. Habari ya kusikitisha ni walitumiwa kukandamiza mabaki ya upinzani wa wazalendo dhidi ya uenezi wa Wamarekani weupe katika Marekani bara.
Buffalo Soldier - Wikipedia
 
Back
Top Bottom