Habari wana jamvi!
Naomba kuuliza market availability ya assistant lecturers wa History ukoje? Je endapo mtu ana GPA ya 3.8 undergraduate na 4.5 masters anaweza kupata nafasi mapema kutokana na demand ya wahadhiri wa History?
Au atasugua sana kwa sababu wahadhiri wa somo la History ni wengi sana?
Karibuni kwa mwenye uzoefu, tupeane maarifa na taarifa.
Naomba kuuliza market availability ya assistant lecturers wa History ukoje? Je endapo mtu ana GPA ya 3.8 undergraduate na 4.5 masters anaweza kupata nafasi mapema kutokana na demand ya wahadhiri wa History?
Au atasugua sana kwa sababu wahadhiri wa somo la History ni wengi sana?
Karibuni kwa mwenye uzoefu, tupeane maarifa na taarifa.