History for secondary schools

mwalimu_salum

Member
Joined
Jul 14, 2011
Posts
12
Reaction score
2
Mi ni mwalimu wa somo la Historia kwa shule za secondary,nina nia ya kusaidia jamii kwa kutoa resources na ushauri ktk somo hili,na kwa bahati mzuri nikiwa katika harakati za kutafuta ni wapi nitafanya kazi hii nimekutana na wana jf wanaohitaji msaada huo.

Naomba wadau wa elimu na wa somo la Historia mnipe mawazo yenu juu ya mpangilio bora na ambao utaleta ufanisi ili kufanikisha mpango huu.

Thaxs
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…