History will judge you as a man of honour Pof. Assad - Mwele Malecela

History will judge you as a man of honour Pof. Assad - Mwele Malecela

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
While this is a truly dark cloud in our nation's history you have shown that people of integrity still exist and that you are one of them! History will judge you as a man of honour Prof Assad. #IStandWithCAG

D3N1XbAWsAEiBDX.jpg
 
Kiukweli hili jambo limefedhehesha watu wengi sana , unajua ukiwa Tanzania tu huwezi kuelewa lakini watu wa kimataifa kwa maana ya hawa wanaofanya kazi kwenye mashirika ya kimataifa au sisi wafanyabiashara wa Kimataifa tunaotokea Tanzania tunadhalilika sana !
 
Kiukweli hili jambo limefedhehesha watu wengi sana , unajua ukiwa Tanzania tu huwezi kuelewa lakini watu wa kimataifa kwa maana ya hawa wanaofanya kazi kwenye mashirika ya kimataifa au sisi wafanyabiashara wa Kimataifa tunaotokea Tanzania tunadhalilika sana !
Uzuri kila mwenye akili anajua Jiwe ndio muhusika mkuu wa mambo haya.
 
Yaani nimemshangaa yule sijui ndiye Mwenyekiti wa kamati ya bunge anavyojikanyagakanyaga kuhusu neno 'dhaifu'.

Nchi hii tuna viongozi ambao ni hopeless kabisa! Yaani mtu anafura kwa sababu tu ya kuambiwa dhaifu?

Mimi nimefanya kazi kwenye taasisi za kimataifa. Kila tulipokuwa tunafanya development programs kwaajili ya wafanyakazi, Meneja alikuwa anaanza kwa kumwita mfanyakazi mmoja mmoja aeleze meneja ana weaknesses gani. Baada ya kuorodhesha weaknesses za meneja wako, kisha unamweleza strengths zake. Baadaye Meneja naye anakueleza weaknesses zako na strengths zako kwa kadiri ya mtazamo wake. Halafu anakuuliza na wewe mwenyewe unaona weaknesses zako ni zipi na strengths zako ni zipi.

Lakini hapa kwetu ni upuuzi mtupu! Ina maana wabunge wa CCM wanaamini Bunge halina weaknesses? Rais anaamini hana weaknesses? Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Wilaya, polisi, n.k. hawana weaknesses?

Mbona tunataka kuwa Taifa la hovyo kiasi hiki? Hata mitume wa Yesu waliwahi kutamka, 'tukisema hatuna dhambi tunajidanganya', hiyo ni sawa na kusema tukisema hatuna udhaifu au mapungufu, tunajidanganya.

Tatizo tuna wabunge na baadhi ya viongozi wasio na uelewa wowote juu ya uongozi. Watu waliopungukiwa uelewa na upeo.
 
Bunge hili ni bunge la hovyo kuliko Bunge lolote lile na spika na naibu spika ni magoigoi wa kutupa kwa kukubali kuwa puppets wa nduli wa magogoni kwa kulifanya Bunge liwe Bunge DHAIFU/UOZO

#StandWithCAGAssad
 
Sijui kama kuna mtu yeyote mwenye akili timamu ambaye bado hajui hili.
Hata tunaopenda kusema "washauri" tunajua wazi ukweli ulipo.
Sijui kama kuna mtu yeyote mwenye akili timamu ambaye bado hajui hili.
Hata tunaopenda kusema "washauri" tunajua wazi ukweli ulipo.
huyu spika ana akili timamu, he seems just to do whatever he wants without following any regulations or guidelines. Mind you aliwahi kumtwanga mpinzani wake kabla ya uchaguzi uliopita and nothing was done. I think he is imbecile at the highest level, should be examined at Mirembe Hospital and put on appropriate medication for the rest of his life.
 
naibu spika
Sijui kama unakumbuka alivyoibuliwa huyu. "Designed for the purpose", na kweli ali'fit' kweli kweli kwa kazi aliyokusudiwa.
Hapa ndipo ninapompa 'credit' zote mteuaji. Kujua watu wenye tabia anazoona zinafaa na jinsi anavyowaibua huko walikojificha.
Hiyo sio kazi rahisi.
 
Huyu Mwele Malecela si tuliambiwa amepata dili kali sana Umoja wa Mataifa baada ya kufukuzwa serikalini, kumbe bado "anawashwa" na mambo ya nyumbani.... kazi za kufanya ukiwa kwenu tamu, kile kibuti bado kinamuuma
 
Kiukweli hili jambo limefedhehesha watu wengi sana , unajua ukiwa Tanzania tu huwezi kuelewa lakini watu wa kimataifa kwa maana ya hawa wanaofanya kazi kwenye mashirika ya kimataifa au sisi wafanyabiashara wa Kimataifa tunaotokea Tanzania tunadhalilika sana !
Kuna rafiki zangu wakenya tupo nao huku, walifikiri Jiwe ni suluhisho wakatamani angekuwa rais wao. Baada ya kuwasimulia yanayotokea nyumbani, na hali halisi ya watu wanavyopotea, kutekwa, viwander, Koroshaw na mengi wameanza kuona heri mlevi wao kuliko Pombe wetu.
 
Huyu Mwele Malecela si tuliambiwa amepata dili kali sana Umoja wa Mataifa baada ya kufukuzwa serikalini, kumbe bado "anawashwa" na mambo ya nyumbani.... kazi za kufanya ukiwa kwenu tamu, kile kibuti bado kinamuuma
Ficha upumbavu wako! Eti kibuti bado kinamuuma😂😂😂
Hujui hata unaongea nini na huyo mwele anafanya nini sasa hivi!
 
Yaani nimemshangaa yule sijui ndiye Mwenyekiti wa kamati ya bunge anavyojikanyagakanyaga kuhusu neno 'dhaifu'.

Nchi hii tuna viongozi ambao ni hopeless kabisa! Yaani mtu anafura kwa sababu tu ya kuambiwa dhaifu?

Mimi nimefanya kazi kwenye taasisi za kimataifa. Kila tulipokuwa tunafanya development programs kwaajili ya wafanyakazi, Meneja alikuwa anaanza kwa kumwita mfanyakazi mmoja mmoja aeleze meneja ana weaknesses gani. Baada ya kuorodhesha weaknesses za meneja wako, kisha unamweleza strengths zake. Baadaye Meneja naye anakueleza weaknesses zako na strengths zako kwa kadiri ya mtazamo wake. Halafu anakuuliza na wewe mwenyewe unaona weaknesses zako ni zipi na strengths zako ni zipi.

Lakini hapa kwetu ni upuuzi mtupu! Ina maana wabunge wa CCM wanaamini Bunge halina weaknesses? Rais anaamini hana weaknesses? Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Wilaya, polisi, n.k. hawana weaknesses?

Mbona tunataka kuwa Taifa la hovyo kiasi hiki? Hata mitume wa Yesu waliwahi kutamka, 'tukisema hatuna dhambi tunajidanganya', hiyo ni sawa na kusema tukisema hatuna udhaifu au mapungufu, tunajidanganya.

Tatizo tuna wabunge na baadhi ya viongozi wasio na uelewa wowote juu ya uongozi. Watu waliopungukiwa uelewa na upeo.
wahafuri kwa mambo ya wananchi kukosa elimu bora,ajira,uhumu wa waisha biashara kujifunga zenyewe,huduma bora za afya iko siku atatokeza mtu wa hatari atakaye uliza wanchi hawa jamaa tuwafanyajeheeeeee wananchi watajibu funga jiwe shingoni wapeleke Kisiwa.cha MafiaMungu wazuie watu wenye jaya mawazo
 
Ficha upumbavu wako! Eti kibuti bado kinamuuma😂😂😂
Hujui hata unaongea nini na huyo mwele anafanya nini sasa hivi!

Kwani kibuti kingine kimeshalia kule kwenye kazi ya kimataifa?

manake unasema sijui anafanya nini, sijui kivipi wakati tulitangaziwa kwa chereko nyingi kwamba kapata ulaji wa kimataifa bora kuliko wa serikali

sasa ghafla bin vuu karudi na uanaharakati kwenye blogu za kibongo, lazima kile kibuti cha serikalini kitakuwa kinamuuma bado

kazi za nje huko labda uwe Koffi Annan au balozi wa nchi, vinginevyo utatamani cheo cha serikali nyumbani
 
Back
Top Bottom