Itovanilo
JF-Expert Member
- Jul 30, 2018
- 2,314
- 5,150
Hello jamii forum wote,
Natumai mu wazima,kwa wale walio log in hapa jf wakiwa na msongo wa mawazo ,basi tuzidi kumuomba MUNGU kila kitu kitakuwa sawa
Matatizo ni sehemu ya maisha ya mwanadamu
Kwenye mada,moja kwa moja niseme tu kuwa nafuatilia muziki duniani kote,pia na hapa nyumbani hata Kama wasanii bado hawajatukata kiu.
Yaani kutoa hit songs fulani hivi zenye kugusa akili za watanzania bado naendelea kuwasapoti m
Tutafanyaje sasa,ndiyo uzalendo wenyewe,siwezi kujivunia nyimbo za Wizkid,burna boy,Olakira
Au nisafiri zaidi nianze kumsapoti
Ed Sheeran na jimbo lake la perfect
Hapana naanza kuwasapoti Hawa Hawa wa utu na utulivu sijui ukigeuka nyuma Kuna gidigigi yaani fujo tupu
Cha ajabu bado siwezi kuwaacha Hawa kina Tembo na nyimbo zao za kusifia matajiri ili tu apate Kiki mjini
Mtu unasikiliza wimbo then aibu tupu masikini
Msijali wadau na wapenzi wa muziki mzuri bado watunzi na wasanii wakali wapo.tatizo nyota
Ni sawa na kulima zao bila kusoma soko utasifiwa tu lakini faida hakuna
Enjoy wimbo wa Belle 9 wala hauna siku nyingi bado wa Moto unaitwa
Nampenda.
Si kazi yangu kuupandisha hapa nendeni YouTube na digital platform huko
Natumai mu wazima,kwa wale walio log in hapa jf wakiwa na msongo wa mawazo ,basi tuzidi kumuomba MUNGU kila kitu kitakuwa sawa
Matatizo ni sehemu ya maisha ya mwanadamu
Kwenye mada,moja kwa moja niseme tu kuwa nafuatilia muziki duniani kote,pia na hapa nyumbani hata Kama wasanii bado hawajatukata kiu.
Yaani kutoa hit songs fulani hivi zenye kugusa akili za watanzania bado naendelea kuwasapoti m
Tutafanyaje sasa,ndiyo uzalendo wenyewe,siwezi kujivunia nyimbo za Wizkid,burna boy,Olakira
Au nisafiri zaidi nianze kumsapoti
Ed Sheeran na jimbo lake la perfect
Hapana naanza kuwasapoti Hawa Hawa wa utu na utulivu sijui ukigeuka nyuma Kuna gidigigi yaani fujo tupu
Cha ajabu bado siwezi kuwaacha Hawa kina Tembo na nyimbo zao za kusifia matajiri ili tu apate Kiki mjini
Mtu unasikiliza wimbo then aibu tupu masikini
Msijali wadau na wapenzi wa muziki mzuri bado watunzi na wasanii wakali wapo.tatizo nyota
Ni sawa na kulima zao bila kusoma soko utasifiwa tu lakini faida hakuna
Enjoy wimbo wa Belle 9 wala hauna siku nyingi bado wa Moto unaitwa
Nampenda.
Si kazi yangu kuupandisha hapa nendeni YouTube na digital platform huko