HITAJI LA RAFIKI WA KIKE: Dhumuni ni aje kuwa mchumba wangu.

HITAJI LA RAFIKI WA KIKE: Dhumuni ni aje kuwa mchumba wangu.

Financial Analyst

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2017
Posts
1,849
Reaction score
3,506
Nahitaji binti awe tayari kuwa rafiki yangu ili kwanza tufamiane kwa kina na kama mbeleni tutapendezana then twaweza kuwa wachumba.

MUHIMU:
-kwa wale wadada wasiokuwa na nia ya mapenzi ya kweli na wale wanaotaka kupretend ili kukidhi vigezo, pliiz naomba msichukue nafasi hii.

-kwa wale wadada wenye mtazamo zaidi wa kidunia: ningependa kuwajulisha kuwa mimi sio mrefu sana, sina six packs, siendeshi gari na sina pesa za kukidhi raha za dunia.


UHALISIA:
Mimi kijana mwenye simple lifestyle, elimu ya degree, mjasiriamali mdogo na ninayeamini kuwa yesu kristo ndiye mwokozi wa maisha yangu.


VIGEZO:

1: Muonekano

-awe na umri usiopungua 18 na usizidi 25.

-shepu siyo muhimu kwangu ila napendelea mwenye sura nzuri.


2: Imani

-awe mkristo wa dhehebu lolote.

-awe mwenye hofu ya Mungu na kuhudhulia ibada

-asiwe na mizizi ya ushirikina either kwake yeye au kutoka kwa familia yake.


3: Mwenendo na tabia

-asiwe na kiburi, dharau na desturi za uswahili

-asiwe mwenye kupenda maisha yenye gharama kubwa sana

-asiwe na mihemuko ya ngono kupitiliza


4: Ziada

-asiwe anatumia kilevi chochote

-asiwe na mtoto

-mwenye kiwango chochote cha elimu

-asiwe mke wa mtu.

CONCLUSION:
Kama unakidhi na una utayari wa kweli na wenye malengo then waweza kuni-pm na tuachiane contacts zetu ili tuwasiliane kwa kina zaidi.


Karibu!!





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh, kila la heri mkuu.

Nikiona vijana mnatafuta wanawake wa kuoa nawaonea huruma sana.

Ila tatizo liko kwetu ambao tunahold wanawake 20 kwa wakati mmoja huku wote wakiamini tutawaoa, tunasababisha upungufu mkubwa sana wa wanawake mtaani.

Mwaka huu ntaanza kurelease baadhi warudi mtaani kupunguza upungufu.

Wanaume tulivyo na roho mbaya, roho inauma kumuacha mwanamke aende hata kama humpendi, ila itanibidi nianze kuachia wengine warudi sokoni.
 
Duh, kila la heri mkuu.

Nikiona vijana mnatafuta wanawake wa kuoa nawaonea huruma sana.

Ila tatizo liko kwetu ambao tunahold wanawake 20 kwa wakati mmoja huku wote wakiamini tutawaoa, tunasababisha upungufu mkubwa sana wa wanawake mtaani.

Mwaka huu ntaanza kurelease baadhi warudi mtaani kupunguza upungufu.

Wanaume tulivyo na roho mbaya, roho inauma kumuacha mwanamke aende hata kama humpendi, ila itanibidi nianze kuachia wengine warudi sokoni.
Ahsante kaka..ila haina haja ya kunionea huruma coz mimi sina uwezo wa kukidhi wanawake 20 kisaikokolia na kifedha. Ila i wish u the best brother, na kama kati ya hao 20 kuna yule anayekupenda kweli na ana malengo mazuri na wewe..ni heri umuonee huruma na um-release mapema ili usije ukamumiza baadae.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh, kila la heri mkuu.

Nikiona vijana mnatafuta wanawake wa kuoa nawaonea huruma sana.

Ila tatizo liko kwetu ambao tunahold wanawake 20 kwa wakati mmoja huku wote wakiamini tutawaoa, tunasababisha upungufu mkubwa sana wa wanawake mtaani.

Mwaka huu ntaanza kurelease baadhi warudi mtaani kupunguza upungufu.

Wanaume tulivyo na roho mbaya, roho inauma kumuacha mwanamke aende hata kama humpendi, ila itanibidi nianze kuachia wengine warudi sokoni.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Umenichekesha sana Kaka.
Mimi mwenyewe Nina wanawake wengi lakini mke Sijapata.
Sasa nikionaga mtu anaweka tangazo la kutafuta mke huruma huwa zinaniingia.
Huruma ya kwanza ninayoipata ni kwamba mtu mpaka anaweka tangazo maana yake amekosa hata mademu wawili wa kuwachuja ili apate mmoja wa future.
Lakini huruma nyingine ambayo naipata ni kwamba baada ya kuweka tangazo la kutafuta mchumba watakuja wanawake wengi ambao ni waigizaji na kuingizwa mkenge japokuwa vigezo na mikwara vimewekwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Umenichekesha sana Kaka.
Mimi mwenyewe Nina wanawake wengi lakini mke Sijapata.
Sasa nikionaga mtu anaweka tangazo la kutafuta mke huruma huwa zinaniingia.
Huruma ya kwanza ninayoipata ni kwamba mtu mpaka anaweka tangazo maana yake amekosa hata mademu wawili wa kuwachuja ili apate mmoja wa future.
Lakini huruma nyingine ambayo naipata ni kwamba baada ya kuweka tangazo la kutafuta mchumba watakuja wanawake wengi ambao ni waigizaji na kuingizwa mkenge japokuwa vigezo na mikwara vimewekwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sana kaka kwa kuwa una wanawake wengi ..hongera sana..na labda mimi ni mjinga kwa kuwa sina wanawake wengi wa kuwachuja, lakini kumbuka hata mwanamke utakayekutana nae physically atapretend tu kuwa mwema...haijaandikwa mahali kwamba lazima ukutane na mwanamke physically na sio online au uwe na wanawake mia mbili.... So kama vp niache na ujinga wake..am comfortable with it.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera sana kaka kwa kuwa una wanawake wengi ..hongera sana..na labda mimi ni mjinga kwa kuwa sina wanawake wengi wa kuwachuja, lakini kumbuka hata mwanamke utakayekutana nae physically atapretend tu kuwa mwema...haijaandikwa mahali kwamba lazima ukutane na mwanamke physically na sio online au uwe na wanawake mia mbili.... So kama vp niache na ujinga wake..am comfortable with it.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka nielewe vizuri hakuna mahali nimesema wewe ni mjinga ila nilikuwa nakupa angalizo tu kwamba kutafuta mwanamke humu sio njia shortcut pia ina gharama zake na uwe nayo makini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka nielewe vizuri hakuna mahali nimesema wewe ni mjinga ila nilikuwa nakupa angalizo tu kwamba kutafuta mwanamke humu sio njia shortcut pia ina gharama zake na uwe nayo makini

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa makini na wewe pia...maisha sio kuwa na mademu 20 ndio ukadhani umedhibiti mapenzi, pia nakupa anagalizo tu kwamba kutafuta mwanamke uraiani sio njia shortcut pia ina gharama zake na uwe makini sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nahitaji binti awe tayari kuwa rafiki yangu ili kwanza tufamiane kwa kina na kama mbeleni tutapendezana then twaweza kuwa wachumba.

MUHIMU:
-kwa wale wadada wasiokuwa na nia ya mapenzi ya kweli na wale wanaotaka kupretend ili kukidhi vigezo, pliiz naomba msichukue nafasi hii.

-kwa wale wadada wenye mtazamo zaidi wa kidunia: ningependa kuwajulisha kuwa mimi sio mrefu sana, sina six packs, siendeshi gari na sina pesa za kukidhi raha za dunia.


UHALISIA:
Mimi kijana mwenye simple lifestyle, elimu ya degree, mjasiriamali mdogo na ninayeamini kuwa yesu kristo ndiye mwokozi wa maisha yangu.


VIGEZO:

1: Muonekano

-awe na umri usiopungua 18 na usizidi 25.

-shepu siyo muhimu kwangu ila napendelea mwenye sura nzuri.


2: Imani

-awe mkristo wa dhehebu lolote.

-awe mwenye hofu ya Mungu na kuhudhulia ibada

-asiwe na mizizi ya ushirikina either kwake yeye au kutoka kwa familia yake.


3: Mwenendo na tabia

-asiwe na kiburi, dharau na desturi za uswahili

-asiwe mwenye kupenda maisha yenye gharama kubwa sana

-asiwe na mihemuko ya ngono kupitiliza


4: Ziada

-asiwe anatumia kilevi chochote

-asiwe na mtoto

-mwenye kiwango chochote cha elimu

-asiwe mke wa mtu.

CONCLUSION:
Kama unakidhi na una utayari wa kweli na wenye malengo then waweza kuni-pm na tuachiane contacts zetu ili tuwasiliane kwa kina zaidi.


Karibu!!





Sent using Jamii Forums mobile app
Nafasi nzuri hii umri huu umenikosesha rafiki hivihivi

[emoji22]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom