Hitaji nini....

Hitaji nini....

Meritta

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2011
Posts
1,303
Reaction score
294
habar zenu wapendwa wangu wa hili jamvi tamu la jf, matumain mpo poa mi pia niko bomba niliwakumbuka sana
Issue ni kuwa kuna jambo huwa linanitatiza kidogo hapa kuwa mapenz huwa yanahitaji nn jaman,msichana anaweza kumuacha mwenye pesa kwenda kwa fukara, mvulana anaweza kumuacha msichana mzuri na kwenda kwa ngumbaru, masikin wakiachana tunasema pesa, matajiri je huwa nn? na pia wasichana wazur huwa mara nyingi hwadumu na wapenz, wapo maskin wa kike kwa waume wanaopendwa na matajir, sielewi hili jaman naombeni ufumbuzi kidogo kuwa mapenz au hili yadumu yanahiaji kuwepo na nn
 
Mapenzi hayana utabiri aisee,yafurahie yanapokuwa upande wako to the maximum na ujutie yakisepa
 
habar zenu wapendwa wangu wa hili jamvi tamu la jf, matumain mpo poa mi pia niko bomba niliwakumbuka sana<br />
Issue ni kuwa kuna jambo huwa linanitatiza kidogo hapa kuwa mapenz huwa yanahitaji nn jaman,msichana anaweza kumuacha mwenye pesa kwenda kwa fukara, mvulana anaweza kumuacha msichana mzuri na kwenda kwa ngumbaru, masikin wakiachana tunasema pesa, matajiri je huwa nn? na pia wasichana wazur huwa mara nyingi hwadumu na wapenz, wapo maskin wa kike kwa waume wanaopendwa na matajir, sielewi hili jaman naombeni ufumbuzi kidogo kuwa mapenz au hili yadumu yanahiaji kuwepo na nn
<br />
<br />
thats why love is blind
 
ni kawaida kwa watu hufuata instinct zao
na kutafuta secure environment
lakini baadaye mtu akipata alichokuwa anatafuta
(mfano beauty, money etc...)
na kuona ndicho lakini sicho
hutoka na kwenda kutauta upendo......
 
yani wewe unahitaji lecture ya siku nzima ndo upate japo clue ya mapenzi.
hata hivyo mapezi hayafundishwi, ni maisha flani ambayo ni very automatic.
 
ni kawaida kwa watu hufuata instinct zao
na kutafuta secure environment
lakini baadaye mtu akipata alichokuwa anatafuta
(mfano beauty, money etc...)
na kuona ndicho lakini sicho
hutoka na kwenda kutauta upendo......
dunia ya sasa ni vigumu kupata mapenz ya kwel
 
Enjoy to the fullest when ur in love hakuna cha kujiuliza hapo,penda unapopendwa, usiforce itakucost
 
dunia ya sasa ni vigumu kupata mapenz ya kwel

kwa asilimia fulani nakubaliana nawe..
lakini saa nyingine ni mawazo yetu tu ...
tuko Negative muda mwingi na hiyo inachangia
kuto kupata tutafutacho.....
 
Sio wote waliopo katika mapenzi wapo kimaslah, kuna wengine wapo ktk mapenzi yenye ukweli wa mapenzi. Yatupasa kutambua kuwa kuna wakati watu huamua kuhama toka mapenzi ya anasa na ufahari, yasiyo ya kweli kwenda kwenye mapenzi ya ufukara, mapenzi yenye maisha ya shida na umasikini mkubwa kwa kufuata mioyo yao. Watu wa aina hii dhahiri wanapendana, they are realy in love!
 
Back
Top Bottom